Lililokuwa taifa la kupigiwa Mfano halipo tena

Lililokuwa taifa la kupigiwa Mfano halipo tena

Tanzania ya enzi za Nyerere ikiheshimika kila pembe ya dunia haipo tena. Tanzania hiyo ilikuwa na misimamo yake iliyojulikana na isiyotetereka.

Uhuru wa Tanzania hiyo haukuwa na maana yoyote bila Afrika yote kuwa huru. Uhuru wa Tanzania hiyo haukuwa na maana yoyote kama kulikuwa na ukiukwaji haki popote duniani Ukweli huo ulifahamika hivyo na kila rafiki na hata kila adui.

Kama taifa tulikuwa wamoja na nchi ilikuwa yetu sote. Nguvu ya hoja ilitamalaki na uthubutu wa kuhoji ulisisitizwa katika nyanja zote kutokea shule za misingi.

Leo baadhi ya watu kwa nafasi na ubinafsi wao wametumia nguvu kuuuwa uthubutu wa kuhoji. Yote hiyo ikiwa kwa nia ya kujimilikisha nchi wao na familia zao. Wasijue kuwa nchi wanaiuwa pia

Leo hatushindani kwa hoja. Hoja hazijibiwi kwa hoja, bali kejeli au kwa marungu. Watu wenye hoja tofauti wanatakiwa kuufyata. Tumelazimishwa kuwa taifa la makondoo.

Matokeo yake yamekuwa watu kulia lia yanapowakuta bila kuwa na uthubutu wa kuchukua hatua. Watu wamelazimika kuwa wenye kuangalia maslahi yao binafsi yanayowagusa wao moja kwa moja. Kwa maana jitihada za kuhoji lolote zimegeuzwa kuwa ni kujichumia majanga.

Uwezo wa kujenga, kutetea au kupinga hoja haupo tena. Utanzania wetu tuliojulikana nao umeparaganyika. Kila mtu imekuwa yupo yupo tu. Leo bila aibu tunajinasibu kama mashabiki wa Man U au Arsenal.

Ni muhimu kwa Kila mmoja kujihoji amefanya nini kuifikisha hii nchi hapa.

Anasema Prof Shivji:

“Pasipo mijadala au ubunifu huwezi kuendeleza fikra, na hii inakwenda moja kwa moja kuathiri usomaji na ufundishaji.”

Kwanini kuwaziba watu midomo? Kwanini hoja kupigwa marungu? Kwanini kuitana majina? Kwanini kujikita kupambana na mleta hoja badala ya kupambana na hoja? Nk, nk.

Kwanini JF hupiga wajumbe ban, kufuta au kufunga nyuzi bila kutoa sababu zikajulikana hadharani?

"Kwanini," huhitaji majibu si marungu.
Hi thread ingekuwa na maana kipindi kile Cha utawala wa mkono wa chuma wa dikteta, lakini sasaivi nchi imerudi kwenye misingi yake
 
...........
Jambo la msingi hukukanusha idadi kubwa ya walionyongwa kipindi cha Mwinyi kuliko Nyerere.”[/I]
Mbona swala la kunyonga umeling'ang'ania sana kana kwamba Mwinyi alivunja sheria.

Je Mwinyi alinyonga wengi kwa kufuata katiba au kuvunja katiba?
Kama katiba inasema kwamba alieuwa na yeye adhabu yake kunyongwa kosa la Mwinyi liko wapi hapo?
Angenyonga watu bila katiba kuruhusu adhabu ya kunywongwa ndo tungem judge na kumlaumu kwa hilo, lakini kwa vile alifuata katiba basi hilo sio la kumlaumu. Ngoja nikupe tena mfano mungine wa fact hapo chini.

Vitabu vya dini vinatuambia kuwa Mungu atawaadhibu wale wote wanaotenda dhambi bila kujali alietenda dhambi hiyo ni mwanamk, mwanaume, tajiri, masikini nk.
So ikitokea kweli wale waliotenda dhambi wakaadhibiwa kwa huo moto tulioambiwa kwenye vitabu vya dini je wewe utamlaumu Mungu kwa hilo? Na kama utamlaumu utamlaumu kwa misingi gani na wakati tayari Mungu alikuwa ashaonya na kutoa angalizo mapema kupitia vitabu vya dini ila watu wakapuuza?

