Kwa ujinga wa baadhi ya wapiga kura, Makonda angeachwa aendelee kuzunguuka nchi, angegombea urais na kura zikahesabiwa kihalali angechukua nchi. Unajua makonda Ni Kama Mrema, not presidential material lkn walalahoi wanamuona mkombozi baada ya kuchoka na wezi.Nasubiri kusikia zile porojo za Makonda eti anafaa kuwa Rais, 2030!
Sasa wamemtoa pale juu, kwenye tengua ijayo atatenguliwa msiwe na hofu.
Wenzake ndani ya CCM hawakufurahia ziara zake na kumpa Kaka mkuu maagizo.
Halafu hili la Salaah. Makonda hajui kwamba Salaa na msoga Ni damdam. Amesahau kwamba mzee bado ana influence.