Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

Hichi cho kifungu cha Sheria ya Ulinzi wa Maliasili?

Jinga kabisa wewe
 
Kwa hiyo hicho ndo kifungu cha Sheria chizi wewe?

Ndo mana tukiwaita nyie wajinga mnasema tunawatukana
 
Najua mnapewa kazi ngumu

Njooni kwangu enyi msumkukao na mizigo nami nitawapumzisha

Kazi mnazopewa ni ngumu sana
 
ACT nayo ni ya kutolea mfano? KKKT ya wapi iliyounga mkono suala la bandari? Ilisema tushaliongelea na ukasema unalifanyia kazi. Tunakuamini. Hiyo ni lugha ya kiutu uzima. Haaminiki bado
 
Sasa hao ACT wako wanao ongozwa za Ayatollah Zitto Kabwe unategemea wataongea nn cha maana wenye akili wote wanajua hao ni CCM tu,Zitto Kabwe alikuwa na AKILI miaka hiyo sio siku hz.
 
Hatimaye pumba zimejitenga kabisa na mchele.

Mkataba wa uwekezaji mahsusi umeshasainiwa!
 
Hatimaye pumba zimejitenga kabisa na mchele.

Mkataba wa uwekezaji mahsusi umeshasainiwa!
Kupitishwa huko haimaanishi kuwa mpo sahihi.. muda ni mwamuzi mzuri sana... Hakuna mlicho fanya kikawa cha maana tangu uhuru .....hili ndo msiba kabisa... Tupo hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…