Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Huyu ni fiisi majiMjinga kabisa hata Hitler na musolini wanawafuasi mapopoma Kama wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni fiisi majiMjinga kabisa hata Hitler na musolini wanawafuasi mapopoma Kama wewe.
Acha unafiki wee kengeDuh!!! Utadhani alikuwa mtakatifu fulani hivi kumbe dhalimu mkubwa sana aliyeharibu maisha ya mamilioni ya Watanzania.
Ukiondoa ubabe na sometimes UKATILI wake uliopitiliza.
Ila jamaa alkua Ni bonge la mzalendo.
Kiukweli,
Aliipenda sana Tanzania kuliko alivyoipenda nafsi yake mwenyewe.
Wivu utakuua.Duh!!! Utadhani alikuwa mtakatifu fulani hivi kumbe dhalimu mkubwa sana aliyeharibu maisha ya mamilioni ya Watanzania.
Wivu utakuua.
Hakua na nia hiyo km unavyofikiria na pia amewasaidia wengi.Duh!!! Utadhani alikuwa mtakatifu fulani hivi kumbe dhalimu mkubwa sana aliyeharibu maisha ya mamilioni ya Watanzania.
Ungekuwa unamuabudu Mungu hivi ungeenda mbinguni.Mungu mwenyezi wa rehema umuangazie roho yake apumzike kwa amani.
Tulikupenda, tunakupenda, tutakupenda daima kiongozi wetu mwema.
Magufuli falsafa zako nitaziishi na kuzitangaza popote na siku zote. Amina
Hakua na nia hiyo km unavyofikiria na pia amewasaidia wengi.
MNYONGE MNYONGENI NA HAKI YAKE MPENI
Kweli kabisa BAK haya atayakataa kuna watu wanaangalia upande mmoja
Ndio pamesha jengwa kama inauma jichomeni moto.Hata wamwekee a/c haisaidii kitu.
Ni haki yao kama walivyoamua kujenga lakini hiyo hainizuii kutoa maoni yangu sasa kama hujafurahishwa pole sana.Ndio pamesha jengwa kama inauma jichomeni moto.
Yule ndio kiongozi halisi wa Tanzania vizazi na vizazi vitamkumbuka mwamba wa Tanzania
Pole nyingi zikufikie wewe mwenye chuki na hayatiNi haki yao kama walivyoamua kujenga lakini hiyo hainizuii kutoa maoni yangu sasa kama hujafurahishwa pole sana.
Siwezi kulipenda jitu katili, lenye roho mbaya na mjivuni.Pole nyingi zikufikie wewe mwenye chuki na hayati
Mwamba wa ukoo wenuNdio pamesha jengwa kama inauma jichomeni moto.
Yule ndio kiongozi halisi wa Tanzania vizazi na vizazi vitamkumbuka mwamba wa Tanzania
Sasa wewe jina lako kiboboso unategemea akili utatoa wapi??