DOKEZO Limeshafika ghorofa ya 13 na linaendelea, lakini nguzo kama njiti za kiberiti

DOKEZO Limeshafika ghorofa ya 13 na linaendelea, lakini nguzo kama njiti za kiberiti

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kumbe pamoja na kelele za vyuma kukaza kuna watu wanajenga maghorofa!

Ok,angalizo lako ni la msingi sana,wabongo wana tabia ya kusubiria majanga ndo walaumu kila mtu ila kuchukua tahadhari na kuhoji unaonekana mnoko.
 
Kumbe pamoja na kelele za vyuma kukaza kuna watu wanajenga maghorofa!

Ok,angalizo lako ni la msingi sana,wabongo wana tabia ya kusubiria majanga ndo walaumu kila mtu ila kuchukua tahadhari na kuhoji unaonekana mnoko.
[emoji23][emoji23]
 
Naona wengi wanamshambulia mleta uzi.
Lakini kwa mkandarasi makini na wanaofuata viwango wasingetumia miti pili kungekua na zile nyavu za kuwalinda wanaopita karibu na hilo eneo.

Kadri jengo linavyozidi kuwa refu, ndivyo uimara wa miundombinu unavyotakiwa kupewa kipaumbele.

Tukumbushane kuna jengo liliwahi kupotomoka posta, yakatoka matsmko ikiwemo kushusha gharofa mojawapo jijini Dar japo sikumbuki kama lilivunjwa.

Tujifunze kuchukua tahadhari kuepusha majanga yasiyo na ulazima.
 
Naona wengi wanamshambulia mleta uzi.
Lakini kwa mkandarasi makini na wanaofuata viwango wasingetumia miti pili kungekua na zile nyavu za kuwalinda wanaopita karibu na hilo eneo.

Kadri jengo linavyozidi kuwa refu, ndivyo uimara wa miundombinu unavyotakiwa kupewa kipaumbele.

Tukumbushane kuna jengo liliwahi kupotomoka posta, yakatoka matsmko ikiwemo kushusha gharofa mojawapo jijini Dar japo sikumbuki kama lilivunjwa.

Tujifunze kuchukua tahadhari kuepusha majanga yasiyo na ulazima.

We like settling for the less. Is that our position? Hata kutumia form work za ukweli huyo mkandarasi ameshindwa
 
Naona wengi wanamshambulia mleta uzi.
Lakini kwa mkandarasi makini na wanaofuata viwango wasingetumia miti pili kungekua na zile nyavu za kuwalinda wanaopita karibu na hilo eneo.

Kadri jengo linavyozidi kuwa refu, ndivyo uimara wa miundombinu unavyotakiwa kupewa kipaumbele.

Tukumbushane kuna jengo liliwahi kupotomoka posta, yakatoka matsmko ikiwemo kushusha gharofa mojawapo jijini Dar japo sikumbuki kama lilivunjwa.

Tujifunze kuchukua tahadhari kuepusha majanga yasiyo na ulazima.
Mkuu ulichoongea hata nlifikiri ivo,

Ila cha ajabu kuna mtu atakupinga,,

Huenda wana uhusiano na hilo jengo[emoji23]
 
Mkuu, weka wazi mambo, peleka kwa relevant bodies hiyo observation yako watayashughulikia professionally and legally, ukileta hayo mambo huku tutayashughulikia kienyeji kama nilivyofanya
Hapana. Siyo wote watashughulikia kienyeji kama wewe kwani akili zinatofautiana. Kuna wahusika na watachukuwa hatua stahiki. Hapa ndiyo sehemu sahihi kabisa ya kuweka. Kama hakuna tatizo mwenye jengo hana haja ya kuhofu chochote.
 
Kwenye ujanja ujanja hapo sawa. Ila swala la kusema kuwa nguzo ni nyembamba so zinaweza kufail performance sidhani kama ni judgment nzuri.
Mbona unajigonga gonga! Kama kuna ujanja ujanja basi lolote linaweza kutokea. Wacha wahusika wajiridhishe, ndiyo kazi yao. Majengo mengi yaliyoanguka watu walianza kuyatilia shaka kwa macho tu.
 
Hivi Hadi kufikia hapo inawezekana kweli wahusika wasijue Nini kinaendelea!! Sidhani

Yasitokee tu yakutokea uko mbeleni
 
Haya mambo hayafanywi kienyeji enyeji tu. Lazima mtu awe na permit na authorization kutoka kwa mamlaka husika; na engineer anakuwa ame approve michoro ya hilo jengo kuwa ujenzi huo ni salama. Kama hujui kitu unauliza ufahamishwe...

Mchana mwema!
Na yale yaliyoanguka na kuua watu hizo PERMIT, AUTHORIZATION na MAMLAKA zilikuwa likizo????

Mchana mwema.
 
Sasa wakulaumiwa ni nani hapo?
Aliyeruhusu jengo lijengwe tofauti na specifications?
Au aliyejenga?
Wote. Kama jengo halikidhi viwango wote wana makosa. Hii thread ni ya maana sana na hili jengo linatakiwa lichunguzwe ili kujiridhisha kwani kwa muonekano wa macho tu na material zinazotumika kusaidia ujenzi inaonyesha kuna kitu hakiko sawa. Halafu limekaribiana sana sana na hilo jingine.
 
Lori la mafuta morogoro
Tungekuwa na raia kama wewe 500000 tu nchi hii ingenyooka.Kuna madudu mengi yanafanyika ila kwa vile tunaona kama hayatuhusu tunapotezea kumbe kwa namna moja ama nyingi ya naweza kutuumiza baadae
 
Back
Top Bottom