Lililokuwa taifa la kupigiwa Mfano halipo tena

Lililokuwa taifa la kupigiwa Mfano halipo tena

Si kweli kuwa mwalimu hakupenda kuhojiwa. Msimamo wa Nyerere kuhusiana na hoja tofauti ulikuwa ni huu:

View attachment 2390143

Nyerere hakuwa na taabu na wenye hoja bali wenye kutaka kulpua mlang.bila kujali waliomo.

Nikuulize kuutathmini msimamo huo kabla ya ku draw conclusion.
Unaikumbuka hoja ya Abdul Jumbe aliekuwa Rais wa Zanzibar nini kilimkuta?
 
Sikulaumu sana kwa vile najua yote uliyoandika hapa ulihadithiwa, na aliekuhadithia aliamua kukuhadithia hivi kwa sababu zake maalum.

Alijua kwamba wewe hauna ujanja wala uwezo wa kutambua michanga anayokulisha. Siku zote mtu anapotaka kudanganya huwa anaangalia target ya yule anaetaka kumdanganya, so akiona anaetaka kudanganywa amekaa kihasara hasara bila kuonesha maarifa ya kutaka kuutafuta ukweli, basi mdanganyaji ndo huanza sasa kumwaga uongo wake na kutimiza malengo yake. Ila akiona mtu anaetaka kumdanganya yuko makini kuzuia uongo wowote basi mdanganyaji huamua kuacha kudanganya ili kukwepa aibu.

So mpaka hapo inaonesha dhahiri kuwa umemezeshwa matango pori tena yaliojaa miba. Na ujanja wa kuyacheuwa hauna. Anyway ngoja nikupe somo hapo chini.

Unasema wakati wa Mwinyi ndio ikulu ilianza kushuka thamani. Je unaweza kuweka kithibitisho chenye kuthibitisha kuwa ikulu ilikosa thamani?
Inamaana ndugu, au watu kutembelea ikulu ndo kukosa thaman!!!
Ni watu wangapi mpaka wasanii, wanamichezo nk wamekuwa wakitembelea ikulu ya white house, je kutembelewa huko kumeishusha thaman kiasi gani ikulu yao?
Inamaana ikulu ni peponi au mbinguni ambapo hapatakiwi mtu wa kawaida kutembelea mpaka wale watu wa Mungu peke yao.

Kuhusu elimu naomba uniletee fact (na sio maneno matupu) zinazoonesha kuwa wakati wa utawala wa Nyerere alimu ilipewa kipaumbele na wakati wa Mwinyi haikupewa kipaumbele.

Kuhusu majina ndo kama nilivyoandika hapo juu kwamba Mwinyi aliamini katika demokrasia na uhuru wa kutoa mawazo, ndo maana kila mtu alikuwa huru kumwita jina alilotaka, kitu ambacho kwa Nyerere ingekuwa hatari kubwa kwa waitaji wa majina hayo.

Hivi wewe haujui kama Mwinyi alipoingia aliikuta nchi iko uchi kutokana na hali mbaya ya uchumi aliouacha Nyerere. Ikiwa walimu, manesi, madokta, polisi, jeshi na watumishi wengine wa serikali ilikuwa ngumu kuwalipa mishahara kutokana na hali mbaya ya uchumi, sasa hizo hela za waastafu unazosema zingetoka wapi?

Unaposema wizi na ufisadi ulianza wakati wa Mwinyi hapo ndo nipogundua kwamba wewe umehadithiwa wala haukuwepo wakati wa Mwinyi. Sisi tuliokuwepo tunafahamu jinsi Mwinyi alipoingia tu ikulu alianza na oparation ya fagio la chuma ili kurudisha pesa zilizokuwa zimeibwa na kukwapuliwa wakati wa utawala wa Nyerere. kuna msemo unaosema kifo cha wengi harusi kwahiyo wakati watu walipokuwa wanaumia na kuteseka wakati wa uongozi wa Nyerere, kuna wajanja wachache waliokuwa wananeemeka kupitia hali hiyo. Mfano kipindi hicho kulikuwa hakuna bidhaa nzuri madukani, hakuna chakula kizuri madukani, hakuna mafuta, sukari nk. Watu tulikuwa tunalishwa unga wa yanga, sabuni za kutengenezwa na mise ya michikichi. Ila viongozi wa serikali walikuwa wanakula vizuri na baadae walikuwa wanakusanya vyakula hivyo na kwenda kuviuza kwa watu wenye pesa kimya kimya. Na kwa vile kipindi hicho kulikuwa hamna maduka basi ilikuwa rahisi watu wenye pesa kununua vitu hivyo kupitia baadhi ya viongozi hao wa serikali.

