Lini Wakenya watazinduka na kuitazama Tanzania kama kioo badala ya kuendelea kuiona kama adui?

Ninyi huko hamjui Kiswahili vizuri, Kiingereza nacho ni 40% ndio wenye kukijua vizuri. Nchi gani ambayo kila kabila inarusha matangazo ya redio kwa kutumia lugha ya kabila Lake kama sio primitive country like Kenya?
kenya hawajielewi kabisa
 
SISI TUNA MENGI YA KUJIFUNZA KWAO NAO PIA WANA MENGI YA KUJIFUNZA KUTOKA KWETU
 
Wewe unauliza kitu ambacho wewe mwenyewe huna uwezo wa kutoa ushahidi, unaulizs "Tanzania haina ukabila according to who?", wakati wewe unasema kwamba Tanzania kuna ukabila, wewe unayesema Tanzania kuna ukabila, je ni according to who?. Kuna shirika gani la kimataifa lenye mamlaka ya kutoa hizo takwimu ambalo unaliamini ili nikupe ushahidi toka katika hilo hilo shirika ili uweze kuamini?
 
SISI TUNA MENGI YA KUJIFUNZA KWAO NAO PIA WANA MENGI YA KUJIFUNZA KUTOKA KWETU
Mimi nimeainisha maeneo ambayo Kenya inapaswa kujifunza toka Tanzania, tafadhali taja maeneo ambayo Tanzania inapaswa kujifunza toka Kenya ili tuyajue na kuyajadili
 
Vituo vya redio vya makabila tofauti yanatusaidia sana kwa kueneza elimu na ujumbe kisawa sawa ili hata yule ajuza mashinani ataelewa ya kuwa kuna corona na madhara yake ni yapi nkdlka..Lakinini nyninyi tz kizungu shida kisomo shida hata redio zenyewe shida, kipato chenyu kama nchi kiko chini zaidi.
TZ kuna njaa lakini hamwezi tangaza kwa sababu watangazaji watatandikwa , utovu wa usala ni wa juu tz lakini hamwambiwi kwa maana atakaye sema atatandikwa. Ninini mpinzani anafanaya katika balozi wa ujerumani?????????
Hicho kizungu unachokidharau kimefanya maelfu ya wanafunzi kutoka tz kumiminika kenya kwa masmo ya juu kwa sababu tz hamna wa kuwafunza yaani kila mtu kazubaaa
 
SISI TUNA MENGI YA KUJIFUNZA KWAO NAO PIA WANA MENGI YA KUJIFUNZA KUTOKA KWETU
Mimi nimeainisha maeneo ambayo Kenya ina
Hawa hapa BBC wanathibitisha kwamba Tanzania hakuna tribalism Wewe weka japo ushahidi wa chombo kikubwa kama hiki kuthibitisha kwamba Tanzania kuna ukabila
 
Kama redio za makabila ni muhimu kupambana na Corona mbona imewashinda kuifhibiti inaendelea kuwamaliza?, mbona ukabila, rushwa na njaa vinaongezeka?.
Mbona mbategemea chakula toka Tanzania na chakula cha msaada toka nchi za nje?.

Lazima mjifunze toka tanzania kupambana na ukabila vinginevyo mtasambaratika kama inavyosambaratika Ethiopia, wacheni kuabudu wazungu kwa kujifunza lugha zao badala yake huo muda wa kujifunza Kiingereza utumieni kwa kuzalisha chakula na kupambana na ukabila, mnatia aibu hapa East Africa kwa kufa Kwa njaa kila mwaka
 
Taja bidhaa za Kanya zinazouzwa Tanzania, sisi tunawauzia bidhaa nyingi kuliko mnazotuuzia, mtu mjinga kama wewe ambaye hujatoka nje ya Kenya bado ndio una mawazo ya kijinga. Tanzania huwezi kuta bidhaa yoyote ya Kenya zaidi ya Colgate na maziwa.

Kuhusu wazungu, sisi tuliwafukuza mara tu baada ya kupata uhuru wetu, tukawanyang'anya ardhi tukawagawia wananchi, walikimbilia Kenya kwasababu walijua viongozi wa Kenya ni wapumbavu.

Leo hii ardhi yote ya Kenya ipo mikononi mwa viongozi wenu na wazungu, bado kuna watu wajinga wanafurahia nchi yao kuwa na wazungu wengi wakati waafrika wanaishi katika slums, hivi ninyi wakenya ujinga utawatoka lini?
 
Elewa mzee....BBC imehoji wapumbavu kadhaa randomly barabarani..kila kima anasema hakuna ukabila as if wamefanya professional research wakaja na conclusions

Kumbe ni wapumbavu kama mimi na wewe waliokua wanapita barabarani kwenda kununua vocha
Wewe weka ushahidi wowote ule kuthibirisha kwamba kuna tribalism. Ujinga ni pale kuona kile kinachofanywa na watu wengine ni kitu cha kipumbavu wakati huna kitu ambacho ni bora zaidi ya hicho unachokiita ni upumbavu. ukishindwa kuweka ushahidi wako, basi utadhihirisha jinsi ulivyo na akili za Kenge
 
Je huyu kiongozi mzima anaye bagua kabila fulani??Ni wivu ama nini
Your browser is not able to display this video.
 
pindi utakapozinduka usingizini, utatamani ufe kuliko kuuona upuuzi ulioandika!!
 
kenya shamba la bibi na wapumbavu wanaotukuza wageni na kupuuza watu wao!!
 
Siku zingine upunguze kuzungumza mambo kiushabiki, nadhani umeshajijua kwamba umekwama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…