Lini Tanzania itaanza kutumia hii teknolojia ya kuzuia ajali?

Lini Tanzania itaanza kutumia hii teknolojia ya kuzuia ajali?

Sie tuna nguzo za umeme
20230601_221332.jpg
 
Pale mlima kolo kondoa walijaribu kuweka kitu kama hicho ila hawajaeka mchanga kwa ajili ya kukamata gari, nadhan bajeti ilikuwa finyu ila idea hiyo ipo.
 
Labda niseme kitu omba mungu ajali isitokee maana hata pangewekwa magodoro ajali ni ajali tuu. We hao wasikudanganye mbona akina paul walker walikufa kwenye ajali pia
Lakini angalau ajali zingine zinezuilika
 
Angalia hii Runaway Truck Ramp ilivyo msaidia dereva
 
Wenzetu, huwa wanajaza mchanga maalimu sehemu zenyw mtelemko mkali au kona kali ili gari ikishindwa kukata kona au ikifeli breli iweze kuegeshwa hapo.

Mara nyingi Tanzania sehemu zenye kona wanawka mawe au vyuma(Guardrail).

Kwanini tusiweke Mchanga maalumu wa kuzuia ajali, uharibifu na vifo?

Tujenge barabara salama.
View attachment 2945249
Runaway Truck Ramp ilivyo msave dereva. Asingepona..
View attachment 2946125
Bado sana, viongozi wa CCM hawajatosheka kuiba
 
Back
Top Bottom