Lini CCM watatambua kuwa na upinzani imara nchini, Bungeni na katika serikali za mitaa, ndio chachu itakayoleta kasi ya maendeleo ya Tanzania?

Lini CCM watatambua kuwa na upinzani imara nchini, Bungeni na katika serikali za mitaa, ndio chachu itakayoleta kasi ya maendeleo ya Tanzania?

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Kuna kufikiri ambako nakuona hakupo sawa ndani ya CCM, kuanzia raisi Samia kama mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, Spika wa Bunge, mawaziri, wakuu wa mikoa nk, yaani uongozi wote wa nchi ulio chini ya chama tawala cha CCM.

Hivi ni lini watarudiwa na akili na kutambua kwamba kuwa na upinzani imara wa kisiasa nchini ndio chachu itakayoleta kasi ya maendeleo ya nchi? Sio jambo la kujivunia pale ambapo unaona wazi upinzani nchini unakufa na hata unachangia na kufurahia kuudumaza! Ni ujinga wa kiwango cha juu kabisa. Ni uhaini kwa nchi.

Inasikitisha sana kwamba viongozi wa CCM karibu wote, isipokuwa wachache kama mbunge Mpina, ndio wanajitambua. Hivi ina maana wengine wote hawana uwezo wa kufikiri na kutambua kwamba ili nchi iendelee kwa kasi tunahitaji watu wenye kutoa mawazo tofauti au mbadala na kuyaweka mezani ili tupime wazo lipi linafaa na tuchague hilo?

Tanzania tunawezaje kuwa na akili ya kukataza monopoly katika biashara na kuweka sheria za kuzuia hilo ili kuchochea ushindani wa kibiashara kwa faida ya wananchi, lakini tukaona ni sawa kuwa na monopoly katika siasa na jambo nzuri kwa taifa?

Kwa jinsi alivyoanza, nilikuwa na matumaini kwamba angalau Raisi Samia ana uwezo wa wa kutambua kuwa monopoly ya kiasiasa ya CCM haitatupeleka popote katika azma yetu ya kutaka kuendelea kwa haraka, lakini sasa hata yeye naona kama ni wale wale wasio na uwezo wa kuliona hili katika mapana yanayostahili.

Na mbaya zaidi, kuna taasisi ambazo zinapaswa kulea chama tawala na wapinzani nchini, kama Polisi na TISS, nazo zimekumbwa na kirusi hiki cha kuona CCM inapaswa kuwa na monopoly ya kisiasa nchini! Na kila mtu anajua CCM wanafanya kila mbinu kukiambukiza kirusi hiki ndani ya JWTZ, kama ilivyofanyika nchini Zimbabwe.

Ningependa sana nikutane na Raisi Samia uso kwa uso, nimuulize hili swali, kwamba hivi hata wewe Raisi Samia unaona kwamba CCM kuwa na monopoly ya kisiasa nchini ndio kutatuletea maamuzi ya busara na ufanisi katika kuiletea Tanzania maendeleo ya kiuchumi na kijamii? Nimuulize aseme kama kweli anaona hili ni sawa na sio tatizo. Na kama akijibu ndio, basi itabidi nimpe pole yeye na watu wake ndani ya CCM anayoiongoza, na kusema wazi hamstahili kuongoza nchi hii.
 
CCM kama CCM imeshakufa kitambo, sasa hivi kuna kundi la wahalifu wanaoshirikiana na dola wanatumia CCM kwa masilahi yao binafsi si ya Taifa.
 
CCM kama CCM imeshakufa kitambo, sasa hivi kuna kundi la wahalifu wanaoshirikiana na dola wanatumia CCM kwa masilahi yao binafsi si ya Taifa.
Kama tumeshatambua hili, tunangoja nini, Kenya au Botswana waje kutusaidia kuliondoa?
 
Kuna kufikiri ambako nakuona hakupo sawa ndani ya CCM, kuanzia raisi Samia kama mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, Spika wa Bunge, mawaziri, wakuu wa mikoa nk, yaani uongozi wote wa nchi ulio chini ya chama tawala cha CCM.

