Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Kwa hiyo wewe ukileta hapa habari ya TLP automatic unakuwa kada wa TLP ?Kumbe nawe ni kada wa ACT?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wewe ukileta hapa habari ya TLP automatic unakuwa kada wa TLP ?Kumbe nawe ni kada wa ACT?
Safari hii tutawabana hamtaamini mtakachokiona , Kudadeki zenu wanafiki nyie!Huyo zitto kutwa kujipendekeza kwa mabalozi kuichafua Nchi yetu
Akamatwe akae huko ajifunze
Tuwe Wapole Vyombo Vifanye Kazi Wataachiwa Iwapo Hakuna Nongwa
Huko kwenye mkutano wa ndani walikuwa wanafanya siasa gani chafu ambazo pole pole na Bashiru huwa hawafanyi wakiwa wanapokea madiwani wa vyama vingine?Hao wahuni kina zito wakamatwe tu hatutaki siasa chafu
Aliandika kiongozi wetu, baada ya kuuliza kuwa mwanachama wa ACT, ame edit na kuondoa wetu. Hakiki kupitia msg # 3.Kwa hiyo wewe ukileta hapa habari ya TLP automatic unakuwa kada wa TLP ?
Huko kwenye mkutano wa ndani walikuwa wanafanya siasa gani chafu ambazo pole pole na Bashiru huwa hawafanyi wakiwa wanapokea madiwani wa vyama vingine?
Naona sahivi mmeamua kwenda na ID hii, Bia yetu mmeamua kuipumzisha.Huyo zitto kutwa kujipendekeza kwa mabalozi kuichafua Nchi yetu
Akamatwe akae huko ajifunze
7000/ tu ndo inakufanya ujitoe akili kiasi hicho? Watu wakifanya mkutano w kupokea wanachama unadhurika na Nini?Hao wahuni kina zito wakamatwe tu hatutaki siasa chafu
Waliomba kibali?
Teh! Aaaaaiiiiiseeeee🙄🤸Waliomba kibali?
Hao wanaamini kuwa wao tu ndiyo wenye haki ndani ya nchi hii, wengine wote ni wasaliti na wanatumika na mabeberu!Mbona Jiwe na CCM yake washaanza Kampeni na hawakamatwi?
7000/ tu ndo inakufanya ujitoe akili kiasi hicho? Watu wakifanya mkutano w kupokea wanachama unadhurika na Nini?
Hivi Bia yetu ameenda wapi?
Siasa za makabila na kozi la LAND MANAGEMENT AND TABOO ACCOMMODATIONKiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ndugu Zitto Kabwe Pamoja na baadhi ya viongozi wengine wamekatwa na Polisi wakati wakiwa wanaendesha kikao cha ndani cha kukaribisha Madiwani wapya.
Wewe huwa unaomba kibali chumbani mwako???--- ule ulikuwa mkutano wa ndani (ni sawa na chumbani mwako).