mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,773
- 2,183
Kila siku nawaambia CCM bila msaada wa Polisi ni wepesi kama karatasi Hata jiwe lao ni jepesi kama pamba!CCM uoga wa nini kukaa na kukamata wapinzani. Kama mnaji amini kwamba mnakubalika si msubiri mpambano 2020.
#FairPlay2029