EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
-
- #21
Ngoja na.mimi NIMKAUSHIE TU MSHUA.Yeah sijawahi kuzoeshwa hivo, kwahiyo siwezi tu kuibuka uzeeni nianze kumwambia nakupenda, ntazua taharuki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana kama ndio maisha yenu ni sawa, ila kama haujawahi dah kuna ugumu kidogo hata yeye mwenyewe lazima awaze, umesema yupo hospital anaweza waza "kijana anaona nna hali mbaya nini"Ngoja na.mimi NIMKAUSHIE TU MSHUE.
ASIJE AKANIPA BANZI[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Namwambia ila ni MJEDA MSTAAFU.Hapana kama ndio maisha yenu ni sawa, ila kama haujawahi dah kuna ugumu kidogo hata yeye mwenyewe lazima awaze, umesema yupo hospital anaweza waza "kijana anaona nna hali mbaya nini"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dingi mjaluo au mmasai?Dingi nikimwambia nampenda asiponipa Kerbu moja ya Taya sijui lakini
Mkuu acha tu [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dingi mjaluo au mmasai?
Mpe pole sana, na pole kwa kuuguza....Namwambia ila ni MJEDA MSTAAFU.
hawa watu hawanaga hata BIMA
Hapa anatumia bima yangu na tumemuweka Private so wr have to top up
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu acha tu [emoji3][emoji3]
Dah kama maza sijamwambia huyu nawezaje?[emoji28][emoji28][emoji28]Mpe pole sana, na pole kwa kuuguza....
Ulishawahi kumwambia unampenda au ndio unakata utepe???
Inabidi utamke Hilo neno nakupenda ukiwa mlangoni kwa lolote ili uchomoke Kama Kipchoge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu hawezi hata kusimama namwambia tu kwani nini??Inabidi utamke Hilo neno nakupenda ukiwa mlangoni kwa lolote ili uchomoke Kama Kipchoge
Basi usimuigizie mzee ππ we muoneshe tu upendo kwa vitendo.Dah kama maza sijamwambia huyu nawezaje?[emoji28][emoji28][emoji28]
Asante sister [emoji1317][emoji1317][emoji1317] acha nimuoneshe some loveBasi usimuigizie mzee [emoji23][emoji23] we muoneshe tu upendo kwa vitendo.
Tena hao ndio wabaya utarushiwa kitu kizito hutakaa uamini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu hawezi hata kusimama namwambia tu kwani nini??
Hahahhaa wala sio mkurya aisee ni mshkaji sana sikuhizi mzee wa karibu miaka 90 ila atanizingua tu. I hope anajua nampenda ila kumtamkia duh kwanza Sijui ntaanzia wapiππππTafuta namna mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani mkurya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316]Hahahhaa wala sio mkurya aisee ni mshkaji sana sikuhizi mzee wa karibu miaka 90 ila atanizingua tu. I hope anajua nampenda ila kumtamkia duh kwanza Sijui ntaanzia wapi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]