Lindi: Zitto Kabwe na Sulemani Bungara (Bwege) wakamatwa na Polisi

Lindi: Zitto Kabwe na Sulemani Bungara (Bwege) wakamatwa na Polisi

Nikiwa mkubwa sitaki kuwa polisi!
JamiiForums32674919.jpg
 
Kuna kamanda mkuu mmoja wa mkoa wa arusha amesema
(A) inawakilisha serikali
(B) POLICCN
(C) CHAMA CHA NAPINDUZI sasa hapo kuna nini tena
 
Mi nasapoti hii nchi kutorahisisha taratibu za kumiliki bunduki. Wazia katika huo mkutano wale wanaobishana na yule askari wangekua na miguu ya kuku nini kingefuata?
 
Washughulikiwe kwa mujibu wa sheria, wanafanya makusudi ili wakishughulikiwa wadai wanaonewa sababu ya uchaguzi.
 
CCM CCM CCM , nimewaita mara tatu.

POLIS POLISI POLISI , nmewaita mara tatu.

Embu fanyeni kuwaza, kama hao polisi wenu chini ya 10 , Wananchi hawa wangeamua kuwashugulikia , kuna mtu angetoka?

Nayann kuleta migogoro isokua na maana?

CCM wafanye wanavyotaka, Upinzani wakandamizwe, ivi nan mwenye hati miliki ya Nchi hii?

Alafu linakuja lipuuzi limoja, linasema Rais Kafanya mengi, masuala ya katiba na tume huru hayana maana na hayahitajiki?

Mjue ,Siku moja Sauti za hawa mnawaonea Zitainuka.

Ghadafi, alijiaminisha kua Jeshi kalishika, Polisi na vyombo vyake vya Dola amevishika,,,,..... ni nani asojua Ghafafi aliondoshwa na Kabila dogo lilodharauliwa nchini humo?

WITO
Wananchi ,wafuasi wa upinzani, mpaka lini viongozi wenu watapigwa Risasi??? Mpaka lini watatishiwa kuuwawa ndani ya nchi yao?? Mpaka lini mtakubali viongozi wenu wapondwe ,waumizwe..? Nikwamba mmeshindwa kabisa kuwasimamia?

Polisi kama hawa wapuuzi walipaswa kupewa kipigo cha mbwa mwitu mpaka alowatuma salamu zimfikie kua TUMECHOKA... Acheni kuwalea lea hawa wapuuzi.
 
Wareact halafu wakiumia nani agharamie matibabu?
Kuna taratibu za kumkamata mtu unamueleza kosa lake kisha taratibu nyingine zinafuata kuanza kumshikashika na kumvuta mtu sio ustaarabu siku nyingine atakutana na mtu aliyekata tamaa maisha anaweza akamuwasha BOMBA wapotee wote!!
 
Kuna taratibu za kumkamata mtu unamueleza kosa lake kisha taratibu nyingine zinafuata kuanza kumshikashika na kumvuta mtu sio ustaarabu siku nyingine atakutana na mtu aliyekata tamaa maisha anaweza akamuwasha BOMBA wapotee wote!!
Sawa.Ila mtu kujitia uchizi kisa mwanasiasa nao ni ujinga pia.
 
Ghadafi, alijiaminisha kua Jeshi kalishika, Polisi na vyombo vyake vya Dola amevishika,,,,..... ni nani asojua Ghafafi aliondoshwa na Kabila dogo lilodharauliwa nchini humo?????.
Libya iliyokombolewa kutoka kwa Ghadafi sahivi ipo wapi?
 
Back
Top Bottom