hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Hao wahuni kina zito wakamatwe tu hatutaki siasa chafu
Siasa safi ni zipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wahuni kina zito wakamatwe tu hatutaki siasa chafu
Uhuni wa CCM dodoma wanaomba vibali?Waliomba kibali?
Uhuni wa CCM dodoma wanaomba vibali?
pole sana babu yako alikuwa slave mjukuu wake nae ni slaveTunajua walikuwa wanapanga vitu gani km hawajaomba kibali
Siasa safi ni zipi
Above the law.Mbona Tulia anaendelea na siasa zake huko mbeya hakamatwi!?
Mimi ni kada wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Kumbe nawe ni kada wa ACT?
Kufuata sheria za Nchi
Mbona umeondoa neno 'wetu' kwenye msg ya kwanza? Uliandika kiongozi wetu!Mimi ni kada wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mbona juzi pole pole hakuvamiwa na police pale udsm? Mbona Makonda hakuvamiwa na police Kigamboni?
Au wao ndio wana haki kuliko wengine
Waliomba kibali
Kwa mujibu wa Chama cha ACT Wazalendo kupitia mtandao wa Twitter, Kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe na Mbunge wa Kilwa Kaskazini, Sulemani Bungara (Bwege) wamekamatwa
Chama hicho kimeeleza kuwa Polisi wamewasili kwenye mkutano wao wa ndani Wilayani Kilwa ambapo shughuli za kuwapokea Madiwani 8 wa CUF zilikuwa zinaendelea
Aidha, kimebainisha kuwa kitatoa taarifa zaidi baadaye kwani sasa Viongozi wa chama hicho mkoni humo pamoja na Wanachama wanaelekea Kituoni
Semeni ukweli. Membe anawatesa mno. Bado hajaamua anagombea kupitia chama gani yewezekana ikawa ccm lkn ninyi mnaweweseka na kuhangaika na kina Zitto mkifikiri walikuwa wanafanya maandalizi ya kumpokea Membe.Hao wahuni kina zito wakamatwe tu hatutaki siasa chafu
Issue sio Ccm bali ni wapiga kura wa Ccm ambao ni jeshi la polisi.CCM naona tumeamua Watanzania tugawane mbao!
wapiga kura wa CCM = CCMIssue sio Ccm bali ni wapiga kura wa Ccm ambao ni jeshi la polisi.
Akamatwe kwa kuvunja sheria ipi?Huyo zitto kutwa kujipendekeza kwa mabalozi kuichafua Nchi yetu
Akamatwe akae huko ajifunze