kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Aliyekuambia jina ndo akili alikuona zwazwa.Sasa wewe jina lako kiboboso unategemea akili utatoa wapi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekuambia jina ndo akili alikuona zwazwa.Sasa wewe jina lako kiboboso unategemea akili utatoa wapi??
Zwazwa kiboboso
Sijui ni mamaake[emoji1745]Yule anayesaidiwa kuingizwa kwenye wheelchair sijui ni nani
Taahi.ra mkubwa wewe, wapumliwa visogoni nyie ndo mwajiita mamilioni ya watanzania enh? aliwatuma muuze ngada? aliwazuia kusoma mpate vyeti halali? dawa yenu iko jikoni.Duh!!! Utadhani alikuwa mtakatifu fulani hivi kumbe dhalimu mkubwa sana aliyeharibu maisha ya mamilioni ya Watanzania.
Case differentHadi leo wayahudi hawaamini Yesu ni mwana wa Mungu..so nakuelewa
Falsafa zipi!?Mungu mwenyezi wa rehema umuangazie roho yake apumzike kwa amani.
Tulikupenda, tunakupenda, tutakupenda daima kiongozi wetu mwema.
Magufuli falsafa zako nitaziishi na kuzitangaza popote na siku zote. Amina
Dizaini kama anamuabuduJenista Muhagama kapiga magoti kabisa..dah..
Atakuwa ana kiherehere mwenye mume kasimama yeye kapiga magotiJenista Muhagama kapiga magoti kabisa..dah..
Jamaa alikuwa na unyonge gani!!?Hakua na nia hiyo km unavyofikiria na pia amewasaidia wengi.
MNYONGE MNYONGENI NA HAKI YAKE MPENI
Nenda kahijiNdio pamesha jengwa kama inauma jichomeni moto.
Yule ndio kiongozi halisi wa Tanzania vizazi na vizazi vitamkumbuka mwamba wa Tanzania
Lilipokua na Mabati mlisema, sasa limejengewa mnasemaDuh!!! Utadhani alikuwa mtakatifu fulani hivi kumbe dhalimu mkubwa sana aliyeharibu maisha ya mamilioni ya Watanzania.
Kuhiji ni lazima wala mwaka huu hauishi, umemuona Jenista Mhagama Mimi nitafunga na kulala pale siku tatu kumuombea heri mtumishi wetu mwaminifu.Nenda kahiji
I'll love this person to my death..RIP JPM
Daaah,masikiniiiiiSijui ni mamaake[emoji1745]