Hivi ni lini watarudiwa na akili na kutambua kwamba kuwa na upinzani imara wa kisiasa nchini ndio chachu itakayoleta kasi ya maendeleo ya nchi. Sio jambo la kujivunia pale ambapo unaona wazi upinzani nchini unakufa na hata unachangia na kufurahia kuudumaza? Ni ujinga wa kiwango cha juu kabisa. Ni uhaini kwa nchi.

Inasikitisha sana kwamba viongozi wa CCM karibu wote, isipokuwa wachache kama mbunge Mpina, ndio wanajitambua. Hivi ina maana wengine wote hawana uwezo wa kufikiri na kutambua kwamba ili nchi iendelee kwa kasi tunahitaji watu wenye kutoa mawazo tofauti au mbadala na kuyaweka mezani ili tupime wazo lipi linafaa na tuchague hilo?

Tanzania tunawezaje kuwa na akili ya kukataza monopoly katika biashara na kuweka sheria za kuzuia hilo ili kuchochea ushindani wa kibiashara kwa faida ya wananchi, lakini tukaona ni sawa kuwa na monopoly katika siasa na kuona ni jambo nzuri kwa wananchi?

Kwa jinsi alivyoanza, nilikuwa na matumaini kwamba angalau Raisi Samia ana uwezo wa wa kutambua kuwa monopoly ya kiasiasa ya CCM haitatupeka popote katika azma yetu ya kutaka kuendelea kwa haraka, lakini sasa hata yeye naona kama ni wale wale wasio na uwezo wa kuliona hili katika mapana yanayostahili.

Na mbaya zaidi, kuna taasisi ambazo zinapaswa kulea chama tawala na wapinzani nchini, kama Polisi na TISS, nazo zimekumbwa na kirusi hiki cha kuona CCM inapaswa kuwa na monopoly ya kisiasa nchini! Na kila mtu anajua CCM wanafanya kila mbinu kukiambukiza kirusi hiki ndani ya JWTZ, kama ilivyofanyika nchi ya Zimbabwe.

Ningependa sana nikutane na Raisi Samia uso kwa uso, nimuulize hili swali, kwamba hivi hata wewe Raisi Samia unaona kwamba CCM kuwa na monopoly ya kisiasa nchini ndio kutatuletea maamuzi ya busara na ufanisi katika kuiletea Tanzania maendeleo ya kiuchumi na kijamii? Na kama akijibu ndio, basi itabidi nimpe pole yeye na watu wake ndani ya CCM anaowaongoza.
Hawa watu wana akili mbovu mno sijapata kuona!
 
Kuna kufikiri ambako nakuona hakupo sawa ndani ya CCM, kuanzia raisi Samia kama mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, Spika wa Bunge, mawaziri, wakuu wa mikoa nk, yaani uongozi wote wa nchi ulio chini ya chama tawala cha CCM.

Hivi ni lini watarudiwa na akili na kutambua kwamba kuwa na upinzani imara wa kisiasa nchini ndio chachu itakayoleta kasi ya maendeleo ya nchi. Sio jambo la kujivunia pale ambapo unaona wazi upinzani nchini unakufa na hata unachangia na kufurahia kuudumaza? Ni ujinga wa kiwango cha juu kabisa. Ni uhaini kwa nchi.

Inasikitisha sana kwamba viongozi wa CCM karibu wote, isipokuwa wachache kama mbunge Mpina, ndio wanajitambua. Hivi ina maana wengine wote hawana uwezo wa kufikiri na kutambua kwamba ili nchi iendelee kwa kasi tunahitaji watu wenye kutoa mawazo tofauti au mbadala na kuyaweka mezani ili tupime wazo lipi linafaa na tuchague hilo?

Tanzania tunawezaje kuwa na akili ya kukataza monopoly katika biashara na kuweka sheria za kuzuia hilo ili kuchochea ushindani wa kibiashara kwa faida ya wananchi, lakini tukaona ni sawa kuwa na monopoly katika siasa na kuona ni jambo nzuri kwa wananchi?

Kwa jinsi alivyoanza, nilikuwa na matumaini kwamba angalau Raisi Samia ana uwezo wa wa kutambua kuwa monopoly ya kiasiasa ya CCM haitatupeka popote katika azma yetu ya kutaka kuendelea kwa haraka, lakini sasa hata yeye naona kama ni wale wale wasio na uwezo wa kuliona hili katika mapana yanayostahili.

