Itoshe kusema una akili fupi sanaNimepita pale ubungo na kuona fursa kwa halmashauri. Chini ya flyover ya kijazi kuna eneo safi sana limewekewa fensi.
Fanyeni kujenga daraja kama la manzese ili raia waweze kuingia pale ndani ya fensi kwa usalama na kununua bidhaa za machinga.
Kwahivyo pale kwenye ile nafasi wekeni vibanda safi sana na muwakodishie machinga. Nilipopita niliona wengi wanauza bidhaa pembeni ya barabara na serikali haipati mapato.
Halifai ni eneo la barabaraNimepita pale ubungo na kuona fursa kwa halmashauri. Chini ya flyover ya kijazi kuna eneo safi sana limewekewa fensi.
Fanyeni kujenga daraja kama la manzese ili raia waweze kuingia pale ndani ya fensi kwa usalama na kununua bidhaa za machinga.
Kwahivyo pale kwenye ile nafasi wekeni vibanda safi sana na muwakodishie machinga. Nilipopita niliona wengi wanauza bidhaa pembeni ya barabara na serikali haipati mapato.
Wazo la huyu jamaa inaonyesha alivyo na mtindio wa ubongo aise harafu atakuwa anajiita msomiWazo la kijinga zaid la kufungia mwaka
Ndio itakuwa kazi ya hilo daraja kama la manzese likijengwa upande mmoja.Nikishwai waza matumizi ya like eneo shida ni miundombinu yake. Mtu atafikaje pale bila kuhatarisha maisha yake au bila kuharibu mazingira. Inshu ya usalama ni muhimu sana.
Kama umewahi kufika na kuona utagundua hakuna uwezekano wa gari kuingia pale kwasababu pako juu kama step moja ya ngazi kubwa.Gari likifeli breki na kufanya mauaji mtawalaumu serikali kwa kuweka vibanda hapo chini ya daraja
Wazo lako halitekelezeki
Bila hicho kivuko hakuna anayeweza kuingia pale kwasababu ya ile fensi. Pia pale ni juu ngazi moja hakuna gari ya kuparamia raia.Umerogwa wewe, unataka kuleta mauaji ya kimbari kwa ajali, watu wavivu kupanda vivuko, pia itaharibu mandhari ya jiji
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...mauaji ya kimbari.Umerogwa wewe, unataka kuleta mauaji ya kimbari kwa ajali, watu wavivu kupanda vivuko, pia itaharibu mandhari ya jiji
Kumbe wewe kichaa eeh..Nimepita pale ubungo na kuona fursa kwa halmashauri. Chini ya flyover ya kijazi kuna eneo safi sana limewekewa fensi.
Fanyeni kujenga daraja kama la manzese ili raia waweze kuingia pale ndani ya fensi kwa usalama na kununua bidhaa za machinga.
Kwahivyo pale kwenye ile nafasi wekeni vibanda safi sana na muwakodishie machinga. Nilipopita niliona wengi wanauza bidhaa pembeni ya barabara na serikali haipati mapato.
Hilo ni eneo hatarishi.Nimepita pale ubungo na kuona fursa kwa halmashauri. Chini ya flyover ya kijazi kuna eneo safi sana limewekewa fensi.
Fanyeni kujenga daraja kama la manzese ili raia waweze kuingia pale ndani ya fensi kwa usalama na kununua bidhaa za machinga.
Kwahivyo pale kwenye ile nafasi wekeni vibanda safi sana na muwakodishie machinga. Nilipopita niliona wengi wanauza bidhaa pembeni ya barabara na serikali haipati mapato.