Lini ilikuwa mara yako ya mwisho kuhudhuria kwenye nyumba ya ibada?

Lini ilikuwa mara yako ya mwisho kuhudhuria kwenye nyumba ya ibada?

Unaacha kwenda kanisani na chama cha siasa huna uanachama, ukifa utazikwaje? Utazikwa kibudu kama mbwa
Kwamba uende kanisani kwaajili ya kuzikwa?
Ukifa hauna unalolijua na unaweza kupotelea kwenye maji ukaliwa huko hoja ya kuzikwa haiwezi ikawa ni hoja ya mtu kwenda kanisani.
Kuzikwa ni suala la wazikaji walio hai sio aliekufa, Aliekufa kwangu mimi hawezi kuathirwa na maziko
 
Tazama, saa yaja ambayo waabuduo halisi watamwabudu Mungu katika roho na kweli. Lakini pia Mungu haishi kwenye majumba yaliyojengwa na wanadamu.
Watu wananipinga kwa sababu wanapenda madhehebu na wapo kwenye utumwa wa madhehebu yao
 
Kwamba uende kanisani kwaajili ya kuzikwa?
Ukifa hauna unalolijua na unaweza kupotelea kwenye maji ukaliwa huko hoja ya kuzikwa haiwezi ikawa ni hoja ya mtu kwenda kanisani.
Kuzikwa ni suala la wazikaji walio hai sio aliekufa, Aliekufa kwangu mimi hawezi kuathirwa na maziko
ufie majini au motoni na mwili wako usionekane kama ulikuwa ni muumini utafanyiwa ibada tu kuwa haupo duniani. Watu wanaenda kanisani kumuabudu mungu, the rest is just a common objects
 
Ninaheshimu imani yako, ila nyie mko kimwili zaidi.
Mungu ni zaidi ya kujimwagia maji.

Mwabudu Mungu katika ROHO na KWELI.
Imani yangu ipi ...hiyo niliyo andika hapo ndiyo imani ya mitume wote na manabii wote hata yesu alipoenda hekalu alifuata huo muongozo ...sasa sijui hiyo unayo ita kiroho ni kutokumtii mungu au la maana mtu wa rohoni umtii mungu katika kila neno lake..na hizo taratibu ziliamriwa na mungu mwenyewe juu ja patakatifu pake ...kumbuka musa alivyo ambiwa vua viatu kwa sababu hapa ulipo simama ni sehemu takatifu je musa angekataa kuvua viatu na kumwambia mungu mimi.nipo kiroho zaidi ...je KUWA KIROHO NI KUTOKUMTII MUNGU AU KUMTII MUNGU
 
Kuna aya katika qur'an zinasema "ebu mwanadamu na ajitazame ameumbwa na nini"

Kisha ikaelezwa "ameumbwa kwa maji yenye kuchupa yatokayo kati ya mifupa ya mgongo na mbavu"

Mwanadamu huyu leo ambaye aliumbwa dhariri kabisa kwa maji yatokayo kasi na akapitia process zote za ukuaji,leo kawa kiumbe kamili anaweza log in jf anakiri kwa mdomo wake kuwa hakuna mungu

Na haya ndio baadhi ya mambo ambayo ameyasema mungu ,kwamba mwanadamu akijiona ni mzima wa afya na anapata riziki yake vizur basi hujikweza na kumsahau yule aliyemuumba,ndio hawa ambao tunawaona jf leo,wao hawatambui uwepo wa mungu kabisa

Lakini wajue kuna mwamba alijiita mungu firauni aliyetoa adhabu kali kwa wana israel,lkn ilipofikia wakati wa kufa kwake ndio alijia kumbe kuna mungu na kutaka kuomba toba lkn alishachelewa

Kwahiyo tuendelee kukaza hivyo hivyo tu kwamba hakuna mungu,mtakuja kujuta baadae wakati utakapo fika,dunia ilikuwa na watu viburi mno lakini leo hawapo

Take care boys!
 
Imani yangu ipi ...hiyo niliyo andika hapo ndiyo imani ya mitume wote na manabii wote hata yesu alipoenda hekalu alifuata huo muongozo ...sasa sijui hiyo unayo ita kiroho ni kutokumtii mungu au la maana mtu wa rohoni umtii mungu katika kila neno lake..na hizo taratibu ziliamriwa na mungu mwenyewe juu ja patakatifu pake ...kumbuka musa alivyo ambiwa vua viatu kwa sababu hapa ulipo simama ni sehemu takatifu je musa angekataa kuvua viatu na kumwambia mungu mimi.nipo kiroho zaidi ...je KUWA KIROHO NI KUTOKUMTII MUNGU AU KUMTII MUNGU
Sawa.
Kila mtu ashinde mechi zake..!
 
Nilikwenda kwenye ibada Jumapili,nikaugua homa jioni,nikaenda hospitali,nikadaiwa sh. 100,000, kutibiwa homa: kutibiwa homa tu nimelipa sh. lakini moja. Sijarudi tena Kanisani.
That was about seven weeks ago.
 
Mkuu upo?
Nipo tajiri, habari za siku?

Karibu Morogoro mkuu. Karibu uabudu nasi hapa kwa mzee wetu Dr. Mtokambali, hutajuta na utakutana na Mungu wa kweli na Mungu mkuu Yesu Kristo. Atakujibu na kukutoa mashaka uliyonayo kuhusu yeye.

Wewe ni wa thamani kwake na anakupenda. Karibu kwa Yesu bro.
 
Mimi ni mtu wa Mungu sio wa dini hizi!

Dini zimekuja Africa (uislam na ukristo)tangu 1800,kwahiyo 2024-1800=224 inamaana Dini zimekuwepo hapa kwetu miaka 224 TU,Sasa kuanzia mwaka 0hadi 1800 mababu zetu waliishi bila Mungu!!?

Tuwe watu wa Mungu na sio watu was dini hizi!
 
Back
Top Bottom