Swali lingine.. sasa kama Mungu alietuumba anatuadhibu kutokana na makosa tunayofanya, je utamlaumu vipi Mwinyi na yeye kuwaadhibu watu kwa mujibu wa katiba na sheria kwa makosa waliyofanya?

Kama Mwinyi alifanya kosa kunyonga watu, sasa ile hukumu ya kunyonga inayotolewa na hakimu kupitia sheria zetu ina kazi gani?

Nimeuliza kwa kukupa mifano ya vitabu vya dini na katiba ili kama kuna sehemu unaona Mwinyi alivunja katiba kwa kunyonga watu unioneshe.
Hukukanusha pia ya Mzee punch wala ya 👉 matusi ya nguoni 👈 wala wanafunzi 10 'waliofukuzwa milele' na Mwinyi.”[/I]
Hebu weka mahaba pemben na jenga picha kwamba ni wewe baba yako anatukanwa matusi ya nguoni tena mbele ya watu, wewe binafsi utajisikiaje (samahan kwa kukupa mfano wa baba yako, maana ndo naona utakuwa mfn mwepesi kupata picha ya jinsi familia ya Mwinyi na Mwinyi mwenyew kama raisi na baba wa familia alivyojisikia),

Kumbuka demokrasia ni uhuru, lkn pia hakuna uhuru usiokuwa na mipaka, ndio maana hata kule Marekan ambapo ndio demokrasia hii tuifatayo ilipootea mizizi kuna kipindi Trump aliwahi kuamrisha mmoja wa waandishi wa habari waliokuwa wanamuuliza maswali atolewe nje, na yule bint akatolewa nje tena kwa ghadhabu.

Sio kwa Trump tu hata Obama ashawahi kumwambia mwandishi aliemuuliza swali atoke nje na yule mwandishi akatoka nje video zipo humu.

Sasa jiulize.. kama muuliza swali tu alitolewa nje namna ile, je angemtusi matusi ya nguoni kama yule aliemtusi Mwinyi hali ingekuaje?
Ndio Mwinyi ni raisi, lkn na yeye ni binadamu ana mke, ana watoto, ana wajukuu, ndugu na ni kiongozi wa mamilioni ya watu.

So haikuwa sahihi mtu kutumia uhuru alipewa kuchora picha ya matusi, wangempinga kwa hoja hapo wangeeleweka, na hakuna mtu ambae angewafukuza shuleni.

Wewe unafikiri chini ya uongozi wa Nyerere mchora picha yule tungekuwa nae leo? Na kama tungekuwa nae basi pengine angekuwa na ulemavu katika kiungo chake fulani.
 
...........
Mbona swala la kunyonga umeling'ang'ania sana kana kwamba Mwinyi alivunja sheria.

Je Mwinyi alinyonga wengi kwa kufuata katiba au kuvunja katiba?
Kama katiba inasema kwamba alieuwa na yeye adhabu yake kunyongwa kosa la Mwinyi liko wapi hapo?
Angenyonga watu bila katiba kuruhusu adhabu ya kunywongwa ndo tungem judge na kumlaumu kwa hilo, lakini kwa vile alifuata katiba basi hilo sio la kumlaumu. Ngoja nikupe tena mfano mungine wa fact hapo chini.

Vitabu vya dini vinatuambia kuwa Mungu atawaadhibu wale wote wanaotenda dhambi bila kujali alietenda dhambi hiyo ni mwanamk, mwanaume, tajiri, masikini nk.
So ikitokea kweli wale waliotenda dhambi wakaadhibiwa kwa huo moto tulioambiwa kwenye vitabu vya dini je wewe utamlaumu Mungu kwa hilo? Na kama utamlaumu utamlaumu kwa misingi gani na wakati tayari Mungu alikuwa ashaonya na kutoa angalizo mapema kupitia vitabu vya dini ila watu wakapuuza?

Swali lingine.. sasa kama Mungu alietuumba anatuadhibu kutokana na makosa tunayofanya, je utamlaumu vipi Mwinyi na yeye kuwaadhibu watu kwa mujibu wa katiba na sheria kwa makosa waliyofanya?

Kama Mwinyi alifanya kosa kunyonga watu, sasa ile hukumu ya kunyonga inayotolewa na hakimu kupitia sheria zetu ina kazi gani?

