Lile kundi lililokuwa linafurahia uteuzi na utendaji wa Makonda ktk nafasi ya uenezi, linasemaje baada ya utenguzi?

Lile kundi lililokuwa linafurahia uteuzi na utendaji wa Makonda ktk nafasi ya uenezi, linasemaje baada ya utenguzi?

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Kundi lilianza kutamba kwamba linaogopwa sana, na hata likaenda mbali zaidi kwa kusema kundi la "watoto wa mjini" limeufyata kwao.

Nataka kupata majibu ktk maswali haya.
1. Je, kundi hili lina maoni gani kwa sasa baada ya mtu wao kutenguliwa?
2. Bado lina matumaini ya kukirudia kiti cha enzi? Au sasa wameufyata kwa watoto wa mjini?
 
Kuna wale wabunge kama Kalemani, aliwaahidi kuwapigania waupate tena, ni msiba mkubwa kwa kweli
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Wanasema ni kiungo anayeweza kucheza nafasi yoyote siasani.

Wanasema amepelekwa Uchugaji akaokoe jahazi lisiende mrama.

Wanasema ametulizwa kidogo ili kupisha upepo wa uchaguzi.

Wanasema anatumika kumkusanyia Sa100 kura za waliomo na wasiokuwemo.
 
Kundi lilianza kutamba kwamba linaogopwa sana, na hata likaenda mbali zaidi kwa kusema kundi la "watoto wa mjini" limeufyata kwao.

Nataka kupata majibu ktk maswali haya.
1. Je, kundi hili lina maoni gani kwa sasa baada ya mtu wao kutenguliwa?
2. Bado lina matumaini ya kukirudia kiti cha enzi? Au sasa wameufyata kwa watoto wa mjini?
Mama bhana..

Kachezea akili za Sukumagang kwa muda mfupi sana. Akawasoma kirahisi na kuwatendea miujiza...

Tukiwaambia chama kina wenyewe wanatuona machizi
 
Mama bhana..

Kachezea akili za Sukumagang kwa muda mfupi sana. Akawasoma kirahisi na kuwatendea miujiza...

Tukiwaambia chama kina wenyewe wanatuona machizi
Huyo kikubwa karudi kwenye system.......namba haijalishi ni ipi atacheza
 
Asuburie Nape achukue mikoba yake. Komredi Kinana anamsubiria kijana wake kwa hamu sana
Kikubwa password zilizohitajika zimepatikana, wapeane hata urais ila rimoti ipo sehem sahihi kwa sasa
 
Kundi lilianza kutamba kwamba linaogopwa sana, na hata likaenda mbali zaidi kwa kusema kundi la "watoto wa mjini" limeufyata kwao.

Nataka kupata majibu ktk maswali haya.
1. Je, kundi hili lina maoni gani kwa sasa baada ya mtu wao kutenguliwa?
2. Bado lina matumaini ya kukirudia kiti cha enzi? Au sasa wameufyata kwa watoto wa mjini?
Tumenuna tunajipanga kumwangusha yoyote anayetudharau na kutudhalilisha.

Tumejiapiza safari tutalipa kisasi sisi tuko wengi kuanzia Mwanza,Geita,Shinyanga & Tabora ni sisi tu.Hatukubali kuonewa tena na vijikabila vidogo vidogo ambavyo hajai hata Wilaya ya Kwimba.

Ni zamu yetu tumeshaonja mema ya nchi,hakuna wa kututisha tena.
 
Kikubwa password zilizohitajika zimepatikana, wapeane hata urais ila rimoti ipo sehem sahihi kwa sasa
Kapelekwa akapambane na kina Lema huko. Huku mjini wajanja washachukua chama chao.
 
Tumenuna tunajipanga kumwangusha yoyote anayetudharau na kutudhalilisha.

Tumejiapiza safari tutalipa kisasi sisi tuko wengi kuanzia Mwanza,Geita,Shinyanga & Tabora ni sisi tu.Hatukubali kuonewa tena na vijikabila vidogo vidogo ambavyo hajai hata Wilaya ya Kwimba.

Ni zamu yetu tumeshaonja mema ya nchi,hakuna wa kututisha tena.
Na walijisahau kumuweka kwenye kile cheo,,, kilichohitajika kimepatikana 2025 patasomeka
 
Kapelekwa akapambane na kina Lema huko. Huku mjini wajanja washachukua chama chao.
Wa mjini washapewa za uso kikubwa 2025 kwa sasa,,, huko kaskazini ni kwenda kusafisha vinega kwa sasa
 
Kuna wale wabunge kama Kalemani, aliwaahidi kuwapigania waupate tena, ni msiba mkubwa kwa kweli
Hata Upendo Peneza aliahidiwa kuwa atapewa nafasi ya kugombea Jimbo na hata akishindwa atapitishwa viti maalumu. Peneza akavua gwanda fasta na kuvaa gamba.
 
Back
Top Bottom