Na mbaya zaidi, kuna taasisi ambazo zinapaswa kulea chama tawala na wapinzani nchini, kama Polisi na TISS, nazo zimekumbwa na kirusi hiki cha kuona CCM inapaswa kuwa na monopoly ya kisiasa nchini! Na kila mtu anajua CCM wanafanya kila mbinu kukiambukiza kirusi hiki ndani ya JWTZ, kama ilivyofanyika nchi ya Zimbabwe.

Ningependa sana nikutane na Raisi Samia uso kwa uso, nimuulize hili swali, kwamba hivi hata wewe Raisi Samia unaona kwamba CCM kuwa na monopoly ya kisiasa nchini ndio kutatuletea maamuzi ya busara na ufanisi katika kuiletea Tanzania maendeleo ya kiuchumi na kijamii? Na kama akijibu ndio, basi itabidi nimpe pole yeye na watu wake ndani ya CCM anaowaongoza.
Hawajui wanachojua ni kutengeneza mnyororo wao wa matonge
 
Wenye akili ccm hawazidi 10. Kwahiyo ni ngumu sana kutambua hili
 
Kuna kufikiri ambako nakuona hakupo sawa ndani ya CCM, kuanzia raisi Samia kama mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, Spika wa Bunge, mawaziri, wakuu wa mikoa nk, yaani uongozi wote wa nchi ulio chini ya chama tawala cha CCM.

Hivi ni lini watarudiwa na akili na kutambua kwamba kuwa na upinzani imara wa kisiasa nchini ndio chachu itakayoleta kasi ya maendeleo ya nchi. Sio jambo la kujivunia pale ambapo unaona wazi upinzani nchini unakufa na hata unachangia na kufurahia kuudumaza? Ni ujinga wa kiwango cha juu kabisa. Ni uhaini kwa nchi.

Inasikitisha sana kwamba viongozi wa CCM karibu wote, isipokuwa wachache kama mbunge Mpina, ndio wanajitambua. Hivi ina maana wengine wote hawana uwezo wa kufikiri na kutambua kwamba ili nchi iendelee kwa kasi tunahitaji watu wenye kutoa mawazo tofauti au mbadala na kuyaweka mezani ili tupime wazo lipi linafaa na tuchague hilo?

Tanzania tunawezaje kuwa na akili ya kukataza monopoly katika biashara na kuweka sheria za kuzuia hilo ili kuchochea ushindani wa kibiashara kwa faida ya wananchi, lakini tukaona ni sawa kuwa na monopoly katika siasa na kuona ni jambo nzuri kwa wananchi?

Kwa jinsi alivyoanza, nilikuwa na matumaini kwamba angalau Raisi Samia ana uwezo wa wa kutambua kuwa monopoly ya kiasiasa ya CCM haitatupeka popote katika azma yetu ya kutaka kuendelea kwa haraka, lakini sasa hata yeye naona kama ni wale wale wasio na uwezo wa kuliona hili katika mapana yanayostahili.

Na mbaya zaidi, kuna taasisi ambazo zinapaswa kulea chama tawala na wapinzani nchini, kama Polisi na TISS, nazo zimekumbwa na kirusi hiki cha kuona CCM inapaswa kuwa na monopoly ya kisiasa nchini! Na kila mtu anajua CCM wanafanya kila mbinu kukiambukiza kirusi hiki ndani ya JWTZ, kama ilivyofanyika nchi ya Zimbabwe.

Ningependa sana nikutane na Raisi Samia uso kwa uso, nimuulize hili swali, kwamba hivi hata wewe Raisi Samia unaona kwamba CCM kuwa na monopoly ya kisiasa nchini ndio kutatuletea maamuzi ya busara na ufanisi katika kuiletea Tanzania maendeleo ya kiuchumi na kijamii? Na kama akijibu ndio, basi itabidi nimpe pole yeye na watu wake ndani ya CCM anaowaongoza.

Nani kakwambia hicho ndo kipaumbele chap?
 
