Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi we ni wa nchi hii kweli? We kusini unakuchukuliaje, kwanini unafikiri barabara ya kusini iwe ya makorongo kwa hiyo kwa hiyo akili yako ndogo. Hiyo lami huko ulipo ilijengwa na wananchi? Acheni upumbavu kusini ni Tanzania serikali inapeleka maendeleo maeneo yote.. Kwanza ujue barabara ya kwanza ya lami ilijengwa kusini, yaani Trunk Road number one, T001 imeanzia Dar mpaka Tunduma. Barabara ya lami kutoka Makambako kupitia Njome mpaka Songea iljengwa enzi za Nyerere kabla hata lami haijafika hata Dodoma (T006). sasa hivi kuna lami tena nzuri ya kisasa. Kutoka Lindi-Masasi-Mtwara tangia kipindi cha Mkapa. Lindi-Masasi-Tunduru-Songea iko muda mrefu. Songea-Njombe-Makambako-Mbeya tangia kipindi cha baba wa Taifa.Kuna lami kutoka Songea-Mbinga-Mbamba Bay(ziwa Nyasa). Njombe-MaketeHiyo njia ya kusini si ya makorongo matupu?
Mzee Baba Jipange njia iko Vzuri sana nimetoka kupita hiyo njia Kuanzia Mbagala, Kibiti, Ikwiriri, unaingia Lindi Kijiji cha Mkwaya ukifika Mnazi Mmoja unaingia zako Kulia uelekeo wa Namungo FC na Mtama, Unaipita Masasi, Tunduru, Songea, Madaba, Makambako - unaingia uelekeo wa Mbeya.Naomba kuuliza kwa mwenye kujua. Ukitoka Lindi Hadi Mbeya Kwa barabara. Umbali ukoje kulinganisha na Dar Hadi Mbeya.
Hali ya barabara pia ikoje?
kabisa tena zaidi ya mara 2, Dar-Lindi ni Km 470 tu. Ukitoka Dar Lindi unafika saa 6 mchana km umeanzia safari yako Mbagala au Temeke. sasa hata akili ya kawaida ukitoka Dar unapita mkoa moja tu wa Pwani mkoa unaofuata ni wa Lindi, umbali utoke wapi.Kwahiyo Kwa urefu WA kilomita Mbeya to Dar ni fupi kulinganisha na Mbeya to Lindi??
Sorry, Mbeya-Dar kupitia Morogoro ni kam Km 760, ndiyo ni karibu.Kwahiyo Kwa urefu WA kilomita Mbeya to Dar ni fupi kulinganisha na Mbeya to Lindi??
Hujaelewa kabisa sijataja Dar kabisa..kabisa tena zaidi ya mara 2, Dar-Lindi ni Km 470 tu. Ukitoka Dar Lindi unafika saa 6 mchana km umeanzia safari yako Mbagala au Temeke. sasa hata akili ya kawaida ukitoka Dar unapita mkoa moja tu wa Pwani mkoa unaofuata ni wa Lindi, umbali utoke wapi.
Sijawahi kupita hizo barabara za kusini mwisho wangu Dar Mtwara na ningeweza kugugo ila nimetumia makadirio tu.Sitaki kuja Dar ...nataka barabara za kusini kutoka Lindi Hadi Mbeya..
Naomba kuuliza kwa mwenye kujua. Ukitoka Lindi Hadi Mbeya Kwa barabara. Umbali ukoje kulinganisha na Dar Hadi Mbeya.
Hali ya barabara pia ikoje?
Naomba kuuliza kwa mwenye kujua. Ukitoka Lindi Hadi Mbeya Kwa barabara. Umbali ukoje kulinganisha na Dar Hadi Mbeya.
Hali ya barabara pia ikoje?
Ok sorry, Lindi-Mbeya ni Km 1068, nauli sh. 61,000/= Barabara ni nzuri ni lami ila kuna kona nyingi kutokea Tunduru-Namtumbo-Songea na kutoka Madaba(Songea)-Njombe. Ukitoka Njombe-Makambako-Wang'ing'ombe-Mbarali-Mbeya ni tambarare tu unaenjoy safari kutalii nchi yako.Hujaelewa kabisa sijataja Dar kabisa..
Nauliza Lindi to Mbeya sio Lindi to Dar
we umejichanganya, Mtwara-Mbamba Bay ndiyo route gani hiyo. Mbona km umechanganya maharage na unga? Ukitoka Lindi unapitia njia zifuatazo: Lindi-Tunduru(Km337)-Songea(Km 265)-Njombe(Km 235)-Makambako(Km 60)-Mbeya(Km 185). Hii ndiyo route yenyewe
Umenikumbusha basi la Teeteeco enzi hizo Lindi/Mbeya na Lindi/Dar es Salaam.Naomba kuuliza kwa mwenye kujua. Ukitoka Lindi Hadi Mbeya Kwa barabara. Umbali ukoje kulinganisha na Dar Hadi Mbeya.
Hali ya barabara pia ikoje?
Kwani ramani inasemaje hapo, wewe unaona hiyo barabara imekwenda Mbambabay?we umejichanganya, Mtwara-Mbamba Bay ndiyo route gani hiyo. Mbona km umechanganya maharage na unga? Ukitoka Lindi unapitia njia zifuatazo: Lindi-Tunduru(Km337)-Songea(Km 265)-Njombe(Km 235)-Makambako(Km 60)-Mbeya(Km 185). Hii ndiyo route yenyewe
Fafanua uelewekewe umejichanganya, Mtwara-Mbamba Bay ndiyo route gani hiyo. Mbona km umechanganya maharage na unga? Ukitoka Lindi unapitia njia zifuatazo: Lindi-Tunduru(Km337)-Songea(Km 265)-Njombe(Km 235)-Makambako(Km 60)-Mbeya(Km 185). Hii ndiyo route yenyewe
Nieleweke nini, ni barabara ninayoifahamu vizuri napitia mara nyingi. Hizo ni KM yaani umbali kutoka mji moja kwenda mwingine km nilivyooneshaFafanua ueleweke
Lindi-Tunduru(Km337)-Songea(Km 265)-Njombe(Km 235)-Makambako(Km 60)-Mbeya(Km 185)
Tumia google map. Rahisi tuNaomba kuuliza kwa mwenye kujua. Ukitoka Lindi Hadi Mbeya Kwa barabara. Umbali ukoje kulinganisha na Dar Hadi Mbeya.
Hali ya barabara pia ikoje?
Unataka kusemaje??sasa safari ya mbeya dar,,,,na mbeya lindi kwa Akili yako ipi ni safari ndefu??Kwahiyo Kwa urefu WA kilomita Mbeya to Dar ni fupi kulinganisha na Mbeya to Lindi??