Nimeuliza kwa kukupa mifano ya vitabu vya dini na katiba ili kama kuna sehemu unaona Mwinyi alivunja katiba kwa kunyonga watu unioneshe.
Hebu weka mahaba pemben na jenga picha kwamba ni wewe baba yako anatukanwa matusi ya nguoni tena mbele ya watu, wewe binafsi utajisikiaje (samahan kwa kukupa mfano wa baba yako, maana ndo naona utakuwa mfn mwepesi kupata picha ya jinsi familia ya Mwinyi na Mwinyi mwenyew kama raisi na baba wa familia alivyojisikia),

Kumbuka demokrasia ni uhuru, lkn pia hakuna uhuru usiokuwa na mipaka, ndio maana hata kule Marekan ambapo ndio demokrasia hii tuifatayo ilipootea mizizi kuna kipindi Trump aliwahi kuamrisha mmoja wa waandishi wa habari waliokuwa wanamuuliza maswali atolewe nje, na yule bint akatolewa nje tena kwa ghadhabu.

Sio kwa Trump tu hata Obama ashawahi kumwambia mwandishi aliemuuliza swali atoke nje na yule mwandishi akatoka nje video zipo humu.

Sasa jiulize.. kama muuliza swali tu alitolewa nje namna ile, je angemtusi matusi ya nguoni kama yule aliemtusi Mwinyi hali ingekuaje?
Ndio Mwinyi ni raisi, lkn na yeye ni binadamu ana mke, ana watoto, ana wajukuu, ndugu na ni kiongozi wa mamilioni ya watu.

So haikuwa sahihi mtu kutumia uhuru alipewa kuchora picha ya matusi, wangempinga kwa hoja hapo wangeeleweka, na hakuna mtu ambae angewafukuza shuleni.

Wewe unafikiri chini ya uongozi wa Nyerere mchora picha yule tungekuwa nae leo? Na kama tungekuwa nae basi pengine angekuwa na ulemavu katika kiungo chake fulani.

Hakuna nilipokazania suala la kunyongwa au kumponda awaye yote aliyeridhia watu kunyongwa kwa mujibu wa sheria.

Sina tatizo na Mzee Mwinyi kama binadamu ila Nina tatizo na wewe kutaka kumpaka rangi kupitiliza kuwa ni mwingi wa huruma kuliko wengine.

Kwenye upaka rangi wako:

1. Ulipotosha kwa kudai kulihifadhi jina la mchora mapicha kuwa alidakwa na wana usalama ila Mwinyi kwa wingi wa huruma akawataka kumwachia. Wakati ukijua ni uongo taslimu.

2. Umeendelea mbele tena hapa kuonyesha kuwa kuchora mapicha ya matusi ambako nakubaliana nawe kuwa hakukubaliki Mwinyi pia hakukuvumilia.

3. Kulinganisha hoja zako kwenye #1 na #2 hapo haijulikani Mfano wako wa kumpembejea Mwinyi kupitiliza hivi kwenye kadhia hiyo ulikuwa una maana wapi.

4. Mifano ya unyongaji niliyokupa ilikuwa kukuitisha kupunguza mzuka na mtu kwa jina huruma.

Naendelea kukumbusha msingi wa hoja ni uthubutu wa kuhoji huondoa miungu watu na kuimarisha taifa na huo Nyerere hajuchoka kuusemea.
 
Hakuna nilipokazania suala la kunyongwa au kumponda awaye yote aliyeridhia watu kunyongwa kwa mujibu wa sheria.

Sina tatizo na Mzee Mwinyi kama binadamu ila Nina tatizo na wewe kutaka kumpaka rangi kupitiliza kuwa ni mwingi wa huruma kuliko wengine.

Kwenye upaka rangi wako:

1. Ulipotosha kwa kudai kulihifadhi jina la mchora mapicha kuwa alidakwa na wana usalama ila Mwinyi kwa wingi wa huruma akawataka kumwachia. Wakati ukijua ni uongo taslimu.

2. Umeendelea mbele tena hapa kuonyesha kuwa kuchora mapicha ya matusi ambako nakubaliana nawe kuwa hakukubaliki Mwinyi pia hakukuvumilia.

3. Kulinganisha hoja zako kwenye #1 na #2 hapo haijulikani Mfano wako wa kumpembejea Mwinyi kupitiliza hivi kwenye kadhia hiyo ulikuwa una maana wapi.

