Linda Lusingu: Muingereza mwenye asili ya Tanzania ashinda udiwani London

Linda Lusingu: Muingereza mwenye asili ya Tanzania ashinda udiwani London

Dar es Salaam. Raia wa Uingereza mwenye asili ya Tanzania, Linda Lusingu ameshinda udiwani kata ya East Barnet, iliyoko mji mkuu wa London kwa kuwashinda wagombea wenzake 10 katika uchaguzi uliofanyika Mei 5, mwaka huu.

Lusingu ambaye ni mtaalamu wa sheria za familia na watoto, ameshinda uchaguzi huo kupitia chama cha Labour na ushindi wake amechangia chama hicho kuwa na madiwani wengi katika Halmashauri ya Barnet iliyokuwa ikiongozwa na chama cha Conservative kwa miaka mingi.

Akizungumza na kituo cha televisheni cha Azam na baadaye Mwananchi, Lisungu ambaye ni mwenyeji wa Same, Kilimanjaro, alisema amekuwa mwanachama wa Labour kwa miaka 13 na kwake imekuwa safari ndefu hadi kushinda nafasi hiyo.

“Haikuwa rahisi kufikia hapa, hasa ukichukulia kuwa natoka kwenye jamii za watu weusi wachache ambao hawana uwakilishi, sikuzaliwa huku na siyo mtu mweupe, kwa hiyo kuna ubaguzi mwingi.

“Nilikwenda Uingereza nikiwa na umri wa miaka 15 na nimeishi huku kwa miaka 23. Niliingia kwenye mambo ya siasa karibu miaka 13 iliyopita baada ya kumaliza masomo ya chuo na nikapata nafasi ya kufanya kazi kwa mbunge sehemu niliyokuwa nakaa na huo ndio ukawa mwanzo wa safari hii,” alisema Lusingu.
Alisema kwa kipindi hicho alifanya naye kazi na kuona anavyofanya na kusaidia watu kwenye jamii, kama yeye alivyofika huko akiwa na mambo mengi yaliyohitaji msaada wake ikiwemo viza, nyumba na mambo mengine ambayo kama wageni wangehitaji.
Aliponipa hiyo nafasi nikaona ni nafasi nzuri na nikaendelea kuwa kwenye chama na ilipokuja hiyo nafasi nikaamua kuwania,” alisema.

Alieleza kuwa kama wanachama wa Labour walifanya kazi sana kwa kuongea na wakazi wa eneo hilo kuhusu shida zao, hasa ugumu wa maisha, gharama za kuishi na kutofurahia mambo yaliyofanywa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Borris Johnson kama marufuku ya kufungia watu (lockdown) wakati wa Uviko-19.

“Watu walipoteza ndugu zao kipindi hicho ingawa yeye alikuwa akifanya sherehe, na sheria alizoziweka alikuwa hazifuati, hicho kiliumiza watu wengi na hiyo ilitusaidia kidogo kushinda.
Lakini la muhimu ni kwamba tulifanya kazi na kuongea nao, lakini tuliwapa ilani ambayo wao waliamua kutuunga mkono na ndiyo maana tumeshinda.”

Licha ya Serikali ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo kufanya vibaya kwenye uchaguzi huo, anaamini ushindi wa Labour umetokana na sera na ilani aliyosema ilileta matumaini kwa wananchi waliokata tamaa. Alisema alikwenda Uingereza wakati baba yake akisoma huko na yeye kusomea huko. Kwa sasa baba yake amesharudi Tanzania.

Chanzo:Gazeti la mwananchi
Huyu sio mtanzania kisheria ni lazima alikwisha ukana uraia wa Tanzania.
Amebaki kuwa Muingereza mwenye asili ya Tanzania.
 
Dar es Salaam. Raia wa Uingereza mwenye asili ya Tanzania, Linda Lusingu ameshinda udiwani kata ya East Barnet, iliyoko mji mkuu wa London kwa kuwashinda wagombea wenzake 10 katika uchaguzi uliofanyika Mei 5, mwaka huu.

