Ukute umezaliwa itigi maporini huko ukaenda secondary Namtumbo.
Halafu chuo kikuu ukaja udsm na KAZI yako ya Kwanza ukapangiwa Dodoma wizarani.
Sishangai haya ndio maamuzi na mawazo ya msomi wetu kutoka chuo kikuu cha udsm.
Muwe mnatembea hata hapo Nairobi uone matumizi sahihi ya hizo fly over ng'ombe wewe! Bora wazazi wako wangesomesha ng'ombe mnyama wangekuwa wanauza maziwa ya mtindi na kujiingizia kipato cha uzeeni.
Sent from my SM-A032F using
JamiiForums mobile app