Lil Ommy siyo mjanja...Mshamba anaye brag brag tu..!

Lil Ommy siyo mjanja...Mshamba anaye brag brag tu..!

Chawa wa WCB wanatokwa na povu la OMO. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
lil ommy ndo presenter mkali bongo yeye pamoja na jabir saleh.lil ommy ana full details ya wasanii na muziki kiujumla.lil ommy ndo aina ya presenters wanaohitajika kwenye game.mwanangu lil ommy keep the fire burning usiwasikilize mawack.au unataka aanze pigo za kishoga ndo umuone mkali.acha chuki mzee
Mimi sina tatizo naye ila kuhusu full details unazomaanisha ni zile za nilikuwq nacheck account yako ya insta, tarehe 2/2 ilipost ...😂😂
 
Omari Tambwe aka Lil Ommy kiukweli anacheza chini ya kiwango sana. Show za mchana zina taka presenter mwenye swaga ..mjanja mjanja.

Omari siyo mbunifu.. Hajui hata kuvaa.. Anavaa utadhani yupo ofisini ya serikalini au misikitini.. Acha brag brag.

Bado combination ya Adam, b12, fatuma na ncha kali haijawahi kutokea.!! Ommy ni overrated tu.. Jonijo yupo vizuri sana... Si umeona kipindi lao empire na twelve linavyo songa.

Sina chuki na Ommy sema jamaa inabidi akae kijanja siyo kifaza.


Sina
Katika eneo la kuvaa nakuunga mkono huwa mara nyng sikuelewi utavaa vipi kapelo na shati la mikono mirefu then na raba simpo?
 
Katika watangazaj wa yoo yooo walio grade ya mwisho tz ni uyu jamaa.kuna kpnd alitetea tuzo ya mtangazaj bora africa nikajua apa ndio katusua i mean ataenda radio kubwa kutokana na hyo cv kubwa aliyomake mxiuuu kumbe ni utumbo tu Yaan ni sawa na kama mcbezaji kutoka Namungo kwend Coastal Au Kmc then unajipongeza umefany move nzuri...

Au labd ni lugh ilimwangusha maan najua baadh ya watu wa tbr hawaendag shule
Jamaa ashachuj na ashazoelek sana "you knw wati amu seyi"
times unaifananisha na wasafi...?
Yan times ni bora kuliko wasafi...?
 
Watu wa chuga wanataka kutuaminisha na swaga zao za kikabila na usenge usenge wa bangi wa kudhalilisha wasanii studio hasa ambao hawajatokea ukanda huo .....
Lily ommy mi mwenyewe na mwelewa Sana tangu akiwa Times FM, ndo presenter pekee nilikuwa nafatilia interview zake YouTube ...... Mshikaji mmoja Bomba Sana
Wee kumeri una chuki sana na Arusha sijui watu wa huko walikufanya nini.
 
Lil ommy ni Interviewer ..sio presenter. ..kuwa presenter ...kunahitaji maujanja ujanja flan ambayo huyu mchizi wa mboka ...hana
 
Ila ni kweli jamaa n mkali wa interview tu,
Ila show zima anaboronga tu,
Tukajua atawafunika Xxl lakin hmna kitu ,

Afu anapend kuvaa kisukuma marangi rangi)
 
Lil ommy ni Interviewer ..sio presenter. ..kuwa presenter ...kunahitaji maujanja ujanja flan ambayo huyu mchizi wa mboka ...hana
Fair comment..

Interview anajitahidi kufanya research..
 
Alivyoenda pale nikajua xxl kwisha habari kabisa coz wanaoverlap mda kumbe hamna kitu.
Hii show yake isipokua na msanii wa interview siku hiyo bora uzime tu redio.
 
Back
Top Bottom