Kifupi toka tulipopata uhuru hakuna awamu ambayo ilipita bila ufisadi na wizi wa fedha za serikali. Kasome historia za kina mzee Mtei wakati wapo serikalini pamoja na magava wengine waliofanyakazi chini ya serikali ya Nyerere.

Nyerere ni baba wa taifa, alijenga misingi bora ya umoja na mshikamano, alitokomeza ukabila, ukanda nk, lkn ndio raisi alieondoka madarakani akiiacha nchi ikiwa uchi kiuchumi, huku wananchi wakiwa maskini wa kutupwa, 90% ya wananchi wakiwa hawana uwezo hata wa kula milo miwili au mmoja kwa siku. Watu walichakaa wasijue wapi watapata angalau mafuta ya kula ya kupaka mwilini, watu walikauka midomo kwa kukosa maji, walikonda na hata kuumwa vidonda vya tumbo kwa kukosa chakula maana unakuta familia ya mume, mke na watoto 4 inapokea kilo 2 tu ya unga wa yanga kwa ajili ya ugali, kilo 2 ya mchele tena mdundiko, mafuta lita 1, sukari kilo 1 afu wanaambiwa watumie week nzima ndo gari kitapita tena.

Mwinyi alipoingia aliondoa mateso yote watu wakawa wanapata huduma inavyostahili, waandishi wa habari wakaruhusiwa kuandika chochote wanachojisikia kitu ambacho kwa Nyerere ilikuwa ngumu kwa muandishi kuandika kitu kibaya against government yani mwandishi unatakiwa uandike habari za kumsifu baba wa taifa na serikali yake tu. Na ndio maana wengi hamkujua ukweli kuhusu uozo uliyokuwa ndani ya serikali yake. Mwinyi aliruhusu kukosolewa na waliokosoa hawakuuwawa, hawakukimbia nchi, hawakuteswa, hawakufungwa wala kufukuzwa chama, ila kwa wale waliothubutu kumkosoa Nyerere wengi wao hatunao tena, wengine mpaka leo wapo nje ya nchi na uraia walibadilisha kitambo sana.

Nakuonea huruma kwa kulishwa matango pori tena ukute umelishwa na mtu wa kijijini asiejua lolote wala chochote.
Ndugu yangu umemaliza kila kitu nakumbuka mwaka 1983 niliwakimbia polisi wasinikamate kwa kosa la kuuza vipande vya dawa ya mbu yalikuwa maisha mabovu sijapata kuona!!!

Kipindi hicho tulikuwa tukiliona trekta tunalikimbilia tukidhani limebeba chakula inafikia tunakimbilia mpaka gari zilizobeba maiti usitishwe na hizo nukuu lakini uhalisia Nyerere aliongoza Nchi hii kwa mkono wa chuma
 
Mbona wamejitokeza mara nyingi? What have they gained zaidi ya kuwa branded negatively na hao ambao wame consolidate power na wealth?
Ili kufupisha mjadala huu kati yetu, ingependeza sana kama ungetaja majina ya hao unaowafikiria kuwa "wamejitokeza mara nyingi,"
Itarahisisha sana mjadala huu ukiweka mifano ya hawa watu.
 
Unaikumbuka hoja ya Abdul Jumbe aliekuwa Rais wa Zanzibar nini kilimkuta?
Kwa hiyo kwa maoni yako wewe unajuwa ulikuwa ni uamzi wa Mwalimu Nyerere kuhusu yaliyompata Jumbe?
 
Kwenye kuwajengea wananchi uthubutu uko chaka
Heshima mkuu 'Yoda'.

