Lill Ommy: Siwezi kamwe kumtafuta Nandy kwaajili ya mahojiano, namuona analandalanda tuu mtaani

Lill Ommy: Siwezi kamwe kumtafuta Nandy kwaajili ya mahojiano, namuona analandalanda tuu mtaani

Sometimes mambo mengine ni kuyaacha tu yapite.

Maisha ni magumu, watu wanajitoa akili kulinda vibarua vyao.

WCB siku zote wanapambana kumpandisha Zuchu, na msanii wa kike aliyeko kwenye peak sasa hivi wanaona ni Nandy.

Walianza na Lady Jaydee ila walivyoona kakubali kumuunga mkono msanii wao wakaachana naye.

Kwa Nandy wameshamfanyia figisu kubwa sana ikiwemo kumpa kazi na airtime Gig money ya kumvuruga. Tena Gigi amekuwa akihojiwa na huyu huyu Lil Ommy.

Muziki sasa hivi umejaa SIASA CHAFU SANA.

Ukiwa shabiki juu juu tu, akili ndogo, shabiki sukule huwezi kuelewa, unaweza usijue na wasanii wengi huwa wanakaa kimya na kufa nayo rohoni.

Binafsi sishangai maana hata Nandy alipandishwa juu na Ruge baada ya Ruby kumzingua
Tatzo la Ruby alikua ashaanza
Kumpa utamu meneja wake sasa
Ruge pale akajitoa mapema Tu
 

Mtangazi wa Wasafi FM kituo kinacho milikiwa na Joseph Kusaga amefunguka wazi yeye awezi kamwe kumtafuta msanii yeyote yule amfanyie interview hasa Nandy.

Mtangazi Lily Ommy amesema wazi kabisa kuwa amekuwa akimuona Nandy ana landa landa tuu mtaani kamwe awezi kumtafuta amfanyie interview labda Nandy au meneja wake wamtafute yeye.

Mtangazaji Lily Ommy aliyasema hayo wakati akifanyiwa mahojiano na moja ya TV za mitandaoni ambao walitaka kujua maoni yake kuhusu muziki wa Nandy na kwanini hajawahi kufanyiwa interview Wasafi FM.

Mtangazaji huyo mwenye swaga za kimarekani alionekana kukerwa sana na swali hilo kuhusu Nandy na Mziki wake.

Ikumbukwe kwamba Msanii Nandy alikuwa mkubwa kabla hata ya Kusaga kupanga kuanzisha kituo cha Wasafi FM. Pia, kwa sasa Nandy anafanya show yake ya Nandy Festival akizunguka mikoa tofauti Tanzania.

Ni hayo tuu
Kiukweli toka kifuani sijawahi kumuelewa huyu jamaa aisee!
 
Kusaga ni janja janja sana. kahodhi frequency nzuri nzuri kibao za hapa Dar.

Hata 88.5 inayotumiwa na Wasafi Dar ilikuwa ya kwake wakati huo kulikuwa na kiredio uchwara kinapiga muziki tupu kinaitwa Classic fm. Vile vile ilikuwa inasikika BBC World service.

Amehodhi frequency kupitia viredio utasikia City fm, Classic fm, Coconut fm mara The Beat fm.

Yaani hata Azam walipewa 143... frequency zote za 88 na 99 zimeisha.
Kumbe frequency za wasafi zilikuwa zinatumiwa na redio nyingine before. Watu wana maakili sana.
 
Mleta thread acha umbea na uchonganishi,unaonekana una chuki sana na Wasafi
 
mshamba tu uyo boya amelewa sifa bora mke wake anafanya vizuri kule tbc.
 
Mzee wa ailaiki dati 😂😂😂😂😂😂yo rede no samusingi, laiki dati
 

Mtangazi wa Wasafi FM kituo kinacho milikiwa na Joseph Kusaga amefunguka wazi yeye awezi kamwe kumtafuta msanii yeyote yule amfanyie interview hasa Nandy.

Mtangazi Lily Ommy amesema wazi kabisa kuwa amekuwa akimuona Nandy ana landa landa tuu mtaani kamwe awezi kumtafuta amfanyie interview labda Nandy au meneja wake wamtafute yeye.

Mtangazaji Lily Ommy aliyasema hayo wakati akifanyiwa mahojiano na moja ya TV za mitandaoni ambao walitaka kujua maoni yake kuhusu muziki wa Nandy na kwanini hajawahi kufanyiwa interview Wasafi FM.

Mtangazaji huyo mwenye swaga za kimarekani alionekana kukerwa sana na swali hilo kuhusu Nandy na Mziki wake.

Ikumbukwe kwamba Msanii Nandy alikuwa mkubwa kabla hata ya Kusaga kupanga kuanzisha kituo cha Wasafi FM. Pia, kwa sasa Nandy anafanya show yake ya Nandy Festival akizunguka mikoa tofauti Tanzania.

Ni hayo tuu
Huyu bwana mdogo tambwe anaingilia bifu lisilomuhusu inajulikana lengo la wasafi ni kumshusha Nandy ili kutoa platform kwa zuchu lkn inabid wakubali ukweli Nandy yupo smart sana myb kula kudate na jasiri alimuambukiza akili ndo maana yupo smart
 
Sijaona hoja yoyote ya msingi zaidi ya kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu kuwa Wasafi Fm ni ya Kusaga, kitu ambacho umekuwa ukikifanya katika kila nyuzi unayoanzisha. Hata hivyo amini usiamini, Wasafi media inakuwa kwa haraka kupitia mgongo wa brand ya Diamond Platinumz na mashabiki wake, hela alizoweka pale mke wa Kusaga si chochote bila brand ya Diamond Platinumz na mashabiki wake.
Ila mashabiki wa uyu dogo sijui mna tatizo gani kichwani.
 
Sometimes mambo mengine ni kuyaacha tu yapite.

Maisha ni magumu, watu wanajitoa akili kulinda vibarua vyao.

WCB siku zote wanapambana kumpandisha Zuchu, na msanii wa kike aliyeko kwenye peak sasa hivi wanaona ni Nandy.

Walianza na Lady Jaydee ila walivyoona kakubali kumuunga mkono msanii wao wakaachana naye.

Kwa Nandy wameshamfanyia figisu kubwa sana ikiwemo kumpa kazi na airtime Gig money ya kumvuruga. Tena Gigi amekuwa akihojiwa na huyu huyu Lil Ommy.

Muziki sasa hivi umejaa SIASA CHAFU SANA.

Ukiwa shabiki juu juu tu, akili ndogo, shabiki sukule huwezi kuelewa, unaweza usijue na wasanii wengi huwa wanakaa kimya na kufa nayo rohoni.

Binafsi sishangai maana hata Nandy alipandishwa juu na Ruge baada ya Ruby kumzingua
Mkuu vijana wote wangekua wanaelewa Mambo kwa namna hii tusingekua na mashabiki maandazi ambao kila atakachofanya uyo Diamond wanaona sawa na kushangilia.Fanya analysis ya music industry vizuri utaelewa kwanini Kuna watu hawataki kabisa ukaribu na hawa jamaa wa wasafi.
 
Duh kwani wasafi fm ni ya kusaga au Diamond? Hao wanatengeneza mabifu kijingajinga ili wavute mashabiki kwenye majukwaa yao tu
True wasafi ni ya kusaga na kingne hao watangazaji wanaweka bifu makusudi ili wafanye biashara coz waliambiwa na clouds wapige nyimbo zao wao wakasema ushndani ndio biashara yao
 
Back
Top Bottom