Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Asante mkuu kwa angalizo ,nina imani wahusika watalifanyia kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ndio bei zake hizo, Kariakoo ndio sehemu pekee hapa duniani ambapo nyumba ya udongo na fito za miti inauzwa kuanzia bilioni 1 hadi 1 unusu..Basi akiguswa huyo mwenye nyumba yenye bati la kutu... Atakuambia anauza 1.2 b
Kwenye ujanja ujanja hapo sawa. Ila swala la kusema kuwa nguzo ni nyembamba so zinaweza kufail performance sidhani kama ni judgment nzuri.
KUNA JENGO LILISHUKA ZIMAZIMA LAKINI.Haya mambo hayafanywi kienyeji enyeji tu. Lazima mtu awe na permit na authorization kutoka kwa mamlaka husika; na engineer anakuwa ame approve michoro ya hilo jengo kuwa ujenzi huo ni salama. Kama hujui kitu unauliza ufahamishwe...
Mchana mwema!
Mkuu acha unoko fanya mambo yako hilo jengo tumejenga kwa kuzingatia vipimo
Tunasubiri lilete maafa halafu tuunde tume,watu wapate per diem, mamlaka zinazohusika zimezibwa macho,hii ndio Tanzania,Makonda sijui yupo wapi?Picha hapo chini inajieleza, jengo lipo Kariakoo, limefika ghorofa kama 13 hivi na bado naona kuna nondo zimetokeza hapo juu kuashiria kwamba floor bado zinaendelea juu.
Sasa unaweza kuta michoro ya structural engineer imespecify mwisho ghorafa 10, lakini mwenye jengo anaamua tu kuongeza zaidi kwa tamaa ya pesa. Maana zile nguzo ni nyembamba sana na jengo lenyewe ni jembamba kama mlingoti.
Pia wanasema jengo moja hadi jingine inabidi paachwe nafasi walau ya kupumulia, sasa hilo jengo ni kama linataka kugusa hili lingine, kwa ukaribu huu, hata moja moto ukiwaka lazima la pili lishike moto.
Mamlaka zinazohusika zifanye ukaguzi ili lisije likaleta madhara na mwishowe tukapeperusha bendera nusu mlingoti.
View attachment 1193373
Hata yale maghorofa yaliyoanguka mlikuwa mnasema hivi hiviHaya mambo hayafanywi kienyeji enyeji tu. Lazima mtu awe na permit na authorization kutoka kwa mamlaka husika; na engineer anakuwa ame approve michoro ya hilo jengo kuwa ujenzi huo ni salama. Kama hujui kitu unauliza ufahamishwe...
Mchana mwema!
"Tuliza mshono wa uzazi" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuliza mshono wa uzazi, ingekua issue yake, kwa kiherehere hiki, lazima angetuweka wazi.
Sasa wakulaumiwa ni nani hapo?
Aliyeruhusu jengo lijengwe tofauti na specifications?
Au aliyejenga?
[emoji3][emoji3][emoji3] duuWazee wa civil huyu injinia atakua fundi maiko
Hivi lile lililobomoka wao hawakupewa permit.mpaka watu wafe ndio tuanze kuitukana serikaliHaya mambo hayafanywi kienyeji enyeji tu. Lazima mtu awe na permit na authorization kutoka kwa mamlaka husika; na engineer anakuwa ame approve michoro ya hilo jengo kuwa ujenzi huo ni salama. Kama hujui kitu unauliza ufahamishwe...
Mchana mwema!
Ila jengo liki collapse inakuwa issue ya wote, hivi lini mtaacha huu upimbi???Mkuu, fanya issue zako, mambo ya watu achana nayo, unaweza ukawa na very limited facts kwenye hilo jambo
Picha hapo chini inajieleza, jengo lipo Kariakoo, limefika ghorofa kama 13 hivi na bado naona kuna nondo zimetokeza hapo juu kuashiria kwamba floor bado zinaendelea juu.
Sasa unaweza kuta michoro ya structural engineer imespecify mwisho ghorafa 10, lakini mwenye jengo anaamua tu kuongeza zaidi kwa tamaa ya pesa. Maana zile nguzo ni nyembamba sana na jengo lenyewe ni jembamba kama mlingoti.
Pia wanasema jengo moja hadi jingine inabidi paachwe nafasi walau ya kupumulia, sasa hilo jengo ni kama linataka kugusa hili lingine, kwa ukaribu huu, hata moja moto ukiwaka lazima la pili lishike moto.
Mamlaka zinazohusika zifanye ukaguzi ili lisije likaleta madhara na mwishowe tukapeperusha bendera nusu mlingoti.
View attachment 1193373
Popote ulipo kiongozi pata mzinga wa wiski kama inapanda... Bili njoo PM I will pay [emoji120][emoji120][emoji122][emoji122][emoji106][emoji106]Tungekuwa na raia kama wewe 500000 tu nchi hii ingenyooka.Kuna madudu mengi yanafanyika ila kwa vile tunaona kama hayatuhusu tunapotezea kumbe kwa namna moja ama nyingi ya naweza kutuumiza baadae