King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Alizungumza kiswahili na Azam?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yani.Huku kwetu Ukiwa serous na kuwa mzalendo unatafutia kabila lengine. Utaambiwa unatoka msumbiji ,Burundi au Rwanda!!ndiyo hatuna maendeleo
Mumewe,ni m she.TUME ya UCHAGUZI ya kule inaonyesha ina Watu weledi sana ingekuwa hapa Mwingereza ndio kagombea asingepata kura hata ya mkewe
Kuna watu watamaindi hapaWapare oyeee, nasema uongo ndugu zangu?
Ila kwa hilo tuna tatizo kubwa sana, yaani kama kuna genge fulani (Wolves gang) wameamua kujimilikisha hii nchi na mali zake zoteWenzetu wana mifumo imara wakishajiridhisha na wewe nafas kama hizo unapewa tu
Huku ndio kuna balaa maana dk moja tu unachaguliwa uraia wa nchi nyingine