dir good beatus
Member
- Jun 26, 2015
- 55
- 62
- Thread starter
-
- #21
Safi ulifanya VIZURI kulisimamia hili mwalimu mwenzangu.Ni tamaa za walimu,Mimi mwenyewe mwalimu,shuleni kwangu walingangana sana watoto wabaki likizo hii,nikakataa kwa kusema kuwa mtoto anayohaki ya kupumzika baadae ya muda mrefu wa masomo,maticha wengi walinipinga kisa waliazimia kila mtoto atalipa sh 5000.
Mimi nilisema kama kweli ni ari ya walimu kufundisha basi tuwafundishe watoto bila kuwatoza hela,so hoja sio uzalendo wetu sisi walimu Bali kuwabakiza watoto imekuwa njia moja wapo ya kujiingizia kiipato .
Nashukuru serikali kwa kupiga marufuku hali hii.Nazidi kusema kuwa likizo iheshimiwe na watoto waheshimiwe pia.
Ohoo! Kumbe basi tuanze na kubadilisha mfumo.Mfumo wao wa elimu unawaruhu kufanya hivyo na lugha pia inawabeba sisi wa kiswaenglish ndo tunateseka.View attachment 2643212
Acha tamaa mwalimu,nenda likizo kasalimie wazazi na ndugu zako,Mimi nimefundisha kwa miaka zaidi ya ishirini sijawahi kusumbuliwa kwa kuferisha,wewe uko shule gani ambayo watoto wakifeli unasumbuliwa?ikitokea shule imefelisha wanafunzi wengi walimu wanawekwa kitimoto sasa sijui mnataka wafanye nini, na wazazi wanapenda kuwapeleka wanafunzi shule zinazofaulisha sana.
Kabisa yaani, tunawataka watoto twende nao mashambani tukawafunze kilimo.Kiukweli madogo wakapumzike ..... Shule ipo tu.
Kweli Kila mzazi ana Hali ya kuamua atakalo.Ukiona hutaki mwanao afuate hizo program kamchukue hawawezi kumng'ang'ania!
Kwa gharama ipi? Uzima na afya ya akili ya mtoto. Ikiwa mtu mzima tu anahitaji kupumzika itakuwa mtoto ambae toka asubuhi anajazwa masomo kichwani halafu unatarajia afanye hivyo mwaka mzima bila mapumziko?Hilo halipingiki, ni miradi yao! Wanafanya hivyo wapate hela! Hata ungekuwa wewe ungefanya hivyo!
ndo kinachotakiwa kufanywa mfumo mzima wa elimu ubadilikeTutafute namna ya kufaulisha ...lkn tusiwanyime watoto likizo.
Hayupo mwalimu wa kupoteza muda wake wakati wa likizo eti kisa anitolea kufaulisha watoto nimefundusha kwa sasa Nina shule 10 sijawahi kuona hii kitu tofauti na walimu kuwachangisha watoto pesa .Kwa gharama ipi? Uzima na afya ya akili ya mtoto. Ikiwa mtu mzima tu anahitaji kupumzika itakuwa mtoto ambae toka asubuhi anajazwa masomo kichwani halafu unatarajia afanye hivyo mwaka mzima bila mapumziko?
Tuache kuhalalisha tamaa zetu kwa sababu za kipumbavu. Tatizo wabongo huwa tunajua magonjwa ni yale yanayoonekana tu kwa macho, kutokujua kuchoka kiakili kunaweza leta matatizo ya kisaikolojia yatakayokuwa na athari kubwa hata mbeleni.
Tulisoma enzi zetu na likizo tulikaa makwetu na mpaka leo hii tunaishi. Nini cha mno kilichoongezeka kwa sasa kiasi cha kuhitaji mtoto asipumzike?