4. Mifano ya unyongaji niliyokupa ilikuwa kukuitisha kupunguza mzuka na mtu kwa jina huruma.

Naendelea kukumbusha msingi wa hoja ni uthubutu wa kuhoji huondoa miungu watu na kuimarisha taifa na huo Nyerere hajuchoka kuusemea.
Wewe ndio wale wanaonyooshea watu kidole kimoja huku vinne vikimwangalia mnyooshaji.

Unasema kuwa mimi nampaka rangi Mwinyi kupitiliza, lkn unajifanya hauoni kuwa na ww unampa Nyerere sifa ambazo hazimstahili.

Unapozungumzia swala la uhuru wa kutoa hoja na uthubutu wa kuhoja, Nyerere hutakiwi kumuweka kama kioo cha misingi hiyo maana katika utawala wake alipingana nayo. Nimekutolea mifano iliyo hai na kuna wadau mbali mbali waliokuwepo kipindi cha Nyerere wamekufahamisha humu kupitia uzi huu, lkn kama hiyo haitoshi nikakukumbusha kuwa hata Lisu mwenyewe aliwahi kuongelea kuhusu jinsi Nyerere alivyoendesha nchi ki propaganda propaganda (uongo uongo) ili aje kusifiwa hata kwa yale ambayo hakustahili kusifiwa (kama hivi unavyofanya).

Fikiria mtu aliefuta vyama vyama vya upinzani, lkn kama hiyo haitoshi akaanza kupambana hata na wale waliojaribu kutoa mawazo yao mbadala tena bila kuvunja sheria.

Nyerere aliingiza nchi katika sera za kijamaa huku akiona kabisa misingi ya sera hiyo ilikuwa inaliangamiza taifa letu, na ukizingatia nchi yetu ilikuwa bado changa kwa kuiingiza katika sera hizo.
Watu walioona mbali kuhusu athari za sera hiyo walijaribu kumshauri, lkn matokeo yake waliishiwa kukebehiwa, kudharauliwa, kupuuzwa na wengine kupewa kesi zisizokuwa na kichwa wala miguu ili yey apate nafasi ya kufanya kile alichofikiri kufanya mwenyewe.

Na usifikiri hakuna waandishi pia ambao walikuwa wanajua athari zile za sera na siasa zake za kijamaa, lkn hakuna hata mmoja kati yao aliekuwa na uwezo wa kuthubutu kuandika chochote kutoa maoni yake kama jinsi watu walivyoanza kuruhusiwa kutoa maoni yao chini ya serikali ya mzee Mwinyi na hadi leo utaratibu huo wa kutoa mawazo umekuwa ukiendelea nk. Nyerere aliwezana na watu kama kina mzee Kawawa ambae yeye siku zote alikuwa mzee wa 'NDIO' hakuwai kuwaza kumpinga Nyerere kwa lolote wala chochote.

Jiulize... Je Lisu aliongea maneno yale kwa vile alimchukia Nyerere, au aliongea kwa vile alitaka watu waone jinsi mzee alivyoiendesha nchi kwa mkono wa chuma, tofauti na jinsi watu wamekuwa wakiaminishwa kupitia propaganda mbali mbali kwamba Nyerere alioongoza nchi hii kwa misingi ya kweli na uhuru.

Jiulize hivi kati ya wewe na Lisu ni nani aliemuelewa Nyerere vizuri?
Ni nani alieonja joto la jiwe la uongozi wake?
Ukiona mtu aina ya Tundu Lisu kaja kuzungumzia mabaya ya baba wa taifa hadharani tena aliefariki zaidi ya miaka 15 iliyopita, basi unatakiwa uyatafakari sana yale yaliosemwa dhidi yake, maana Tundu asingekurupuka tu bila kuwa na fact ya kile anachokisema.

Nyerere alipata uthubutu wa kuongea baada ya kutoka madarakani, na vilevile baada ya kuona raisi aliepo hakuwa mtu wa kupambana na wanaomsema, wanaomshauri au wanaompinga.

Ingekuwa Mwinyi ana akili kama za yule kichaa aliemfunga Kaunda kule Zambia, basi Nyerere angenyuti pembeni kusikilizia kama walivyosikilizia wengine wakati wa utawala wake.

Ila alipogundua kuwa Mwinyi ni raisi mwenye sera na misimamo tofauti na ya kwake, ndo na yeye akapata moral wa kukosoa kosoa hata pale ambapo hapakustahili kukosolewa.

Narudia tena Nyerere ni baba wa taifa letu, na mengi tu mazuri ameyafanya kwenye nchi yetu.

