CCM CCM CCM , nimewaita mara tatu.
POLIS POLISI POLISI , nmewaita mara tatu.
Embu fanyeni kuwaza, kama hao polisi wenu chini ya 10 , Wananchi hawa wangeamua kuwashugulikia , kuna mtu angetoka???.
Nayann kuleta migogoro isokua na maana???
CCM wafanye wanavyotaka, Upinzani wakandamizwe, ivi nan mwenye hati miliki ya Nchi hii,?????
Alafu linakuja lipuuzi limoja, linasema Rais Kafanya mengi, masuala ya katiba na tume huru hayana maana na hayahitajiki????
Mjue ,Siku moja Sauti za hawa mnawaonea Zitainuka..
Ghadafi, alijiaminisha kua Jeshi kalishika, Polisi na vyombo vyake vya Dola amevishika,,,,..... ni nani asojua Ghafafi aliondoshwa na Kabila dogo lilodharauliwa nchini humo?????.
WITO ....
Wananchi ,wafuasi wa upinzani, mpaka lini viongozi wenu watapigwa Risasi??? Mpaka lini watatishiwa kuuwawa ndani ya nchi yao?? Mpaka lini mtakubali viongozi wenu wapondwe ,waumizwe..? Nikwamba mmeshindwa kabisa kuwasimamia......???
Polisi kama hawa wapuuzi walipaswa kupewa kipigo cha mbwa mwitu mpaka alowatuma salamu zimfikie kua TUMECHOKA... Acheni kuwalea lea hawa wapuuzi.