Lindi: Mtoto wa darasa la 6 akamatwa kwa tuhuma za kumnajisi Mtoto wa darasa la 3

Lindi: Mtoto wa darasa la 6 akamatwa kwa tuhuma za kumnajisi Mtoto wa darasa la 3

Biden hana mjukuu mweusi
Huyu mtoto ameanza ushenzi mapema sana. Miaka 13!!! Akifikisha miaka 18 inabidi atafutiwe viza ya kwenda kuishi kwa babu yake Joe Biden.
 
Huyu mtoto amezingua sana miaka 13 analeta fujo zote hizo
 
Fanya chochote mkuu huyo mwalimu mkuu aondolewe kwenye hiyo shule na apelekwe gerezani.Ataendelea kuwaharibu na kuwaumiza watoto wengine wengi mpaka lini!
Mwanafunzi wa miaka 13 hawezi mlawiti mwanafunzi mwenzake mpaka akashindwa kutembea. Hii kesi ni ya kuchunguza naomba nitoe my personal experience on such a case.

Nilipokuwa darasa la pili nilisingiziwa kubaka mapacha tuliokuwa tukisoma pamoja na kukaa dawati moja.

Nilishangaa asubuhi nafika shuleni naitwa officini na kuanza kupigwa mboko. Nilikuwa mdogo siwezi jitetea wala kujieleza.

Hii kitu ilisinumbua sna mpaka namaliza darasa la saba zile siku za mwishoni sababu tuliendelea kuwa marafiki ilinibidi nimuulize mmoja wao nini kilitokea na kwanini walinisingizia.

Yule pacha mmoja alinieleza ukweli kuwa walifanywa ivyo na mwalimu wao wa tuition ambaye navyoandika hivi sasa ni mwalimu mkuu wa iyo shule leo hii. Walidai mwalimu aliwatisha sana so hawakuweza msema. Na wazazi wao alipowaleta kwa uyo mwalimu aliwaambia lazima itakuwa ni mimi ambaye huwa nao muda wote wanapokuwa shule.

Na huyu mwalimu ndye aliyenichapa sana mbele ya shule na wazazi wa wale mapacha.

Mpaka leo huwa najiuliza hata hawa wazazi hawakuweza kutafakari uwezzekano wa mtoto mmoja kubaka watu wawili?

So back to this case, mi nashaur uchunguzi ufanyike.
 
Makavu laivu hayana maana yoyote kama ataendelea kuwa mwalimu au kubaki uraiani
Pole mkuu...! Ila mashuleni kwa sasa haya mambo yapo sana, kuna shule ipo sehemu ambayo ndo wanafanyia mambo hayo hao watoto wanapaita mzizi wa laana..! Huyo mwalimu ningemfata na kumpa makavu live ili ajue nimejua
 
Mkuu fanya jambo lolote kuwasaidia watoto wengine ambao bado hawajaingia katika mikono yake. Usichukulie poa tu
Yani mpaka namaliza darasa la saba huyu mwalimu alikuwa na scandle nying za kutembea na wanafunzi na hii aliweza kufanikisha sababu alikuwa akiishi hapo hapo shuleni na kuendesha masomo ya jioni. Sasa sipati picha kinachoendelea hivi leo maana ndyo mwalimu mkuu na inasemekana ana VVU. Mke wake kashakufa kwa VVU.
 
Jina Foka halinashida tatizo ni hapo kwenye Dinya 🤣🤣
 
Kuwaambia dawati la jinsi na watoto la polisi wa eneo husika.
Kuiambia kamati/bodi ya shule kuhusu huyo mwalimu.
Kuwaambia hao mapacha wawambie police wa eneo husika.
Kuwaambia viongozi au wanasiasa wa eneo husika.
So kama ni wewe unafikiri unaweza fanyaje?
 
Kuwaambia dawati la jinsi na watoto la polisi wa eneo husika.
Kuiambia kamati/bodi ya shule kuhusu huyo mwalimu.
Kuwaambia hao mapacha wawambie police wa eneo husika.
Kuwaambia viongozi au wanasiasa wa eneo husika.
Good advise ngoja nione naxifanyiaje kazi
 
Wakati vizuri na uyo dogo wa miaka 13 lazima na yeye kuna mtu mzima anayemfanyia huo mchezo na yeye anaenda kufanyia wenzie
Umewaza kama nilivyowaza, au kukosa maadili kwa wazazi wake kumempelekea awaone wanachofanya ndipo na yeye anakwenda kuwafanyia wenzake.
 
Back
Top Bottom