Hebu fafanua unacholenga hapa, na kama unaweza utoe na mfano au mifano kwa nini unadhani "Kwenye kuwajengea wananchi uthubutu" huyo uliyemjibu yuko "chaka".

Pointi hii ni muhimu sana, kwa sababu watu wanafikra potofu kabisa kwamba waTanzania walinyamazishwa wakati wa Mwalimu Nyerere jambo ambalo siyo kweli.
 
Nyerere alimuuwa nani tena Zanzibar mkuu mbona sikuelewi?
Aliwauaje uwaje? Una ushahidi wa hiki ulichoandika hapa?
Soma kitabu kwaheri ukoloni kwaheri uhuru humo utaelewa kuwa Nyerere alikuwa adui wa Zanzibar hata kabla uhuru na yeye ndiye alikuwa kinara wa mavamizi yaliyouwa maelfu ya watu Zanzibar na mipango yake inaendelea kuitesa Zanzibar mpaka hii leo
 
Umeandika maneno matupu yasiweza kuvunja mfupa. Jikite kwenye Imani hii utwambie palipo na tatizo:

View attachment 2390863
basi wewe bado mtoto hujui yaliyokuwepo wakati wa nyerere. You have only been brainwashed kuamini kuwa nyerere was a perfect demi god. Huwa sijadiliani na toddlers
 
basi wewe bado mtoto hujui yaliyokuwepo wakati wa nyerere. You have only been brainwashed kuamini kuwa nyerere was a perfect demi god. Huwa sijadiliani na toddlers

Mada inahusu uthubutu wa kuhoji. Zingatia kuwa haujadili hilo uko way ward. Kama wewe mmetajwa kwenye mada. Hamna hoja wala stamina ya kujadili lolote.

Bure kabisa.
 
Sikulaumu sana kwa vile najua yote uliyoandika hapa ulihadithiwa, na aliekuhadithia aliamua kukuhadithia hivi kwa sababu zake maalum.

Alijua kwamba wewe hauna ujanja wala uwezo wa kutambua michanga anayokulisha. Siku zote mtu anapotaka kudanganya huwa anaangalia target ya yule anaetaka kumdanganya, so akiona anaetaka kudanganywa amekaa kihasara hasara bila kuonesha maarifa ya kutaka kuutafuta ukweli, basi mdanganyaji ndo huanza sasa kumwaga uongo wake na kutimiza malengo yake. Ila akiona mtu anaetaka kumdanganya yuko makini kuzuia uongo wowote basi mdanganyaji huamua kuacha kudanganya ili kukwepa aibu.

So mpaka hapo inaonesha dhahiri kuwa umemezeshwa matango pori tena yaliojaa miba. Na ujanja wa kuyacheuwa hauna. Anyway ngoja nikupe somo hapo chini.

Unasema wakati wa Mwinyi ndio ikulu ilianza kushuka thamani. Je unaweza kuweka kithibitisho chenye kuthibitisha kuwa ikulu ilikosa thamani?
Inamaana ndugu, au watu kutembelea ikulu ndo kukosa thaman!!!
Ni watu wangapi mpaka wasanii, wanamichezo nk wamekuwa wakitembelea ikulu ya white house, je kutembelewa huko kumeishusha thaman kiasi gani ikulu yao?
Inamaana ikulu ni peponi au mbinguni ambapo hapatakiwi mtu wa kawaida kutembelea mpaka wale watu wa Mungu peke yao.

Kuhusu elimu naomba uniletee fact (na sio maneno matupu) zinazoonesha kuwa wakati wa utawala wa Nyerere alimu ilipewa kipaumbele na wakati wa Mwinyi haikupewa kipaumbele.

Kuhusu majina ndo kama nilivyoandika hapo juu kwamba Mwinyi aliamini katika demokrasia na uhuru wa kutoa mawazo, ndo maana kila mtu alikuwa huru kumwita jina alilotaka, kitu ambacho kwa Nyerere ingekuwa hatari kubwa kwa waitaji wa majina hayo.

Hivi wewe haujui kama Mwinyi alipoingia aliikuta nchi iko uchi kutokana na hali mbaya ya uchumi aliouacha Nyerere. Ikiwa walimu, manesi, madokta, polisi, jeshi na watumishi wengine wa serikali ilikuwa ngumu kuwalipa mishahara kutokana na hali mbaya ya uchumi, sasa hizo hela za waastafu unazosema zingetoka wapi?