Lusingu ambaye ni mtaalamu wa sheria za familia na watoto, ameshinda uchaguzi huo kupitia chama cha Labour na ushindi wake amechangia chama hicho kuwa na madiwani wengi katika Halmashauri ya Barnet iliyokuwa ikiongozwa na chama cha Conservative kwa miaka mingi.

Akizungumza na kituo cha televisheni cha Azam na baadaye Mwananchi, Lisungu ambaye ni mwenyeji wa Same, Kilimanjaro, alisema amekuwa mwanachama wa Labour kwa miaka 13 na kwake imekuwa safari ndefu hadi kushinda nafasi hiyo.

“Haikuwa rahisi kufikia hapa, hasa ukichukulia kuwa natoka kwenye jamii za watu weusi wachache ambao hawana uwakilishi, sikuzaliwa huku na siyo mtu mweupe, kwa hiyo kuna ubaguzi mwingi.

“Nilikwenda Uingereza nikiwa na umri wa miaka 15 na nimeishi huku kwa miaka 23. Niliingia kwenye mambo ya siasa karibu miaka 13 iliyopita baada ya kumaliza masomo ya chuo na nikapata nafasi ya kufanya kazi kwa mbunge sehemu niliyokuwa nakaa na huo ndio ukawa mwanzo wa safari hii,” alisema Lusingu.
Alisema kwa kipindi hicho alifanya naye kazi na kuona anavyofanya na kusaidia watu kwenye jamii, kama yeye alivyofika huko akiwa na mambo mengi yaliyohitaji msaada wake ikiwemo viza, nyumba na mambo mengine ambayo kama wageni wangehitaji.
Aliponipa hiyo nafasi nikaona ni nafasi nzuri na nikaendelea kuwa kwenye chama na ilipokuja hiyo nafasi nikaamua kuwania,” alisema.

Alieleza kuwa kama wanachama wa Labour walifanya kazi sana kwa kuongea na wakazi wa eneo hilo kuhusu shida zao, hasa ugumu wa maisha, gharama za kuishi na kutofurahia mambo yaliyofanywa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Borris Johnson kama marufuku ya kufungia watu (lockdown) wakati wa Uviko-19.

“Watu walipoteza ndugu zao kipindi hicho ingawa yeye alikuwa akifanya sherehe, na sheria alizoziweka alikuwa hazifuati, hicho kiliumiza watu wengi na hiyo ilitusaidia kidogo kushinda.
Lakini la muhimu ni kwamba tulifanya kazi na kuongea nao, lakini tuliwapa ilani ambayo wao waliamua kutuunga mkono na ndiyo maana tumeshinda.”

Licha ya Serikali ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo kufanya vibaya kwenye uchaguzi huo, anaamini ushindi wa Labour umetokana na sera na ilani aliyosema ilileta matumaini kwa wananchi waliokata tamaa. Alisema alikwenda Uingereza wakati baba yake akisoma huko na yeye kusomea huko. Kwa sasa baba yake amesharudi Tanzania.

Chanzo:Gazeti la mwananchi
Wadanganye wengine. Aliyeshinda "kata" hiyo ni somebody nikola richer kama sijakosea. Unapotosha kwa maslahi gani?
 
Wadanganye wengine. Aliyeshinda "kata" hiyo ni somebody nikola richer kama sijakosea. Unapotosha kwa maslahi gani?
Tunaupiga mwingi bana mbona unaturudisha nyuma unalitakia nini hili Taifa?
 
Wadanganye wengine. Aliyeshinda "kata" hiyo ni somebody nikola richer kama sijakosea. Unapotosha kwa maslahi gani?
Umesoma chanzo cha taarifa yangu?
 
Huyu sio mtanzania kisheria ni lazima alikwisha ukana uraia wa Tanzania.
Amebaki kuwa Muingereza mwenye asili ya Tanzania.

..Ni Mtz.

..amemshukuru Mama ktk hotuba yake ya ushindi.

..pia amekitaja chama cha mapinduzi kuwa ndicho kilichomzaa na kumlea.
 