Lakini sifa ya kuheshimu maoni ya watu, kuheshimu uhuru wa kutoa mawazo, maoni nk hakuwa nayo.
Hiyo sifa muasisi ni Mwinyi na wengine waliofatia wakairithi.
 
Wewe ndio wale wanaonyooshea watu kidole kimoja huku vinne vikimwangalia mnyooshaji.

Unasema kuwa mimi nampaka rangi Mwinyi kupitiliza, lkn unajifanya hauoni kuwa na ww unampa Nyerere sifa ambazo hazimstahili.

Unapozungumzia swala la uhuru wa kutoa hoja na uthubutu wa kuhoja, Nyerere hutakiwi kumuweka kama kioo cha misingi hiyo maana katika utawala wake alipingana nayo. Nimekutolea mifano iliyo hai na kuna wadau mbali mbali waliokuwepo kipindi cha Nyerere wamekufahamisha humu kupitia uzi huu, lkn kama hiyo haitoshi nikakukumbusha kuwa hata Lisu mwenyewe aliwahi kuongelea kuhusu jinsi Nyerere alivyoendesha nchi ki propaganda propaganda (uongo uongo) ili aje kusifiwa hata kwa yale ambayo hakustahili kusifiwa (kama hivi unavyofanya).

Fikiria mtu aliefuta vyama vyama vya upinzani, lkn kama hiyo haitoshi akaanza kupambana hata na wale waliojaribu kutoa mawazo yao mbadala tena bila kuvunja sheria.

Nyerere aliingiza nchi katika sera za kijamaa huku akiona kabisa misingi ya sera hiyo ilikuwa inaliangamiza taifa letu, na ukizingatia nchi yetu ilikuwa bado changa kwa kuiingiza katika sera hizo.
Watu walioona mbali kuhusu athari za sera hiyo walijaribu kumshauri, lkn matokeo yake waliishiwa kukebehiwa, kudharauliwa, kupuuzwa na wengine kupewa kesi zisizokuwa na kichwa wala miguu ili yey apate nafasi ya kufanya kile alichofikiri kufanya mwenyewe.

Na usifikiri hakuna waandishi pia ambao walikuwa wanajua athari zile za sera na siasa zake za kijamaa, lkn hakuna hata mmoja kati yao aliekuwa na uwezo wa kuthubutu kuandika chochote kutoa maoni yake kama jinsi watu walivyoanza kuruhusiwa kutoa maoni yao chini ya serikali ya mzee Mwinyi na hadi leo utaratibu huo wa kutoa mawazo umekuwa ukiendelea nk. Nyerere aliwezana na watu kama kina mzee Kawawa ambae yeye siku zote alikuwa mzee wa 'NDIO' hakuwai kuwaza kumpinga Nyerere kwa lolote wala chochote.

Jiulize... Je Lisu aliongea maneno yale kwa vile alimchukia Nyerere, au aliongea kwa vile alitaka watu waone jinsi mzee alivyoiendesha nchi kwa mkono wa chuma, tofauti na jinsi watu wamekuwa wakiaminishwa kupitia propaganda mbali mbali kwamba Nyerere alioongoza nchi hii kwa misingi ya kweli na uhuru.

Jiulize hivi kati ya wewe na Lisu ni nani aliemuelewa Nyerere vizuri?
Ni nani alieonja joto la jiwe la uongozi wake?
Ukiona mtu aina ya Tundu Lisu kaja kuzungumzia mabaya ya baba wa taifa hadharani tena aliefariki zaidi ya miaka 15 iliyopita, basi unatakiwa uyatafakari sana yale yaliosemwa dhidi yake, maana Tundu asingekurupuka tu bila kuwa na fact ya kile anachokisema.

Nyerere alipata uthubutu wa kuongea baada ya kutoka madarakani, na vilevile baada ya kuona raisi aliepo hakuwa mtu wa kupambana na wanaomsema, wanaomshauri au wanaompinga.

Ingekuwa Mwinyi ana akili kama za yule kichaa aliemfunga Kaunda kule Zambia, basi Nyerere angenyuti pembeni kusikilizia kama walivyosikilizia wengine wakati wa utawala wake.

Ila alipogundua kuwa Mwinyi ni raisi mwenye sera na misimamo tofauti na ya kwake, ndo na yeye akapata moral wa kukosoa kosoa hata pale ambapo hapakustahili kukosolewa.

