Huyu mtoto ameanza ushenzi mapema sana. Miaka 13!!! Akifikisha miaka 18 inabidi atafutiwe viza ya kwenda kuishi kwa babu yake Joe Biden.
Wakati vizuri na uyo dogo wa miaka 13 lazima na yeye kuna mtu mzima anayemfanyia huo mchezo na yeye anaenda kufanyia wenzie
Mwanafunzi wa miaka 13 hawezi mlawiti mwanafunzi mwenzake mpaka akashindwa kutembea. Hii kesi ni ya kuchunguza naomba nitoe my personal experience on such a case.
Nilipokuwa darasa la pili nilisingiziwa kubaka mapacha tuliokuwa tukisoma pamoja na kukaa dawati moja.
Nilishangaa asubuhi nafika shuleni naitwa officini na kuanza kupigwa mboko. Nilikuwa mdogo siwezi jitetea wala kujieleza.
Hii kitu ilisinumbua sna mpaka namaliza darasa la saba zile siku za mwishoni sababu tuliendelea kuwa marafiki ilinibidi nimuulize mmoja wao nini kilitokea na kwanini walinisingizia.
Yule pacha mmoja alinieleza ukweli kuwa walifanywa ivyo na mwalimu wao wa tuition ambaye navyoandika hivi sasa ni mwalimu mkuu wa iyo shule leo hii. Walidai mwalimu aliwatisha sana so hawakuweza msema. Na wazazi wao alipowaleta kwa uyo mwalimu aliwaambia lazima itakuwa ni mimi ambaye huwa nao muda wote wanapokuwa shule.
Na huyu mwalimu ndye aliyenichapa sana mbele ya shule na wazazi wa wale mapacha.
Mpaka leo huwa najiuliza hata hawa wazazi hawakuweza kutafakari uwezzekano wa mtoto mmoja kubaka watu wawili?
So back to this case, mi nashaur uchunguzi ufanyike.
Pole mkuu...! Ila mashuleni kwa sasa haya mambo yapo sana, kuna shule ipo sehemu ambayo ndo wanafanyia mambo hayo hao watoto wanapaita mzizi wa laana..! Huyo mwalimu ningemfata na kumpa makavu live ili ajue nimejua
Yani mpaka namaliza darasa la saba huyu mwalimu alikuwa na scandle nying za kutembea na wanafunzi na hii aliweza kufanikisha sababu alikuwa akiishi hapo hapo shuleni na kuendesha masomo ya jioni. Sasa sipati picha kinachoendelea hivi leo maana ndyo mwalimu mkuu na inasemekana ana VVU. Mke wake kashakufa kwa VVU.
So kama ni wewe unafikiri unaweza fanyaje?Mkuu fanya jambo lolote kuwasaidia watoto wengine ambao bado hawajaingia katika mikono yake. Usichukulie poa tu
So kama ni wewe unafikiri unaweza fanyaje?
Good advise ngoja nione naxifanyiaje kaziKuwaambia dawati la jinsi na watoto la polisi wa eneo husika.
Kuiambia kamati/bodi ya shule kuhusu huyo mwalimu.
Kuwaambia hao mapacha wawambie police wa eneo husika.
Kuwaambia viongozi au wanasiasa wa eneo husika.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]N yeye wamshikie apige
Wewe hapa Jiwe anahusikaje au mzee chuki kazini.aya mambo yanawezakana africa hususani Tanzania ya jiwe
Umewaza kama nilivyowaza, au kukosa maadili kwa wazazi wake kumempelekea awaone wanachofanya ndipo na yeye anakwenda kuwafanyia wenzake.Wakati vizuri na uyo dogo wa miaka 13 lazima na yeye kuna mtu mzima anayemfanyia huo mchezo na yeye anaenda kufanyia wenzie
sina chuki boy ila ndo ukweli huoWewe hapa Jiwe anahusikaje au mzee chuki kazini.
Sheria itafanya kazi siyo rais.