Unaposema wizi na ufisadi ulianza wakati wa Mwinyi hapo ndo nipogundua kwamba wewe umehadithiwa wala haukuwepo wakati wa Mwinyi. Sisi tuliokuwepo tunafahamu jinsi Mwinyi alipoingia tu ikulu alianza na oparation ya fagio la chuma ili kurudisha pesa zilizokuwa zimeibwa na kukwapuliwa wakati wa utawala wa Nyerere. kuna msemo unaosema kifo cha wengi harusi kwahiyo wakati watu walipokuwa wanaumia na kuteseka wakati wa uongozi wa Nyerere, kuna wajanja wachache waliokuwa wananeemeka kupitia hali hiyo. Mfano kipindi hicho kulikuwa hakuna bidhaa nzuri madukani, hakuna chakula kizuri madukani, hakuna mafuta, sukari nk. Watu tulikuwa tunalishwa unga wa yanga, sabuni za kutengenezwa na mise ya michikichi. Ila viongozi wa serikali walikuwa wanakula vizuri na baadae walikuwa wanakusanya vyakula hivyo na kwenda kuviuza kwa watu wenye pesa kimya kimya. Na kwa vile kipindi hicho kulikuwa hamna maduka basi ilikuwa rahisi watu wenye pesa kununua vitu hivyo kupitia baadhi ya viongozi hao wa serikali.

Kifupi toka tulipopata uhuru hakuna awamu ambayo ilipita bila ufisadi na wizi wa fedha za serikali. Kasome historia za kina mzee Mtei wakati wapo serikalini pamoja na magava wengine waliofanyakazi chini ya serikali ya Nyerere.

Nyerere ni baba wa taifa, alijenga misingi bora ya umoja na mshikamano, alitokomeza ukabila, ukanda nk, lkn ndio raisi alieondoka madarakani akiiacha nchi ikiwa uchi kiuchumi, huku wananchi wakiwa maskini wa kutupwa, 90% ya wananchi wakiwa hawana uwezo hata wa kula milo miwili au mmoja kwa siku. Watu walichakaa wasijue wapi watapata angalau mafuta ya kula ya kupaka mwilini, watu walikauka midomo kwa kukosa maji, walikonda na hata kuumwa vidonda vya tumbo kwa kukosa chakula maana unakuta familia ya mume, mke na watoto 4 inapokea kilo 2 tu ya unga wa yanga kwa ajili ya ugali, kilo 2 ya mchele tena mdundiko, mafuta lita 1, sukari kilo 1 afu wanaambiwa watumie week nzima ndo gari kitapita tena.

Mwinyi alipoingia aliondoa mateso yote watu wakawa wanapata huduma inavyostahili, waandishi wa habari wakaruhusiwa kuandika chochote wanachojisikia kitu ambacho kwa Nyerere ilikuwa ngumu kwa muandishi kuandika kitu kibaya against government yani mwandishi unatakiwa uandike habari za kumsifu baba wa taifa na serikali yake tu. Na ndio maana wengi hamkujua ukweli kuhusu uozo uliyokuwa ndani ya serikali yake. Mwinyi aliruhusu kukosolewa na waliokosoa hawakuuwawa, hawakukimbia nchi, hawakuteswa, hawakufungwa wala kufukuzwa chama, ila kwa wale waliothubutu kumkosoa Nyerere wengi wao hatunao tena, wengine mpaka leo wapo nje ya nchi na uraia walibadilisha kitambo sana.

Nakuonea huruma kwa kulishwa matango pori tena ukute umelishwa na mtu wa kijijini asiejua lolote wala chochote.

Nimesoma posts zako mbalimbali ukiruka ruka huku hadi kule. Ni wazi kuwa hukutambua msingi wa mada? Unaonekana kuwa uko kiimani zaidi mkuu.

Hoja Iko kwenye uthubutu wa kuhoji ndiyo maana hata kina BAK wameangaziwa. Kwanini - huhitaji majibu taslimu!