Wenye akili ccm hawazidi 10. Kwahiyo ni ngumu sana kutambua hili
I say, 10 mbona ni wengi sana, tena hawapo madarakani basi. Maana tunaanza na namba 1, Sinde Warioba. 2. Mark Mwandosya. 3. Mpina. 4. David Kafulira. 5. Prof. Musa Asad.

Taja wengine
 
Nani kakwambia hicho ndo kipaumbele chap?
Natambua hilo, ndio maana nimeuliza ni lini watatambua hilo? Na sisi tunawasubiri tu waje watambue? Unamuona mtu anajilisha uchafu unamwngalia na hata kumpa uchafu zaidi wa kula unasema nasubiri aje atambue kula uchafu ni vibaya? Maana jpo wanadanganya na kuiba kura, bado wana mashabiki wengi sana wanaowapa uchafu waendelee kula
 
Aliyekwambia kwamba hawa wanasiasa 2.0 wapo kwa ajili ya maendeleo ya Nchi ni nani ? Sio Upinzani wala CCM wala wanasiasa ulimwenguni kote wote wamekuwa Overpaid, Underperforming, Self Serving Prima Donnas...
 
Kuna kufikiri ambako nakuona hakupo sawa ndani ya CCM, kuanzia raisi Samia kama mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, Spika wa Bunge, mawaziri, wakuu wa mikoa nk, yaani uongozi wote wa nchi ulio chini ya chama tawala cha CCM.

Hivi ni lini watarudiwa na akili na kutambua kwamba kuwa na upinzani imara wa kisiasa nchini ndio chachu itakayoleta kasi ya maendeleo ya nchi. Sio jambo la kujivunia pale ambapo unaona wazi upinzani nchini unakufa na hata unachangia na kufurahia kuudumaza? Ni ujinga wa kiwango cha juu kabisa. Ni uhaini kwa nchi.

Inasikitisha sana kwamba viongozi wa CCM karibu wote, isipokuwa wachache kama mbunge Mpina, ndio wanajitambua. Hivi ina maana wengine wote hawana uwezo wa kufikiri na kutambua kwamba ili nchi iendelee kwa kasi tunahitaji watu wenye kutoa mawazo tofauti au mbadala na kuyaweka mezani ili tupime wazo lipi linafaa na tuchague hilo?

Tanzania tunawezaje kuwa na akili ya kukataza monopoly katika biashara na kuweka sheria za kuzuia hilo ili kuchochea ushindani wa kibiashara kwa faida ya wananchi, lakini tukaona ni sawa kuwa na monopoly katika siasa na kuona ni jambo nzuri kwa wananchi?

Kwa jinsi alivyoanza, nilikuwa na matumaini kwamba angalau Raisi Samia ana uwezo wa wa kutambua kuwa monopoly ya kiasiasa ya CCM haitatupeleka popote katika azma yetu ya kutaka kuendelea kwa haraka, lakini sasa hata yeye naona kama ni wale wale wasio na uwezo wa kuliona hili katika mapana yanayostahili.

Na mbaya zaidi, kuna taasisi ambazo zinapaswa kulea chama tawala na wapinzani nchini, kama Polisi na TISS, nazo zimekumbwa na kirusi hiki cha kuona CCM inapaswa kuwa na monopoly ya kisiasa nchini! Na kila mtu anajua CCM wanafanya kila mbinu kukiambukiza kirusi hiki ndani ya JWTZ, kama ilivyofanyika nchi ya Zimbabwe.

Ningependa sana nikutane na Raisi Samia uso kwa uso, nimuulize hili swali, kwamba hivi hata wewe Raisi Samia unaona kwamba CCM kuwa na monopoly ya kisiasa nchini ndio kutatuletea maamuzi ya busara na ufanisi katika kuiletea Tanzania maendeleo ya kiuchumi na kijamii? Na kama akijibu ndio, basi itabidi nimpe pole yeye na watu wake ndani ya CCM anayoiongoza.
CCM haiko kuleta maendeleo ya nchi Iko kuneemesha familia za wana CCM.
 
I say, 10 mbona ni wengi sana, tena hawapo madarakani basi. Maana tunaanza na namba 1, Sinde Warioba. 2. Mark Mwandosya. 3. Mpina. 4. David Kafulira. 5. Prof. Musa Asad.

Taja wengine
Wameisha!
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom