Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sina tatizo naye ila kuhusu full details unazomaanisha ni zile za nilikuwq nacheck account yako ya insta, tarehe 2/2 ilipost ...😂😂lil ommy ndo presenter mkali bongo yeye pamoja na jabir saleh.lil ommy ana full details ya wasanii na muziki kiujumla.lil ommy ndo aina ya presenters wanaohitajika kwenye game.mwanangu lil ommy keep the fire burning usiwasikilize mawack.au unataka aanze pigo za kishoga ndo umuone mkali.acha chuki mzee
Nasema akupeèeee tena haraka sanaMkuu ID yako inasema niagize chochote nami naomba kwa mpalange huko kweny joto tafadhal
ukiacha hivyo ni mtu flani analijua game ya mziki in and out achana na hizo za Instagram [emoji3][emoji3]Mimi sina tatizo naye ila kuhusu full details unazomaanisha ni zile za nilikuwq nacheck account yako ya insta, tarehe 2/2 ilipost ...[emoji23][emoji23]
Katika eneo la kuvaa nakuunga mkono huwa mara nyng sikuelewi utavaa vipi kapelo na shati la mikono mirefu then na raba simpo?Omari Tambwe aka Lil Ommy kiukweli anacheza chini ya kiwango sana. Show za mchana zina taka presenter mwenye swaga ..mjanja mjanja.
Omari siyo mbunifu.. Hajui hata kuvaa.. Anavaa utadhani yupo ofisini ya serikalini au misikitini.. Acha brag brag.
Bado combination ya Adam, b12, fatuma na ncha kali haijawahi kutokea.!! Ommy ni overrated tu.. Jonijo yupo vizuri sana... Si umeona kipindi lao empire na twelve linavyo songa.
Sina chuki na Ommy sema jamaa inabidi akae kijanja siyo kifaza.
Sina
hivi show ya bdozen na jabir zimeunganishwa? au ni vipindi viwili tofauti?Jabir hamna kitu pale... Anafaa interview tu.. Siyo afternoon show
my nigga jabir ni mkaliJabir hamna kitu pale... Anafaa interview tu.. Siyo afternoon show
times unaifananisha na wasafi...?Katika watangazaj wa yoo yooo walio grade ya mwisho tz ni uyu jamaa.kuna kpnd alitetea tuzo ya mtangazaj bora africa nikajua apa ndio katusua i mean ataenda radio kubwa kutokana na hyo cv kubwa aliyomake mxiuuu kumbe ni utumbo tu Yaan ni sawa na kama mcbezaji kutoka Namungo kwend Coastal Au Kmc then unajipongeza umefany move nzuri...
Au labd ni lugh ilimwangusha maan najua baadh ya watu wa tbr hawaendag shule
Jamaa ashachuj na ashazoelek sana "you knw wati amu seyi"
Wee kumeri una chuki sana na Arusha sijui watu wa huko walikufanya nini.Watu wa chuga wanataka kutuaminisha na swaga zao za kikabila na usenge usenge wa bangi wa kudhalilisha wasanii studio hasa ambao hawajatokea ukanda huo .....
Lily ommy mi mwenyewe na mwelewa Sana tangu akiwa Times FM, ndo presenter pekee nilikuwa nafatilia interview zake YouTube ...... Mshikaji mmoja Bomba Sana
Huyo atakuwa Ni mshabiki wa cloudstimes unaifananisha na wasafi...?
Yan times ni bora kuliko wasafi...?
Kwa bongo,pure entertainment presenter mkali lazima awe connected na Arusha kwa namna moja au nyingine IMO.
Dah [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]Msela anavaaga masweta fulani hivi basi anaona kashamaliza mambo
Fair comment..Lil ommy ni Interviewer ..sio presenter. ..kuwa presenter ...kunahitaji maujanja ujanja flan ambayo huyu mchizi wa mboka ...hana
Mshaurini ukweli bhana, aache ukolo ajifunze kwa Ray Mshana.Ndizo zinazo mfanya awe yeye kama yeye.