Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi leo wayahudi hawaamini Yesu ni mwana wa Mungu..so nakuelewaDuh!!! Utadhani alikuwa mtakatifu fulani hivi kumbe dhalimu mkubwa sana aliyeharibu maisha ya mamilioni ya Watanzania.
Kama kunasehemu uliteleza nakuombea usamehewe.
Watanzania tunampenda sana Mama Samia kwa kufanya hii kazi ya kujengea Kaburi la Dkt Magufuli. Mungu ampe maisha marefu.Duh!!! Utadhani alikuwa mtakatifu fulani hivi kumbe dhalimu mkubwa sana aliyeharibu maisha ya mamilioni ya Watanzania.
Nitakwenda kuhiji hapo very soon
Hao wanafiki hapo walinufaika nae Ila kwawata zania walio wengi wanatamani hapo lipite hata tetemeko la ardhi limfukue huyo shetani.Duh!!! Utadhani alikuwa mtakatifu fulani hivi kumbe dhalimu mkubwa sana aliyeharibu maisha ya mamilioni ya Watanzania.
Hadi leo wayahudi hawaamini Yesu ni mwana wa Mungu..so nakuelewa
😝😝😝😝😝😝😝Our best president!
Mjinga kabisa hata Hitler na musolini wanawafuasi mapopoma Kama wewe.Mungu mwenyezi wa rehema umuangazie roho yake apumzike kwa amani.
Tulikupenda, tunakupenda, tutakupenda daima kiongozi wetu mwema.
Magufuli falsafa zako nitaziishi na kuzitangaza popote na siku zote. Amina
Wewe paka mwenye njaa usiupangie ufahamu wangu namna ya kufikiri kenge wewe.Mjinga kabisa hata Hitler na musolini wanawafuasi mapopoma Kama wewe.
Kamuabudu shetani wako aliyewauwa kina Ben Rabiu Saanane panyer we.Wewe paka mwenye njaa usiupangie ufahamu wangu namna ya kufikiri kenge wewe.
Upuuzi wako wapelekee wajinga wenzio
Acha ujingaHadi leo wayahudi hawaamini Yesu ni mwana wa Mungu..so nakuelewa