Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

Haya
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.

Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.

wanafanya
Haya ya 3 inafunga mjadala kuwa Serikali ya WEZI imeweka WEZI BANDARINI na SERIKALI hiyohiyo HAINA UBAVU wala namna ya KUWAONDOA WEZI WENZAO bali inaona ni SAHIHI KUUZA BANDARI ZOTE ZA BAHARI NA MAZIWA NDANI YA MIPAKA YA TANGANYIKA kwa WATAALAMU WA WIZI ili WAONGEZE WIZI.
 
Haya



Haya ya 3 inafunga mjadala kuwa Serikali ya WEZI imeweka WEZI BANDARINI na SERIKALI hiyohiyo HAINA UBAVU wala namna ya KUWAONDOA WEZI WENZAO bali inaona ni SAHIHI KUUZA BANDARI ZOTE ZA BAHARI NA MAZIWA NDANI YA MIPAKA YA TANGANYIKA kwa WATAALAMU WA WIZI ili WAONGEZE WIZI.
Kwa hiyo unaamini Bandari zimeuzwa?

Labda nikuulize zimeuzwaje? Kivipi?
 
Kwa hiyo unaamini Bandari zimeuzwa?

Labda nikuulize zimeuzwaje? Kivipi?
Km haijauzwa,naomba majibu ya haya maswali;
1 . Dubai Ports World wana wekeza ktk bandari ipi hapa Tanganyika?

2. Uwekezaji huo ni wa kipindi cha miaka mingapi?

3. Uwekezaji huo ni kiasi gani cha fedha ambazo zitalipwa kwa mfumo upi?

4. Ni taratibu zipi ktk mkataba huo zikiukwa mkataba una vunjwa na ni nani kati ya pande mbili ana nafasi hiyo?

5. Ni sababu zipi zinazopelekea usuruhishi wa migogoro ktk uwekezaji huu ufanyikie SA?

6.
7.
9.
WEKA USHAIDI KWA KILA JIBU LAKO.
 
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.

Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
Huu ni mchezo mchafu wa watu waliokuwa wanaitafuna bandari kumwaga pesa ili kupotosha ukweli ili wao wacheze pesa watakavyo.. Sasa mama kawastukia.. Wanaanza kulia hovyo.. Mama piga kazi tafuta wawekezaji.. Katika dunia ya sasa uchumi unatawaliwa na private sector na serikali inabaki kuwa monitor tu.. Huu ndo ukweli
 
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.

Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
ELIMU ELIMU ELIMU

ULICHO BWABWAJA HAPA NAJARIBU KU LINK NA ALICHO ONGEA WAKILI MSOMI MWABUKUSI NI TOFAUTI.....

NIMEKUMBUKA UMUHIMU WA LILE SOMO LA UFUPISHO WA HABARI...

WENGI WETU TUTAFIKA MBINGUNI TUMECHOKA SANAAA 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
 
Poleni sana. Ukweli umeshafika. Uzandiki wenu hautafanikiwa kamwe
Poor propagandist with low thinking capacity! Eti nawe wajiita lawyer! Labda wa mchongo!
Mzandiki ni yule ambaye akiziona Mali za umma mate yanamdondoka mithili ya fisi aliyeona mfupa kwenye tv!
 
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.

Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.

Mnakaa vibandani huko mnaandika uto
 

Mnakaa vibandani huko mnaandika uto
Sasa nini hicho?

Walichoripoti ni jambo ambalo hata Serikali wameafiki halina mantiki.

We kwa akili yako kuna uhusiano wowote wa Sheria ya Maliasili na uwekezaji katika management ya Bandari?
 
Poor propagandist with low thinking capacity! Eti nawe wajiita lawyer! Labda wa mchongo!
Mzandiki ni yule ambaye akiziona Mali za umma mate yanamdondoka mithili ya fisi aliyeona mfupa kwenye tv!
Hapa ni facts. Sio propaganda
 
Sasa nini hicho?

Walichoripoti ni jambo ambalo hata Serikali wameafiki halina mantiki.

We kwa akili yako kuna uhusiano wowote wa Sheria ya Maliasili na uwekezaji katika management ya Bandari?
Ndio Kuna uhusiano mkubwa na sidhani kama umesoma kilichoripotiwa humo?

Bandari ipo katika category ya Maliasili za nchi! Ujue Hilo vyema na akili yako ifunguke! Bandari ni asili bandari ni urithi na imejumuishwa humo!
 
Ndio Kuna uhusiano mkubwa na sidhani kama umesoma kilichoripotiwa humo?

Bandari ipo katika category ya Maliasili za nchi! Ujue Hilo vyema na akili yako ifunguke! Bandari ni asili bandari ni urithi na imejumuishwa humo!
Ndo mana nawaambia nyie ni wajinga na ni samahani nikikuita mpumbavu

Kiweke icho kipengele kinasosema bandari ni sehemu ya maliasilia alafu nikufundishe vizuri namna ya kusoma na kuelewa
 
Poor propagandist with low thinking capacity! Eti nawe wajiita lawyer! Labda wa mchongo!
Mzandiki ni yule ambaye akiziona Mali za umma mate yanamdondoka mithili ya fisi aliyeona mfupa kwenye tv!
Hakuna lawyer Hapa tangu naona anapost ni kamjinga Fulani ka mtaani ambalo elimu haijakakomboa
 
Ndo mana nawaambia nyie ni wajinga na ni samahani nikikuita mpumbavu

Kiweke icho kipengele kinasosema bandari ni sehemu ya maliasilia alafu nikufundishe vizuri namna ya kusoma na kuelewa
Sasa wewe ungeanza kuweka kifungu kinachoitoa bandari kuwa sehemu ya Maliasili ya Nchi. Kwanza Kwa matiki ya kunitoa ujinga kabla hujaniita mpumbavu!
 
Ndo mana nawaambia nyie ni wajinga na ni samahani nikikuita mpumbavu

Kiweke icho kipengele kinasosema bandari ni sehemu ya maliasilia alafu nikufundishe vizuri namna ya kusoma na kuelewa
 

Attachments

  • Screenshot_20230906-184554_1.jpg
    Screenshot_20230906-184554_1.jpg
    52.4 KB · Views: 4
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.

Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
Sasa na useme umefanyaje uchambuzi wako kuwatenganisha chawa,wanasiasa njaa kali, wazalendo uchwara, wazalendo halisi, wazalendo njaa na wanufaika wa ufisadi na rushwa katika hili🤔.Kwani upo msemo katika msafara wa mamba wamo kenge, samaki,comodo hata papa na nyangumi,kama sio nyumbu na punda milia 😂😂😂
 
Hapa ni facts. Sio propaganda
Usijizeme data mla ugoro wa chuga kwani hujawahi kuwa na hizo facts acha kutishia nyau watu!
Najua upo kwenye payroll ya buku 7 na ili uipate ni lazima upandishe Uzi mlegevu hapa! Bisha!
 
Back
Top Bottom