Binafsi naamini kupumzika ni baada ya kufa tu! Vinginevyo maisha ni mapambano yasiyo na kupumzika Kama unavyofikiri wewe!Kwa gharama ipi? Uzima na afya ya akili ya mtoto. Ikiwa mtu mzima tu anahitaji kupumzika itakuwa mtoto ambae toka asubuhi anajazwa masomo kichwani halafu unatarajia afanye hivyo mwaka mzima bila mapumziko?
Tuache kuhalalisha tamaa zetu kwa sababu za kipumbavu. Tatizo wabongo huwa tunajua magonjwa ni yale yanayoonekana tu kwa macho, kutokujua kuchoka kiakili kunaweza leta matatizo ya kisaikolojia yatakayokuwa na athari kubwa hata mbeleni.
Tulisoma enzi zetu na likizo tulikaa makwetu na mpaka leo hii tunaishi. Nini cha mno kilichoongezeka kwa sasa kiasi cha kuhitaji mtoto asipumzike?
Huu ndio ukweli,wanafunzi wapumzike,darasa la 4,darasa la 6,darasa la 7,form 2 na form 4.Kipindi cha likizo ni lazima mwanafunz aende likizo. akae mbali na darasa na akae karibu na nyumbani.
Akae mbali na waalimu, na karibu na wazazi au walezi.
Kutaka kuwapa masomo ya zaidi. Ni Tamaa ya fedha au kiashirio Cha uzembe wa walimu:
Uzembe kwa maana ya kushindwa kukutumia muda wa masomo VIZURI, mpaka kutaka kuutumia muda wa mapumziko.
Likizo ni lazima.
Wanafunzi kutopata muda wa likiizo ni matokeo ya mfumo wa elimu.Kipindi cha likizo ni lazima mwanafunz aende likizo. akae mbali na darasa na akae karibu na nyumbani.
Akae mbali na waalimu, na karibu na wazazi au walezi.
Kutaka kuwapa masomo ya zaidi. Ni Tamaa ya fedha au kiashirio Cha uzembe wa walimu:
Uzembe kwa maana ya kushindwa kukutumia muda wa masomo VIZURI, mpaka kutaka kuutumia muda wa mapumziko.
Likizo ni lazima.
Wewe umenena kisomi! Hata mimi nilishauri tuboreshe kwanza mazingira ndipo tupige stop tuition wakati wa likizoWanafunzi kutopata muda wa likiizo ni matokeo ya mfumo wa elimu.
Ni dhahiri kwa mwaliku anayejaribu kufundisha kwa kuwaelewesha wanafunzi , hawezi kumaliza syllabus kwa muda muafaka ndio maana wanafunzi wanalazimishwa kukaa mashuleni ili waalimu wapate muda wa kumaliza topics.
Suluhisho ni specialization ianzie hata shule za msingi ili wanafunzi wawe na masomo machache ambayo watasoma kwa kuelewa sio kukariri
Hapo ndioo tatizo likipo! Tanzania ni moja ya nchi ambazo wanafunzi wana ufaulu wa juu sana lakini implementation ya hiyo elimu ni zero.Tutafute namna ya kufaulisha ...lkn tusiwanyime watoto likizo.
Hapana Mkuu hao ni watoto wetu! Kama ungejua kazi ya ualimu haina maslahi ungesomea kazi nyingine au kufanya kazi nyingine yenye maslahi.Mara nyingi tumekurupuka kufanya maamuzi pasipokutumia akili!
Kabla hamjapitisha hili, hakikisheni mmeboresha mazingira ya kujifunza na kufundisha! Kama unafikiri walimu wanaendesha program hizi kwa tamaa ya fedha waboresheeni maslahi yao mbona mmekuwa wachoyo, wenye roho mbaya na wabinafsi!! Nyie mnalipwa maposho kibao na hakuna mnalofanya la maana na mnaona ni sahihi! Walimu wakijaribu kuokoteza visenti kidogo mnajawa na wivu sijui kwa nini? Naomba ukumbuke wewe pia ni product ya walimu!
Boresheni mazingira!