Umejitahidi hata kupotosha nadharia ya huruma. Ukasahau takwimu za walionyongwa kipindi cha Nyerere kulinganisha na Mwinyi zinasema je.

Umejitahidi kuiandika historia upya kuhusu struggle za wanafunzi UDSM katika kipindi cha Mwinyi.

Nimechukua muda kujiridhisha. Ukweli uko wazi:

"hakuna mwanafunzi yeyote aliyekamatwa kwenye sekeseke la matusi dhidi ya Mzee Mwinyi yakiendeshwa na Mzee Punch."

Mzee Punch aliendelea kuwa omnipotent na incognito muda wa uhai wake.

Badala yake kwenye mgomo uliozaa aliyoita Mwinyi kutukanwa matusi ya nguoni wanafunzi 10 wakiwamo James Mbatia walifukuzwa forth with jwa kilichoitwa kufutiwa udhamini.

Mkuu check facts zako historia si rahisi sana kuiandika upya.

Kama kawaida ya makondoo hudhani kisemwacho kitachukuliwa kama kilivyo.

Panapo uthubutu wa kuhoji fact checks hubeba sehemu yake.

Zingatia: mada ni kuuhusu misingi wa kuhoji. Mada si Nyerere wala Mwinyi bali kuparaganyika kwa misingi ya elimu.
 
Nimesoma posts zako mbalimbali ukiruka huku hadi kule. Ni wazi kuwa hukutambua msingi wamada? Unaonekana kuwa uko kiimani zaidi mkuu.

Hoja Iko kwenye uthubutu wa kuhoji ndiyo maana hata kina BAK wameangaziwa. Kwanini - huhitaji majibu taslimu!

Umejitahidi hata kupotosha nadharia ya huruma. Ukasahau takwimu za walionyongwa kipindi cha Nyerere kulinganisha na Mwinyi zinasema je.

Umejitahidi kuiandika historia upya kuhusu struggle za wanafunzi UDSM katika kipindi cha Mwinyi.

Nimechukua muda kujiridhisha. Ukweli uko wazi:

"hakuna mwanafunzi yeyote aliyekamatwa kwenye sekeseke la matusi dhidi ya Mzee Mwinyi yakiendeshwa na Mzee Punch."

Mzee Punch aliendelea kuwa omnipotent na incognito muda wa uhai wake.

Badala yake kwenye mgomo uliozaa aliyoita Mwinyi kutukanwa matusi ya nguoni wanafunzi 10 wakiwamo James Mbatia walifukuzwa forth with jwa kilichoitwa kufutiwa udhamini.

Mkuu check facts zako historia si rahisi sana kuiandika upya.

Kama kawaida ya makondoo hudhani kisemwacho kitachukuliwa kama kilivyo.

Panapo uthubutu wa kuhoji fact checks hubeba sehemu yake.

Zingatia: mada ni kuuhusu msingi wa kuhoji. Mada si Nyerere wala Mwinyi bali kuparaganyika kwa misingi ya elimu.
Kwanza umekosea sana unaposema kuwa mimi nazungumzia hili swala kiimani zaidi.
Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba mimi na Mwinyi hatuchangii imani wala kabila.
Ninaochangia nao imani unaweza kuona ndio walio wengi kwenye avatar yangu, so mpaka hapo bila shaka umeshaona imani yangu ni ipi.

Lakini pia hata hao wa kwenye avatar yangu sikuwaweka kwa sababu ya imani zetu kuwa moja, bali kwa mchango mkubwa waliofanya kwa taifa letu.
Nimekupa sifa za Nyerere kama baba wa taifa letu alietuunganisha watanzania na kutufanya tuwe kitu kimoja, pengine bila yeye leo hii tungekuwa kama Kenya, watu wanabaguana kutokana na utofauti wa lugha, kabila nk.

Picha za Magufuli na Samia sintoziongelea maana sio mahala pake. Hata hivyo mimi nimesimama katika ukweli na nitaendelea kusimama katika ukweli kuwa Mwinyi ndio baba wa demokrasia ya kweli hapa Tanzania. Nyerere hakuwa baba wa demokrasia ndomaana aliwafunga, aliwahenyesha na wengine walikimbia wenyewe kukwepa mkono wa chuma chini ya uongozi wake. Chini ya uongozi wake kuna mengi tu mabaya yalifanyika kama alivyokiri mwenyewe baada ya kutoka madarakani, lkn hakukuwa na mtu wa kuweza kuthubutu kuyazungumza hadharan au hata kuyaandika. Ndio maana kuna siku Lisu alisema jambo Zito kuhusu Nyerere, wengi waliokuwa hawamfahamu vizuri Nyerere walimshangaa Lisu na kulaani alichoongea, lkn wale waliokuwa wanamfahamu Nyerere hawakumshangaa Lisu maana walijua ameongea ukweli, japo kwa mila zetu waafrika sio vizuri kumsema marehem kwa mabaya so wale waliomfahamu Nyerere badala ya kumuunga mkono Lisu kwa alichokisema wao waliamua kukaa kimya ili kulinda mila yetu ile ya kutomsema vibaya marehem.

Nikiwa mdogo nishawahi kutoka magomeni hadi mw/nyamala nyuma ya hospital kufuata chakula, mitaa ile kulikuwa na kanisa moja lilikuwa linagawa dawa ya mswaki, sabuni, unga wa ngano, dengu, sukari na kadhalika kilo moja moja.

Lile kanisa sijui kama bado lipo mpaka leo.

Mwinyi alivyoingia kwa huruma wake aliamua kuwaondolea watanzania mateso ya kuishi kama Mogadisho kwa kuwasogezea huduma zote muhimu karibu. Maduka yalifunguliwa, vyakula viliruhusiwa kuingia nchini, zahanati zikafunguliwa mitaani, madawa yakaruhusiwa kuuzwa, barabara zikajengwa, mabasi yakaletwa ili watu wasichelewe makazini, shule zikaongezwa, walimu ambao baadhi walikuwa washaanza kugoma kufundisha kwa kukosa mishahara wakarudi mashuleni, hela mtaani ikaanza kuonekana.

Angeamua watu waendelee kuishi kama mashetan basi angewaacha na wala yeye na familia yake wasingekuwa na hasara yoyote maana wangekula, kunywa na kuishi kama walivyoishi viongozi wengine enzi za Nyerere.

Kuhusu uhuru wa hapa JF, nimeshakujibu kwenye post namb #9
 
Tanzania ya enzi za Nyerere ikiheshimika kila pembe ya dunia haipo tena. Tanzania hiyo ilikuwa na misimamo yake iliyojulikana na isiyotetereka.

Uhuru wa Tanzania hiyo haukuwa na maana yoyote bila Afrika yote kuwa huru. Uhuru wa Tanzania hiyo haukuwa na maana yoyote kama kulikuwa na ukiukwaji haki popote duniani Ukweli huo ulifahamika hivyo na kila rafiki na hata kila adui.

Kama taifa tulikuwa wamoja na nchi ilikuwa yetu sote. Nguvu ya hoja ilitamalaki na uthubutu wa kuhoji ulisisitizwa katika nyanja zote kutokea shule za misingi.

Leo baadhi ya watu kwa nafasi na ubinafsi wao wametumia nguvu kuuuwa uthubutu wa kuhoji. Yote hiyo ikiwa kwa nia ya kujimilikisha nchi wao na familia zao. Wasijue kuwa nchi wanaiuwa pia

Leo hatushindani kwa hoja. Hoja hazijibiwi kwa hoja, bali kejeli au kwa marungu. Watu wenye hoja tofauti wanatakiwa kuufyata. Tumelazimishwa kuwa taifa la makondoo.

Matokeo yake yamekuwa watu kulia lia yanapowakuta bila kuwa na uthubutu wa kuchukua hatua. Watu wamelazimika kuwa wenye kuangalia maslahi yao binafsi yanayowagusa wao moja kwa moja. Kwa maana jitihada za kuhoji lolote zimegeuzwa kuwa ni kujichumia majanga.

Uwezo wa kujenga, kutetea au kupinga hoja haupo tena. Utanzania wetu tuliojulikana nao umeparaganyika. Kila mtu imekuwa yupo yupo tu. Leo bila aibu tunajinasibu kama mashabiki wa Man U au Arsenal.

