Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hiyo ni kwa anaeamini imani unayoamini na sio kwa kila mtu.ghost/spirit/soul, mwili ndio unaokufa ila roho yako haifi utapumzika kuzimu kwanza ukisubiri hukumu uende mbinguni au jehanamu kutokana na matendo yako uliyotenda ukiwa hai kimwili. Kwanza omba toba usamehewe dhambi zako kabla hujafa