Obe
JF-Expert Member
- Dec 31, 2007
- 10,083
- 34,850
Tuliza mshono wa uzazi, ingekua issue yake, kwa kiherehere hiki, lazima angetuweka wazi.
....if you see something, say something. Ukiona kitu unakitilia shaka, usikae kimya, sema.
Huu ndo utaratibu wa kistaarabu unaoepusha rabsha.
Haikupunguzii chochote kuwa civil