Ni muhimu kwa Kila mmoja kujihoji amefanya nini kuifikisha hii nchi hapa.

Anasema Prof Shivji:

“Pasipo mijadala au ubunifu huwezi kuendeleza fikra, na hii inakwenda moja kwa moja kuathiri usomaji na ufundishaji.”

Kwanini kuwaziba watu midomo? Kwanini hoja kupigwa marungu? Kwanini kuitana majina? Kwanini kujikita kupambana na mleta hoja badala ya kupambana na hoja? Nk, nk.

Kwanini JF hupiga wajumbe ban, kufuta au kufunga nyuzi bila kutoa sababu zikajulikana hadharani?

"Kwanini," huhitaji majibu si marungu.
Weeh dogo ujamaa umeshaisha
 
Kwanza umekosea sana unaposema kuwa mimi nazungumzia hili swala kiimani zaidi.
Kitu unachotakiwa kujua ni kwamba mimi na Mwinyi hatuchangii imani wala kabila.
Ninaochangia nao imani unaweza kuona ndio walio wengi kwenye avatar yangu, so mpaka hapo bila shaka umeshaona imani yangu ni ipi.

Lakini pia hata hao wa kwenye avatar yangu sikuwaweka kwa sababu ya imani zetu kuwa moja, bali kwa mchango mkubwa waliofanya kwa taifa letu.
Nimekupa sifa za Nyerere kama baba wa taifa letu alietuunganisha watanzania na kutufanya tuwe kitu kimoja, pengine bila yeye leo hii tungekuwa kama Kenya, watu wanabaguana kutokana na utofauti wa lugha, kabila nk.

Picha za Magufuli na Samia sintoziongelea maana sio mahala pake. Hata hivyo mimi nimesimama katika ukweli na nitaendelea kusimama katika ukweli kuwa Mwinyi ndio baba wa demokrasia ya kweli hapa Tanzania. Nyerere hakuwa baba wa demokrasia ndomaana aliwafunga, aliwahenyesha na wengine walikimbia wenyewe kukwepa mkono wa chuma chini ya uongozi wake. Chini ya uongozi wake kuna mengi tu mabaya yalifanyika kama alivyokiri mwenyewe baada ya kutoka madarakani, lkn hakukuwa na mtu wa kuweza kuthubutu kuyazungumza hadharan au hata kuyaandika. Ndio maana kuna siku Lisu alisema jambo Zito kuhusu Nyerere, wengi waliokuwa hawamfahamu vizuri Nyerere walimshangaa Lisu na kulaani alichoongea, lkn wale waliokuwa wanamfahamu Nyerere hawakumshangaa Lisu maana walijua ameongea ukweli, japo kwa mila zetu waafrika sio vizuri kumsema marehem kwa mabaya so wale waliomfahamu Nyerere badala ya kumuunga mkono Lisu kwa alichokisema wao waliamua kukaa kimya ili kulinda mila yetu ile ya kutomsema vibaya marehem.

Nikiwa mdogo nishawahi kutoka magomeni hadi mw/nyamala nyuma ya hospital kufuata chakula, mitaa ile kulikuwa na kanisa moja lilikuwa linagawa dawa ya mswaki, sabuni, unga wa ngano, dengu, sukari na kadhalika kilo moja moja.

Lile kanisa sijui kama bado lipo mpaka leo.

Mwinyi alivyoingia kwa huruma wake aliamua kuwaondolea watanzania mateso ya kuishi kama Mogadisho kwa kuwasogezea huduma zote muhimu karibu. Maduka yalifunguliwa, vyakula viliruhusiwa kuingia nchini, zahanati zikafunguliwa mitaani, madawa yakaruhusiwa kuuzwa, barabara zikajengwa, mabasi yakaletwa ili watu wasichelewe makazini, shule zikaongezwa, walimu ambao baadhi walikuwa washaanza kugoma kufundisha kwa kukosa mishahara wakarudi mashuleni, hela mtaani ikaanza kuonekana.

Angeamua watu waendelee kuishi kama mashetan basi angewaacha na wala yeye na familia yake wasingekuwa na hasara yoyote maana wangekula, kunywa na kuishi kama walivyoishi viongozi wengine enzi za Nyerere.

