Lindi: Zitto Kabwe na Sulemani Bungara (Bwege) wakamatwa na Polisi

Lindi: Zitto Kabwe na Sulemani Bungara (Bwege) wakamatwa na Polisi

Nimekurahishia jibu tu usinipe kazi ya kujibu maswali ya kipuuzi
Unajua kusoma?Wapi nimekuuliza mambo ya kibali?Mimi nimekuuliza kuwa unaelewa tofauti kati ya mkutano na kikao cha ndani?Kwa nini unajibu maswali ambayo hujaulizwa?!Wewe ni kichwa maji?
 
PoliceCCM!
76543.jpg
 
Nimekurahishia jibu tu usinipe kazi ya kujibu maswali ya kipuuzi
Yaani unajibu swali ambalo sijakuuliza halafu unadai kuwa umenirahisishia majibu?!Nikikuita mbumbumbu utanilaumu?CCM wanaelewa kuwa wametuma mbumbumbu kufanya propaganda dhaifu kwenye mitandao?
 
Polisi wa Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi wamemkamata Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ndugu Zitto Kabwe Pamoja na baadhi ya viongozi wengine wakati wakiwa wanaendesha kikao cha ndani cha kukaribisha Madiwani wapya.

View attachment 1486776

---


Kwa mujibu wa Chama cha ACT Wazalendo kupitia mtandao wa Twitter, Kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe na Mbunge wa Kilwa Kaskazini, Sulemani Bungara (Bwege) wamekamatwa

Chama hicho kimeeleza kuwa Polisi wamewasili kwenye mkutano wao wa ndani Wilayani Kilwa ambapo shughuli za kuwapokea Madiwani 8 wa CUF zilikuwa zinaendelea

Aidha, kimebainisha kuwa kitatoa taarifa zaidi baadaye kwani sasa Viongozi wa chama hicho mkoni humo pamoja na Wanachama wanaelekea Kituoni

Ni Kilwa na Chato tayari uvunjifu mkubwa wa demokrasia unaendelea kabla hata kampeni hazijaanza. Huu ndio mwanzo wa mwisho wa ccm tusikubali.
 
Juni 21, 2020
Dr. Bashiru Ally - CCM hatutaki ombwe la uongozi, endeleeni kukitangaza chama

NI VEMA WABUNGE,WAWAKILISHI NA MADIWANI WA CCM WAKAACHWA WAENDELEE KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO INGAWA BUNGE NA MABARAZA YA MADIWANI YAMESHA VUNJWA

DKT. BASHIRU AFAFANUA UKOMO WA WABUNGE, WAWAKILISHI NA MADIWANI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally leo tarehe 21 Juni, 2020 ameongoza mafunzo kwa Makatibu wa CCM wa mikoa na watumishi wa Makao Makuu, ambapo ametumia fursa hiyo kutoa ufafanuzi wa ukomo wa wabunge, Wawakilishi na Madiwani wa CCM.
 
Demokrasia imegeuka kuwa Demo-ghasia. IGP anafanyia kazi maagizo na biti aliopewa jana.

Viongozi waliopewa vyeo wajiangalie sana kukandamiza watu hovyo. Raia watachukua sheria mkononi na kuwapiga "MAKOMBORA YA KIENYEJI" na kuwachomoa akili.

CCM hawana jipya wala mbinu za kupambana na wapinzani, zaidi ya kuwakamata na kuwapa kesi za jinai. Hawana uhuru wa kujieleza wala demokrasia ndani ya chama chao. Kuna "VIDUDU-MTU" ndani ya chama vinaongea upuuzi mtupu kulinda matumbo yao. Mwisho wao umefika 2020.

CCM mgombea urais ni mmoja, wengine ni amri kufunga midomo na kutochukua form za kushindana na mwenye kiti. Upinzani ni kukamatwa, kuvunjwa mikono, kupewa kesi za jinai, kuteswa na kutukanwa.
Hana historia ya kushinda chochote maishani,bila kubebwa
 
Kazi kweli kweli hii serikali ya CCM Mpya inakamata wanasiasa wa upinzani walio ktk shughuli za kawaida kuelekea 2020.

Upande mwingine Dr. Bashiru Ally anafanya siasa na kuwakumbusha wanaCCM waliomaliza muda wao wa uongozi yaani wabunge na madiwani wa CCM Mpya wasibweteke waendelee kuchapa kazi na kweli wao wanasiasa wa CCM Mpya wamewekewa kinga ya 'uwigo' maalum wasikamatwe !
 
Polisi wa Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi wamemkamata Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ndugu Zitto Kabwe Pamoja na baadhi ya viongozi wengine wakati wakiwa wanaendesha kikao cha ndani cha kukaribisha Madiwani wapya.

View attachment 1486776

---


Kwa mujibu wa Chama cha ACT Wazalendo kupitia mtandao wa Twitter, Kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe na Mbunge wa Kilwa Kaskazini, Sulemani Bungara (Bwege) wamekamatwa

Chama hicho kimeeleza kuwa Polisi wamewasili kwenye mkutano wao wa ndani Wilayani Kilwa ambapo shughuli za kuwapokea Madiwani 8 wa CUF zilikuwa zinaendelea

Aidha, kimebainisha kuwa kitatoa taarifa zaidi baadaye kwani sasa Viongozi wa chama hicho mkoni humo pamoja na Wanachama wanaelekea Kituoni

FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Back
Top Bottom