Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
- Thread starter
- #21
Daraja hapo linakuwa limejengwa separately kila upande kwa ajili ya kuingilia pale ndani ya fensi.Jaribu hata kufikilia uwekwaji wa hilo daraja kama la manzess pale,
Oky hata wakiweka, kwa vibanda vingapi vitakavyo kaa pale?
Bora hata ungesema pakae kibanda cha wale Kaki🤣🤣🤣,
Mtu kavurugwa huko, akija ni One way.
Huwezi kwenda one way na kusababisha ajali kwasababu pale ni juu kama hatua moja.