Kuhusu uhuru wa hapa JF, nimeshakujibu kwenye post namb #9

Imani haina maana ya dini peke yake. Imani. Pata kamusi kujiridhisha.

Jambo la msingi hukukanusha idadi kubwa ya walionyongwa kipindi cha Mwinyi kuliko Nyerere.

Hukukanusha pia ya Mzee punch wala ya matusi ya nguoni wala wanafunzi 10 waliofukuzwa milele na Mwinyi.

Mada ni uthubutu wa kuhoji ambayo ndiyo njia pekee ya kuumaliza u Mungu wa watu.

Miungu watu huchomoza popote uthubutu wa kuhoji unapokuwa haupo. Ya JF yalikuwa ni mfano katika uendelezo huo.

NInakazia mada haimhusu awaye yote bali misingi ya elimu iliyo paraganyika. Aliyeiparaganyisha hawezi kukwepa lawama.

Nukuu ya Prof Shivji inaishi:

'Pasipo mijadala au ubunifu huwezi kuendeleza fikra, na hii inakwenda moja kwa moja kuathiri usomaji na ufundishaji.”
 
Mada inahusu uthubutu wa kuhoji. Zingatia kuwa haujadili hilo uko way ward. Kama wewe mmetajwa kwenye mada. Hamna hoja wala stamina ya kujadili lolote.

Bure kabisa.
mjadili hoja hata kupanga maneno huwezi...bladifekeni
 
Hoja si kupigwa ban mkuu. Kupigwa ban, kufutwa nyuzi au kufungwa nyuzi hiyo ni mifano tu.

"Hoja ni kuuwawa kwa uthubutu wa kuhoji."

Madhara yake ni makubwa kuliko faida. Leo kama taifa si kama tulivyokuwa.

Nyarere alifuta vyama vingi akiwa na sababu zake alizokuja kukiri zilikuwa fyongo. Alitofautiana na kina Kambona, hata watoto mapacha hutokea kugombana.

Bila ya dababu za kutofautiana kuwekwa wazi vipi kumnyooshea kidole Nyerere?

Nyerere alihimiza uthubutu wa kuhoji kwa nguvu zote na matokeo yake tulikuwa na taifa lenye nguvu.

Leo watoto wanabakwa na kulawitiwa mashuleni. Udumavu wa kuhoji umeshika Kila mahali. Madhara ya moja kwa moja ya kuuwawa kwa uthubutu wa kuhoji.

Tusiruke ruke kama bisi kwenye kikaangio. Hoja Iko wazi.
Acha kudanganya Nyerere hakuwa mtu wa kuruhusu upinzani
Jiulize kwanin Nyerere hajawahi shindanishwa na mtu kwenye nafasi yake ?

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Nyerere alifuta vipi vyama vya upinzani wakati ni yeye ndie aliruhusu vianze kuwepo licha ya kupingwa na wengi kwenye chama chake?

Usichanganye Nyerere kuvifuta vyama vya upinzani wakati wa kupigania Uhuru na baada ya hapo, wakati wa kupigania Uhuru ilikuwa ni vyema kwake kufanya alivyofanya ili kuwaunganisha watanzania kwa muda mfupi, wawe na lengo moja, ili kufikia matarajio waliyojiwekea.

Kuruhusu vyama vya upinzani kabla ya uhuru kungekuwa ni kuvurugana wenyewe kwa wenyewe hapa ndani, hivyo mkoloni angetumia mvurugano wetu kuendelea kututawala kirahisi, mimi niko na Nyerere kwenye hilo.
Kuna vitu vingi vimefichwa sana katika taifa kuvielewa ni ngumu sana,, kwani vyama vingi vilianza lini na Mwalimu alistafu lini na ile iliyokuwa USSR ilivunjika lini? Ukivijua hivi hatasumbuka kabisa,,,, Alikuwa raisi lakini naye alikuwa na mapungufu yake Mwalimu,,,
Katika Africa nazani ni mmoja tu alikuwepo naye NELSON MANDELA tu
 
Sasa hivi nchi inaongozwa na Mapaka👇
AEb8rs.jpeg
16525976734300.jpg
ummY_jc.jpg
 
Back
Top Bottom