Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa cha familiaNimepita pale ubungo na kuona fursa kwa halmashauri. Chini ya flyover ya kijazi kuna eneo safi sana limewekewa fensi.
Fanyeni kujenga daraja kama la manzese ili raia waweze kuingia pale ndani ya fensi kwa usalama na kununua bidhaa za machinga.
Kwahivyo pale kwenye ile nafasi wekeni vibanda safi sana na muwakodishie machinga. Nilipopita niliona wengi wanauza bidhaa pembeni ya barabara na serikali haipati mapato.
🤣🤣🤣🤣Wazo la kijinga zaid la kufungia mwaka
Wazo lingine la kijinga 🤣🤣IWE GARDEN AU PARK FULANI WATU WAWE WANAKWENDA KULA UPEPO.
Anoher brain temperedNimepita pale ubungo na kuona fursa kwa halmashauri. Chini ya flyover ya kijazi kuna eneo safi sana limewekewa fensi.
Fanyeni kujenga daraja kama la manzese ili raia waweze kuingia pale ndani ya fensi kwa usalama na kununua bidhaa za machinga.
Kwahivyo pale kwenye ile nafasi wekeni vibanda safi sana na muwakodishie machinga. Nilipopita niliona wengi wanauza bidhaa pembeni ya barabara na serikali haipati mapato.
Very low of youYou never disappoint, always at the same low level. Idiot.
🤣🤣🤣🙌Uwe unakula mlo mmoja hapo kwa shemeji yako.
🤣🤣🤣🤣Anoher brain tempered
Asante sana mkuu kwa kuleta changamoto na namna wenzetu wamefanya. Ukiangalia hata maduka kule posta na kariakoo yapo karibu sana na barabara. Wangeweza kufanya ubunifu na pale pangeweza kupendeza na kuingiza mapato.Ingewezekana kuwa hivyo kama kwenye "Design" ya ujenzi wa daraja wangezingatia uwepo wa vibanda vya biashara. Kwa sasa kuweka vibanda pale ni uchafu na kwa tabia zetu wabongo watapanga bidhaa nje ya vibanda hadi barabarani.
Utaratibu wa namna hiyo uko kwenye baadhi ya nchi, ambapo "Viosk" vya biashara ndogo ndogo hupangwa pamoja na huduma muhimu ya vyoo.
Hapa chini ni mfano wa "Roundabout" moja ambayo chini wameweka vibanda vya biashara wakati barabara ziko juu.... mbele zinaonekana ngazi za kutokea.👇
👇👇👇
Jicho lako la kuona fursa ni moja ya tunu ambayo wengi hawana, lakini kwa uzi huu kuna uwezekano wa kuwaamsha wasomi wetu waliosomea ubunifu majenzi ili waamke kutoka kwenye usingizi wa pono ili kuisaidia nchi kubuni majengo imara lakini yanayovutia.Asante sana mkuu kwa kuleta changamoto na namna wenzetu wamefanya. Ukiangalia hata maduka kule posta na kariakoo yapo karibu sana na barabara. Wangeweza kufanya ubunifu na pale pangeweza kupendeza na kuingiza mapato.
Bahati mbaya wachangiaji wengi hapa wameleta matusi, kejeli na dharau kwasababu akili zao zimeshawekewa mipaka wamebakia kufuatisha chochote kinacholetwa na mzungu.
Chi niinhiNimepita pale ubungo na kuona fursa kwa halmashauri. Chini ya flyover ya kijazi kuna eneo safi sana limewekewa fensi.
Fanyeni kujenga daraja kama la manzese ili raia waweze kuingia pale ndani ya fensi kwa usalama na kununua bidhaa za machinga.
Kwahivyo pale kwenye ile nafasi wekeni vibanda safi sana na muwakodishie machinga. Nilipopita niliona wengi wanauza bidhaa pembeni ya barabara na serikali haipati mapato.