King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 May 19, 2022 #81 Alizungumza kiswahili na Azam?
safuher JF-Expert Member Joined Feb 11, 2019 Posts 11,837 Reaction score 17,412 May 19, 2022 #82 A ZALEMDA said: Huku kwetu Ukiwa serous na kuwa mzalendo unatafutia kabila lengine. Utaambiwa unatoka msumbiji ,Burundi au Rwanda!!ndiyo hatuna maendeleo Click to expand... Kabisa yani. Mtu kakulia na kulelewa uingereza kisha kapata kashavu unaanza kulazimisha awe na asili ya tz,asili gani wakati tokea hapo yupo kiulaya ulaya tu
A ZALEMDA said: Huku kwetu Ukiwa serous na kuwa mzalendo unatafutia kabila lengine. Utaambiwa unatoka msumbiji ,Burundi au Rwanda!!ndiyo hatuna maendeleo Click to expand... Kabisa yani. Mtu kakulia na kulelewa uingereza kisha kapata kashavu unaanza kulazimisha awe na asili ya tz,asili gani wakati tokea hapo yupo kiulaya ulaya tu
CHIBURABANU JF-Expert Member Joined Sep 19, 2013 Posts 2,921 Reaction score 3,474 May 19, 2022 #83 Lord OSAGYEFO said: TUME ya UCHAGUZI ya kule inaonyesha ina Watu weledi sana ingekuwa hapa Mwingereza ndio kagombea asingepata kura hata ya mkewe Click to expand... Mumewe,ni m she.
Lord OSAGYEFO said: TUME ya UCHAGUZI ya kule inaonyesha ina Watu weledi sana ingekuwa hapa Mwingereza ndio kagombea asingepata kura hata ya mkewe Click to expand... Mumewe,ni m she.
Liwagu JF-Expert Member Joined Jan 25, 2017 Posts 5,593 Reaction score 6,754 May 19, 2022 #84 The next PM miaka kumi na tatu baadae.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 May 19, 2022 #85 Championship said: Wapare oyeee, nasema uongo ndugu zangu? Click to expand... Kuna watu watamaindi hapa
Championship said: Wapare oyeee, nasema uongo ndugu zangu? Click to expand... Kuna watu watamaindi hapa
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 May 19, 2022 #86 Waruhusu uraia pacha waone Wenye asili ya tanzania wakatavyo fumuka Ova
F FOCAL JF-Expert Member Joined Jun 25, 2019 Posts 3,513 Reaction score 5,035 May 19, 2022 #87 raraa reree said: Wenzetu wana mifumo imara wakishajiridhisha na wewe nafas kama hizo unapewa tu Huku ndio kuna balaa maana dk moja tu unachaguliwa uraia wa nchi nyingine Click to expand... Ila kwa hilo tuna tatizo kubwa sana, yaani kama kuna genge fulani (Wolves gang) wameamua kujimilikisha hii nchi na mali zake zote
raraa reree said: Wenzetu wana mifumo imara wakishajiridhisha na wewe nafas kama hizo unapewa tu Huku ndio kuna balaa maana dk moja tu unachaguliwa uraia wa nchi nyingine Click to expand... Ila kwa hilo tuna tatizo kubwa sana, yaani kama kuna genge fulani (Wolves gang) wameamua kujimilikisha hii nchi na mali zake zote