Narudia tena Nyerere ni baba wa taifa letu, na mengi tu mazuri ameyafanya kwenye nchi yetu.

Lakini sifa ya kuheshimu maoni ya watu, kuheshimu uhuru wa kutoa mawazo, maoni nk hakuwa nayo.
Hiyo sifa muasisi ni Mwinyi na wengine waliofatia wakairithi.

Ninaamini tunapiga hatua. Umejitenga na uongo uongo mwingi ambao ulidhani hautakaguliwa.

Nyerere alisema haya:

IMG_20221017_103027_006.jpg


Onyesha tatizo lilipo au angalau toa msimamo wa wengine kuhusu hayo.

Wacha maneno weka muziki.
 
Ninaamini tunapiga hatua. Umejitenga na uongo uongo mwingi ambao ulidhani hautakaguliwa.

Nyerere alisema haya:

View attachment 2392707

Onyesha tatizo lilipo au angalau toa msimamo wa wengine kuhusu hayo.

Wacha maneno weka muziki.
Mimi naona hapa ni mabishano kati ya mtu aliekuwepo wakati wa Nyerere na asiekuwepo wakati wa Nyerere.

Sasa hatuwezi kwenda sawa, maanake mimi nilikuwepo, kwahiyo naandika vilivyokuwepo. Wewe haukuwepo kwahiyo unaandika ulivyohadithiwa.

Sasa acha tu mimi niishie hapa. Wewe endelea kuamini unachoamini, japo pengine unaujua ukweli niliyouandika na kuukubali moyoni. Lkn kwa hapa JF unajitahidi kuufichwa kwa sababu unazozijua wewe, na huyo aliekusimulia.
Na mimi acha niendelee kuamini kwa kile nilichokiona na kukishuhudia bila kungoja kusimuliwa.
Mimi sio mnafiki kwenye sifa zinazomuhusu Nyerere naongea ukweli na sifa zake nampa kama nilivyoandika hapo juu, maana kuwa mkweli hakunipunguzii kitu, sili kwa mtu wala silali kwa mtu so niko huru. Ila inaonekana wewe ni kama vile unaandika mengi kinafiki kana kwamba ukiandika ukweli kuhusu uongozi wa Nyerere kuhusu namna alivyominya demokrasia na uhuru wa kutoa maoni labda kuna mtu atakufukuza kwake au kukunyanganya ugali wake.

So mimi naishi hapa mkuu, hao wanaufanya mtu afiche ukweli sio Mungu na wala sio mitume, kwamba tukiwasifu sana watatupeleka mbinguni au peponi.

Uwe na siku njema.
 
Mimi naona hapa ni mabishano kati ya mtu aliekuwepo wakati wa Nyerere na asiekuwepo wakati wa Nyerere.

Sasa hatuwezi kwenda sawa, maanake mimi nilikuwepo, kwahiyo naandika vilivyokuwepo. Wewe haukuwepo kwahiyo unaandika ulivyohadithiwa.

Sasa acha tu mimi niishie hapa. Wewe endelea kuamini unachoamini, japo pengine unaujua ukweli niliyouandika na kuukubali moyoni. Lkn kwa hapa JF unajitahidi kuufichwa kwa sababu unazozijua wewe, na huyo aliekusimulia.
Na mimi acha niendelee kuamini kwa kile nilichokiona na kukishuhudia bila kungoja kusimuliwa.
Mimi sio mnafiki kwenye sifa zinazomuhusu Nyerere naongea ukweli na sifa zake nampa kama nilivyoandika hapo juu, maana kuwa mkweli hakunipunguzii kitu, sili kwa mtu wala silali kwa mtu so niko huru. Ila inaonekana wewe ni kama vile unaandika mengi kinafiki kana kwamba ukiandika ukweli kuhusu uongozi wa Nyerere kuhusu namna alivyominya demokrasia na uhuru wa kutoa maoni labda kuna mtu atakufukuza kwake au kukunyanganya ugali wake.

So mimi naishi hapa mkuu, hao wanaufanya mtu afiche ukweli sio Mungu na wala sio mitume, kwamba tukiwasifu sana watatupeleka mbinguni au peponi.

Uwe na siku njema.

Hoja hujibiwa kwa hoja. Hoja haipigwi rungu. Hizo ni nukuu toka Nyerere.

Nukuu za wengine ziko wapi tulinganishe?

