Lindi: Zitto Kabwe na Sulemani Bungara (Bwege) wakamatwa na Polisi

Lindi: Zitto Kabwe na Sulemani Bungara (Bwege) wakamatwa na Polisi

Nimeangalia hii clip video ya kukamatwa kwa zito,anyway niseme mengi.
 
Hao wanaamini kuwa wao tu ndiyo wenye haki ndani ya nchi hii, wengine wote ni wasaliti na wanatumika na mabeberu!
Wakumbuke tu kuwa popote pasipo na haki Amani hutoweka kama ushuzi. Iko siku CCM watalipwa uonevu huu waofanyia wapinzani. Allah awalni wote
 
Nchi moja , Raia wapo madaraja mawili mbele ya Haki za Kikatiba. Wale wenye kinga ya kutokamatwa na wengine wanakamwatwa kila kukicha .

23 Jun 2020
Temeke, Dar es Salaam

HUU Ndio WOSIA wa MAMA SAMIA kwa WANACHAMA wa CCM
Wilayani TEMEKE... MAKAMU wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, ameendelea na ziara yake ya kichama katika wilaya ya Temeke jijini Dar....




Source : Global TV online
 
Taifa Moja, Tanzania mbili. Tanzania ya CCM Mpya na Tanzania ya Wasio na Haki


23 Jun 2020
Kigamboni, Dar es Salaam

ZIARA YA MAKAMU WA RAIS HUKO KIGAMBONI,



"NITAWAKAMATA DAWASA" ATATUA KERO Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu amefanya ziara katika Wilaya ya Kigamboni ambapo ametatua kero ya Maji inayoikabili wilaya hiyo....

Source : Global TV online
 
23 Jun 2020
Kilwa, Lindi

MABOMU YA MACHOZI YARINDIMA KILWA/ POLISI WALIVYO MKAMATA ZITTO KABWE
TAHARUKI kwenye Ukumbi wa Stanford Bridge kwenye mkutano wa ndani Kilwa, Lindi.

Hii ni baada ya Jeshi la Polisi kumkatama Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo , Zitto Kabwe na Mbunge wa Kilwa Kusini walipokuwa kwenye mkutano wa ndani wa chama hicho.

Source : MwanaHALISI TV
 
mbinu za kibabe kuua upinzani zinavijenga zaidi vyama hivyo badala ya kuvibomoa, kila mtu nchini anasikia matukio hayo ya polisi kuwasumbua wapinzani na kuona wanaonewa na wananchi kuichukia serikali!

watu wa nje pia wanasikia na kuona video za matukio hayo na kuharibu taswira ya nchi na utoaji wao misaada na utalii, watalii wengi wa ulaya na marekani wanachukia nchi zenye ukandamizaji na pia matukio haya wapinzani wanayaandikia funding proposals na kupewa mabilioni kutoka nje kuja kuvuruga juhudi mfano hai ni tshirt alizogawa Zzk mji mzima Kilwa pesa hizo katoa wapi? aulizwe na Takukuru!

hapa ujanja ni kuwaruhusu wapinzani wafanye kwa amani vikao vya ndani na hata kwenye majukwaa ya siasa wasibugudhiwe sheria ya vyama vingi inawapa uhuru huo!

1. cha kufanya ni kuhakikisha wagombea wa ubunge wa upinzani hatari kwa kijani wanakosa form za ubunge kwa kukosa vigezo au wanapewa masharti kila wakileta form zirudishwe wakarekebishe vipengele hadi muda wa kurudisha form upite.

2. kesi za uchochezi ziwepo za kumwaga hata wagombea hatari wa upinzani wakose muda wa kampeni wawe wanashinda mahakamani, kesi zao zisiishe kosa moja wapewe kesi kumi na kila wiki wapewe tarehe kurudi mahakamani hadi uchaguzi upite na wengine wapewe kesi za kutakatisha pesa na uchochezi na uhaini na waambiwe sio raia!!

