Lini Wakenya watazinduka na kuitazama Tanzania kama kioo badala ya kuendelea kuiona kama adui?

So be it, so please tell your fellow tz we dont have anything to learn from you and we dont expect you to learn from us or like us. we are not complaining whether we are americans puppet, Europeans puppet or Chinese puppet.
 
...no political freedom and democracy in Tanzania!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‰ Media zimebanwa, serikali thrives on propaganda left right and centre creating a false illusion akilini mwa raiyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ balaa! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unapinga kwamba Tanzania
1)Hatuna ukabila ?
2)Tumedhibiti rushwa?
3)Tumedhibiti ujambazi?
4)Tumedhibiti migogoro ya wafugaji?
5)Tumedhibiti wachache kumiliki ardhi kubwa?
6)Tumedhibiti Corona
7)Tumedhibiti deni la taifa
Kwako yote haya sio kweli ni propaganda?
 
Civil-19 ni nini?
 
Corona mumedhibiti tu kwenye ndoto zenu.
 
so be it, so please tell your fellow tz we dont have anything to learn from you and we dont expect you to learn from us or like us. we are not complaining whether we are americans puppet,Europeans puppet or Chinese puppet

Haya maswali ni kichaa pekee ndio anaweza kuyauliza, hivi unataka kulinganisha uchaguzi wowote ule wa Kenya ambapo hakuna wakenya 50 waliopoteza maisha?. Uchaguzi ambao Kenya inajisifu ulimalizika kwa amani ni huu wa 2017 ambapo wakenya 67 waliuliwa na polisi, toa idadi ya uchaguzi upi Tanzania ambapo watu wameuliwa, toa ushahidi wacha kusema mambo kwa kufikiria kichwani mwako.

Kuhusu miradi ya maendeleo na huduma kwa wananchi, huko ndiko ambako hata wakenya wanakushangaa, taja mradi wowote wa umeme unaojengwa na serikali ambao unatumia japo $500M
 
Nini Kenya wanaweza kujifunza kutoka Tanzania ?, mbona unaongea kama umekatwa kichwa ?, au ndio nyie huwa mnaacha akili zenu kwa polepole na bashiru wawatunzie
 
Ukisema kila mtu akae kwao nyie ndio mtaumia
 
Nini Kenya wanaweza kujifunza kutoka Tanzania ?, mbona unaongea kama umekatwa kichwa ?, au ndio nyie huwa mnaacha akili zenu kwa polepole na bashiru wawatunzie
Haya hapa ya kujifunza
1)Kupambana na ukabila
2)Kupambana na rushwa
3)Kupambana na ujambazi
4)Kuzalisha Chakula cha kutosha
5) Kuzuia mapigano miongoni mwa jamii za wafugaji
6)Kupambana na Corona
7)Kuzuia vurugu wakati wa uchaguzi zinazosababisha vifo vya wakenya wengi
8)Kujenga umoja na utulivu wa kitaifa
 
umeshawahi kufika hata Namanga?naona unaongelea mambo ya 1980's
 
Kwhyo unamaanisha tanzania tangia mjihakikishie hakuna corona watu hawafi mitaani...au siku hizi hamfi tena jamani
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115] Watu tanzania hawafi bana, wanasubiria corona itokomee ndio muanze kufa
 
Ila unajua mtoa UZI , ata baba wa taifa JK Nyerere alisema kqbla huja enda nje ya baraa la afrika angalia kwanza jiran yako anaweza kukusaidia ..sasa binafsi naona kwa Kenya ni ngumu sababu mfumo wa utamadun nq uchumi ni tafauti,
Japo kuna machache aambayo wame tohoa mfano jambo la balozi wa nyumba kumi...nafikir liwesaidia kitu ilo kwa hapo kenyaa hususan ktk vita dhid yaa magaidi ....
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…