Maneno Matupu, hoja umeikimbia:

IMG_20221017_103027_006.jpg


Liko wapi tatizo hapo au Iko wapi misimamo ya wengine?

Zingatia: Kuyajua yaliyoko Mars si lazima kuishi huko.
 
Hoja hujibiwa kwa hoja. Hoja haipigwi rungu. Hizo ni nukuu toka Nyerere.

Nukuu za wengine ziko wapi tulinganishe?

Maneno Matupu, hoja umeikimbia:

View attachment 2392742

Liko wapi tatizo hapo au Iko wapi misimamo ya wengine?

Zingatia: Kuyajua yaliyoko Mars si lazima kuishi huko.
Waswahili washakwambia maneno matupu hayavunji mfupa. Nyerere alikuwa mwepesi wa kuongea ila mzito wa kutenda. So sioni cha maana alichofanya hapo.

Ni mfano leo kiongozi wa dini apige vita zinaa na wizi huku yeye mwenyew akiiba sadaka zao na kuzitumia kulala na wake za watu, hii itakuwa na tija gani kwa wale anao wahubiria?

Kama aliamini katika uhuru wa kutoa maoni kama jinsi alivyotoa yeye, kwann aliwadhibiti watu wasiongelee uozo wa uongozi wake?

Wewe kama unaamini katika maneno, sisi wengine tunaamini katika matendo. Ndio maana marehem Banza Stone aliwahi kuimba kuwa "maneno sio mtaji useme uuze utajirike" akimaanisha kuwa maneno ni kitu ambacho kila mtu anaweza kukiongea na akakupangia mipango mizuri kupitia maneno yake, lkn linapokuja swala sasa la utekelezaji unakuta muhusika anaingia mitini.
 
Waswahili washakwambia maneno matupu hayavunji mfupa. Nyerere alikuwa mwepesi wa kuongea ila mzito wa kutenda. So sioni cha maana alichofanya hapo.

Ni mfano leo kiongozi wa dini apige vita zinaa na wizi huku yeye mwenyew akiiba sadaka zao na kuzitumia kulala na wake za watu, hii itakuwa na tija gani kwa wale anao wahubiria?

Kama aliamini katika uhuru wa kutoa maoni kama jinsi alivyotoa yeye, kwann aliwadhibiti watu wasiongelee uozo wa uongozi wake?

Wewe kama unaamini katika maneno, sisi wengine tunaamini katika matendo. Ndio maana marehem Banza Stone aliwahi kuimba kuwa "maneno sio mtaji useme uuze utajirike" akimaanisha kuwa maneno ni kitu ambacho kila mtu anaweza kukiongea na akakupangia mipango mizuri kupitia maneno yake, lkn linapokuja swala sasa la utekelezaji unakuta muhusika anaingia mitini.

La msingi zaidi ni kuwa tunasogea mbele:

1. Ni wazi kuwa huna hoja yoyote dhidi ya kauli thabiti za Nyerere.
2. Ni wazi pia kuwa huna lolote la kuonyesha kama ushahidi kutoka kwa unaojaribu kuwafagilia dhidi ya Nyerere. Si kwa maneno wala matendo.
3. Kimsingi kauli za Nyerere zinajisimamia zenyewe dhidi tantarira zako zote zisizokuwa na mbele wala nyuma.

Sasa unasema taabu yako ni matendo ya Nyerere:

"Matendo ya Nyerere nchini na duniani nayo yanajiongelea yenyewe."

1. Kwa kutambua mchango wake Nyerere anatambulika kama baba wa taifa taifa hili.
2. Hotuba zake zingali zikisika nchini kila siku.
3. Mchango wa Nyerere kwenye ukombozi wa nchi nyingi kusini mwa Afrika, hayupo mwenye akili zake anayeweza kuudogosha.
4. Uimara wa taifa hili uliokuwapo zama zake ulitokana na jitihada zake za vitendo.
5.Marafiki na maadui zetu kutokana naye tulijulikana misimamo yetu ilikuwa nini. Si kwa mabeberu, makaburu, Palestine, POLISARIO nk.
6. Nyerere anaendelea kuishi miongoni mwa wengi ambapo hata uzi huu miaka 23 baadaye ni ushahidi tosha.
7. Nk,nk.

Ndugu CV ya Nyerere kwa maneno na hata matendo ni kubwa sana.

Kwani CV ya kwako iko wapi tulinganishe?
 
Back
Top Bottom