3.kutumia makada mitaani kuhamasisha watu kujiunga na kijani, tshirt na kofia na vitenge na vilemba vigaiwe kwa wingi hali ni ngumu wengine watumie nguo hizo kufanya mtoko! hii ni takrima muhimu! isipuuzwe wapinzani wameanza kuitumia na itawapaisha!

4. kuhakikisha miradi mingi ya maendeleo inakamilika kila mji au wilaya na kuondoa wakandarasi wazembe na kuwashitaki na kuwatupa jela maafisa wanaofisadi miradi.

5. Wakurugenzi kutumia magoli ya mkono kama last resort kwa majimbo yote tunayojua wabunge wake ni waropokaji na mawakala wa mabeberu!

6. kuendelea kupiga vichwa vya nyoka kule Dom, wakikaa hosp au mahabusu nchi inatulia miradi inaenda kwa kasi

7. kuunda kamati ya ufundi kuhakikisha wale wabunge hatari kumi hatari kwa kijani hawarudi bungeni!

hakuna haja ya mabomu ya machozi siasa ni akili tu, si mchezo unaohitaji hasira, Bia Yetu uko wapi? ushaamka na kuzimua? nakuwakilisha!
 
Hili la kukamatwa ndiyo tunalitaka. Zitto unafanya siasa sasa. Kama CHADEMA wameacha uhanaharakati nyie tumieni hiyo nafasi. Fanya mikutano mingi bila hata kibali. Mikutano ifanyike kuanzia chini kabisa mpaka kitaifa. Wafuasi wenu washinikizwe kukubali kukamatwa - wasikubali mazuio yasiyo na msingi.

Wanachotakiwa kufanya kila mahali ni kuiga yale yanayofanywa na CCM - yaani wakiona tu CCM wanafanya vikao au mikutano bila vibali nao kesho yake au siku hiyo hiyo wakusanyika kwa namna hiyo hiyo ya KiCCM CCM. Yaani iwe ni jicho kwa jicho au domo kwwa domo. Wasikubali kunyamazishwa - CCM wepesi sana mwaka huu manake hawana hekima kabisa. Nakumbuka katika maisha yangu nikiwa mdogo mtu yeote alikyekuwa na limwili kubwa but hekima haba akipigana na mimi nilikuwa najipigia ile mbaya pamoja na kamwili kangu kadogo!
 
Watakamatwa sana tu kwa siasa za kihuni na ubunge hawapati
Wakikasirika waende kushitaki kwa pompeo

Pompeo akileta ujinga tunamsemelea kwa kim
 
Watakamatwa sana tu kwa siasa za kihuni na ubunge hawapati
Wakikasirika waende kushitaki kwa pompeo

Pompeo akileta ujinga tunamsemelea kwa kim
Wala hamna hicho unachofikiri. Watu George Floyd kishatupa shule! tupo tayari hata kwa risasi!
 
Nasikia hawakuzingatia maekekezo ya wizara ya afya yakutaka watu kukaa mita mbili[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kumekucha Sasa Hivi Asiye Na Mwana Aeleke Jiwe
-Kama Watanzaniawalidhani kukiondo chama Tawala Madarakani ni sawa na kunywa juice ya Mua, huku ukifumba macho na kusikilizia utamu na ladha, wamenowa.

Dunia Ni kijiji,-Yanayotokea kwengineko hayana budi yaje TZ ndio ile Haki ipatikane.

Wanaodhani matamko na makemeo yanaweza kumtowa shetani kichwani, wamekwenda Mchomo.
-Bakora ,lazima zitumike wakati mwingine na kama si hivyo, CCM itabakia kuwa shetani wa Familia kila akipanda lazima achinjiwe mbuzi au apewe jogoo ndio atulie.
-CCM Inahitaji kivumbi cha kweli kweli na Maamuzi Magumu yenye Mipango Thabiti,Mana limekuwa Jini pevu lililo kubuhu kwa kuwala watoto kila mwaka kwa kuwatowa muhamga ili liendelee kuwepo na amani ipatikane .
CCM isipo mwagiwa damu ya Kafara itaendelea kuleta mauza uza Nchini Hadi Milele.
Wke UpTanzanian
Wakati Ni huu.
 
Back
Top Bottom