Lilivyo Kundi D kwa sasa katika CAFCL ndiyo hao hao Wawili wa Juu watakaofuzu na Wengine watafuzu tu Kushinda Tano Tano za Rushwa Ligi yao ya Nyumbani

usicheze na yanga
 
Na hii ndiyo maana sasa halisi ya wewe kuitwa Popoma.
 
Sasa imedhihirika wewe mleta huu Uzi ndiyo huna akili kwa pira la Yanga ok?
 
Kwani Msimamo wa ilo kundi D upoje?
 
Kakimbia uzi wake mpira unataka uwe umecheza hata cha ndimu sio umeukuta mjini harafu uanze kuwaelezea watu hisia zako mpira sio hisia ni Chemistry inayoonekana..
 
Kama una mipango ya kufanya biashara nakushauri usipoteze muda maana biashara inahitaji kichwa kilichotulia na kichwa chenye kuona hali ya soko kwa usahihi.

Wewe endelea tu kuwa mtumishi kusubiria mshahara
 
Habari yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…