Lini ilikuwa mara yako ya mwisho kuhudhuria kwenye nyumba ya ibada?

Hapa tu panawafanya watu wawaone wa ajabu,and well nimekuona wa ajabu kweli kweli.

Unatoa wapi guts za kujimilikisha Mungu ikiwa yeye hutoa mema na mabaya kwa wote wanaomuabudu ktk kweli na wasiomuabudu?mnajitweza sana hadi mnakera.
Njoo nikuombee nikutoe pepo hilo maana sio bure. Hapo nimeandika kibaya kipi mkuu? Lakini pamoja na yote hata kama umekereka, nakushuhudia asubuhi ya leo nikiwa na akili timamu kuwa Mungu wa walokole ni Mungu wa kweli na Mungu mkuu juu ya miungu yote.

Ubishe usibishe, ufurahi usifurahi ila ni kweli na haitabadilika kwa kukasirika kwako ya kuwa Yesu Kristo Mungu wa Wakristo wote wamuabuduo katika ukweli na uzir wa Moyo ni Mungu wa kweli na Mungu mkuu.

Pole ila haibadilishi ukweli, yeye ni Moto ulao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…