Kuna Mtanzania mwingine anaitwa Mariana amegombea kupitia chama cha SP jiji la Edinburgh-Scotland.
 
Wabongo kama wachina tu, wanapenda sana kusifiwa...huyo ni Muingereza period!

Yaleyale ya Obama watu kusema ana asili ya bongo kisa sijui bibi yake wa kifikia alitokea Rorya sijui wapi huko kwa Wajaluo wa TZ
 
Dar es Salaam. Raia wa Uingereza mwenye asili ya Tanzania, Linda Lusingu ameshinda udiwani kata ya East Barnet, iliyoko mji mkuu wa London kwa kuwashinda wagombea wenzake 10 katika uchaguzi uliofanyika Mei 5, mwaka huu.

Lusingu ambaye ni mtaalamu wa sheria za familia na watoto, ameshinda uchaguzi huo kupitia chama cha Labour na ushindi wake amechangia chama hicho kuwa na madiwani wengi katika Halmashauri ya Barnet iliyokuwa ikiongozwa na chama cha Conservative kwa miaka mingi.

Akizungumza na kituo cha televisheni cha Azam na baadaye Mwananchi, Lisungu ambaye ni mwenyeji wa Same, Kilimanjaro, alisema amekuwa mwanachama wa Labour kwa miaka 13 na kwake imekuwa safari ndefu hadi kushinda nafasi hiyo.

“Haikuwa rahisi kufikia hapa, hasa ukichukulia kuwa natoka kwenye jamii za watu weusi wachache ambao hawana uwakilishi, sikuzaliwa huku na siyo mtu mweupe, kwa hiyo kuna ubaguzi mwingi.

“Nilikwenda Uingereza nikiwa na umri wa miaka 15 na nimeishi huku kwa miaka 23. Niliingia kwenye mambo ya siasa karibu miaka 13 iliyopita baada ya kumaliza masomo ya chuo na nikapata nafasi ya kufanya kazi kwa mbunge sehemu niliyokuwa nakaa na huo ndio ukawa mwanzo wa safari hii,” alisema Lusingu.
Alisema kwa kipindi hicho alifanya naye kazi na kuona anavyofanya na kusaidia watu kwenye jamii, kama yeye alivyofika huko akiwa na mambo mengi yaliyohitaji msaada wake ikiwemo viza, nyumba na mambo mengine ambayo kama wageni wangehitaji.
Aliponipa hiyo nafasi nikaona ni nafasi nzuri na nikaendelea kuwa kwenye chama na ilipokuja hiyo nafasi nikaamua kuwania,” alisema.

Alieleza kuwa kama wanachama wa Labour walifanya kazi sana kwa kuongea na wakazi wa eneo hilo kuhusu shida zao, hasa ugumu wa maisha, gharama za kuishi na kutofurahia mambo yaliyofanywa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Borris Johnson kama marufuku ya kufungia watu (lockdown) wakati wa Uviko-19.

“Watu walipoteza ndugu zao kipindi hicho ingawa yeye alikuwa akifanya sherehe, na sheria alizoziweka alikuwa hazifuati, hicho kiliumiza watu wengi na hiyo ilitusaidia kidogo kushinda.
Lakini la muhimu ni kwamba tulifanya kazi na kuongea nao, lakini tuliwapa ilani ambayo wao waliamua kutuunga mkono na ndiyo maana tumeshinda.”

Licha ya Serikali ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo kufanya vibaya kwenye uchaguzi huo, anaamini ushindi wa Labour umetokana na sera na ilani aliyosema ilileta matumaini kwa wananchi waliokata tamaa. Alisema alikwenda Uingereza wakati baba yake akisoma huko na yeye kusomea huko. Kwa sasa baba yake amesharudi Tanzania.

Chanzo:Gazeti la mwananchi
Ameshindaje sasa hapo?

Screenshot_20220515-205053_Opera Mini.jpg
 
View attachment 2225358
Habari bila picha hainogi.

Ashukuru sera ya Marehemu JPM ya kukataa Lockdown imemsaidia kukubalika huko UK. JPM alisema tupambane na covid tukimtegemea na kumuweka Mungu Kwanza. Wako watu walimdhihaki. Lakini covid sasa ni kama haisikiki.

Konchesky Rais comedian wa Ukraine anapigana vita na Russia. Raia wakihimizana kumtegemea Mungu kwa nyimbo za kwaya, mapambio na maombi . Vita Punit aliyosema itachukuwa siku 3 leo ni siku 84 ngoma bado mbichi. Dunia bado hajajifunza chochote kuhusu wawili hawa?
 
Dar es Salaam. Raia wa Uingereza mwenye asili ya Tanzania, Linda Lusingu ameshinda udiwani kata ya East Barnet, iliyoko mji mkuu wa London kwa kuwashinda wagombea wenzake 10 katika uchaguzi uliofanyika Mei 5, mwaka huu.

Lusingu ambaye ni mtaalamu wa sheria za familia na watoto, ameshinda uchaguzi huo kupitia chama cha Labour na ushindi wake amechangia chama hicho kuwa na madiwani wengi katika Halmashauri ya Barnet iliyokuwa ikiongozwa na chama cha Conservative kwa miaka mingi.

Akizungumza na kituo cha televisheni cha Azam na baadaye Mwananchi, Lisungu ambaye ni mwenyeji wa Same, Kilimanjaro, alisema amekuwa mwanachama wa Labour kwa miaka 13 na kwake imekuwa safari ndefu hadi kushinda nafasi hiyo.

“Haikuwa rahisi kufikia hapa, hasa ukichukulia kuwa natoka kwenye jamii za watu weusi wachache ambao hawana uwakilishi, sikuzaliwa huku na siyo mtu mweupe, kwa hiyo kuna ubaguzi mwingi.

“Nilikwenda Uingereza nikiwa na umri wa miaka 15 na nimeishi huku kwa miaka 23. Niliingia kwenye mambo ya siasa karibu miaka 13 iliyopita baada ya kumaliza masomo ya chuo na nikapata nafasi ya kufanya kazi kwa mbunge sehemu niliyokuwa nakaa na huo ndio ukawa mwanzo wa safari hii,” alisema Lusingu.
Alisema kwa kipindi hicho alifanya naye kazi na kuona anavyofanya na kusaidia watu kwenye jamii, kama yeye alivyofika huko akiwa na mambo mengi yaliyohitaji msaada wake ikiwemo viza, nyumba na mambo mengine ambayo kama wageni wangehitaji.
Aliponipa hiyo nafasi nikaona ni nafasi nzuri na nikaendelea kuwa kwenye chama na ilipokuja hiyo nafasi nikaamua kuwania,” alisema.

Alieleza kuwa kama wanachama wa Labour walifanya kazi sana kwa kuongea na wakazi wa eneo hilo kuhusu shida zao, hasa ugumu wa maisha, gharama za kuishi na kutofurahia mambo yaliyofanywa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Borris Johnson kama marufuku ya kufungia watu (lockdown) wakati wa Uviko-19.

“Watu walipoteza ndugu zao kipindi hicho ingawa yeye alikuwa akifanya sherehe, na sheria alizoziweka alikuwa hazifuati, hicho kiliumiza watu wengi na hiyo ilitusaidia kidogo kushinda.
Lakini la muhimu ni kwamba tulifanya kazi na kuongea nao, lakini tuliwapa ilani ambayo wao waliamua kutuunga mkono na ndiyo maana tumeshinda.”

Licha ya Serikali ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo kufanya vibaya kwenye uchaguzi huo, anaamini ushindi wa Labour umetokana na sera na ilani aliyosema ilileta matumaini kwa wananchi waliokata tamaa. Alisema alikwenda Uingereza wakati baba yake akisoma huko na yeye kusomea huko. Kwa sasa baba yake amesharudi Tanzania.

Chanzo:Gazeti la mwananchi
Hongera zake. Akumbuke kuwa hiyo yote ni kwa sababu ya juhudi za Rais Samia. Asisahau kumshukuru rais Samia
 
Back
Top Bottom