Lini Wakenya watazinduka na kuitazama Tanzania kama kioo badala ya kuendelea kuiona kama adui?

Lini Wakenya watazinduka na kuitazama Tanzania kama kioo badala ya kuendelea kuiona kama adui?

Ninyi huko hamjui Kiswahili vizuri, Kiingereza nacho ni 40% ndio wenye kukijua vizuri. Nchi gani ambayo kila kabila inarusha matangazo ya redio kwa kutumia lugha ya kabila Lake kama sio primitive country like Kenya?
kenya hawajielewi kabisa
 
Kenya ni nchi yenye matatizo mengi ya kijamii, kisiasa na kiuchumi kwa sasa, ukabila, rushwa, ukosefu wa usalama, upungufu wa chakula, migogoro kati ya jamii za wafugaji, miradi ya serikali isitozingatia mahitaji ya wananchi, Covid -19, dhuluma ya umiliki wa athi, vurugu za kisiasa wakati na baada ya uchaguzi ni baadhi tu ya matatizo ya msingi yanayoikabila nchi ya Kenya.

Ukiangalia kwa makini ni kwamba, kwa kiwango kikubwa, Tanzania imefanikiwa sana katika kupunguza kama sio kumaliza kabisa haya matatizo. Kwa akili ya kawaida kabisa, ilipaswa Kenya kujifunza yale mazuri ambayo Tanzania imefanikiwa na ni rahisi kuyamaliza kwa mda mfupi kama kupambana na rushwa, kupambana na ujambazi, kuzalisha chakula, kupambana na Civil -19 na kuzuia ghasia katika vipindi vya uchaguzi, haya ni mambo yanayoweza kudhibitiwa ndani ya muda mfupi bila hata kusubiri BBI na katiba mpya.

Viongozi wa Kenya lazima wakubali kwamba kuna mambo mengi mazuri wanapaswa kuiga toka Tanzania, hakuna faida yoyote ya kujisikia aibu kwa kuiga mazuri yanayofanywa na jirani yako, hata kama ni adui yako, kwa kufanya hivyo Kenya itaendelea kubaki na matatizo bila kujinasua.

"If you can't beat them, join them"
SISI TUNA MENGI YA KUJIFUNZA KWAO NAO PIA WANA MENGI YA KUJIFUNZA KUTOKA KWETU
 
Tanzania kuna makabila na ukabila upo..thats a FACT!

Unanipa Ukenya,mimi Mchagga,kama Mchagga yupo Kenya basi sawa!

Na hii tabia ya mtu kupinga hoja za mataga basi mtu anapewa uraia wa nchi ingine...nyie sijui haya madaraka ya kugawa uraia mnatoa wapi aisee!?

Tanzania hamna ukabila according to who?WEWE?

Hii ni subjective na self assessment yako binafsi,hakuna real social research with stats and all that to prove this ukabila nonsense!

Mkiwa mnapingwa kwenye hoja zenu,jibuni hoja acheni kugawa uraia kwa watu online nyie viazi!
Wewe unauliza kitu ambacho wewe mwenyewe huna uwezo wa kutoa ushahidi, unaulizs "Tanzania haina ukabila according to who?", wakati wewe unasema kwamba Tanzania kuna ukabila, wewe unayesema Tanzania kuna ukabila, je ni according to who?. Kuna shirika gani la kimataifa lenye mamlaka ya kutoa hizo takwimu ambalo unaliamini ili nikupe ushahidi toka katika hilo hilo shirika ili uweze kuamini?
 
SISI TUNA MENGI YA KUJIFUNZA KWAO NAO PIA WANA MENGI YA KUJIFUNZA KUTOKA KWETU
Mimi nimeainisha maeneo ambayo Kenya inapaswa kujifunza toka Tanzania, tafadhali taja maeneo ambayo Tanzania inapaswa kujifunza toka Kenya ili tuyajue na kuyajadili
 
Kwahiyo kujua kuzungumza kiingereza kwako ndio unadhani ni muhimu kuliko kuzalisha chakula?, wakati Kenya mnapoteza muda wenu kujifunza lugha ya mabwana zenu, sisi tunatumia muda huo kuzalisha chakula, kupambana na rushwa, kuimarisha usalama nchini mwetu, kupambana na ukabila, na kujenga umoja wa kitaifa.

Ninyi huko hamjui Kiswahili vizuri, Kiingereza nacho ni 40% ndio wenye kukijua vizuri. Nchi gani ambayo kila kabila inarusha matangazo ya redio kwa kutumia lugha ya kabila Lake kama sio primitive country like Kenya?
Vituo vya redio vya makabila tofauti yanatusaidia sana kwa kueneza elimu na ujumbe kisawa sawa ili hata yule ajuza mashinani ataelewa ya kuwa kuna corona na madhara yake ni yapi nkdlka..Lakinini nyninyi tz kizungu shida kisomo shida hata redio zenyewe shida, kipato chenyu kama nchi kiko chini zaidi.
TZ kuna njaa lakini hamwezi tangaza kwa sababu watangazaji watatandikwa , utovu wa usala ni wa juu tz lakini hamwambiwi kwa maana atakaye sema atatandikwa. Ninini mpinzani anafanaya katika balozi wa ujerumani?????????
Hicho kizungu unachokidharau kimefanya maelfu ya wanafunzi kutoka tz kumiminika kenya kwa masmo ya juu kwa sababu tz hamna wa kuwafunza yaani kila mtu kazubaaa
 
SISI TUNA MENGI YA KUJIFUNZA KWAO NAO PIA WANA MENGI YA KUJIFUNZA KUTOKA KWETU
Mimi nimeainisha maeneo ambayo Kenya ina
Wewe ndio wa kwanza kutoa sentensi ya kimamlaka eti hakuna ukabila...

Ukisema ukabila hakuna na mimi naweza kusema ukabila upo,huna ushahidi na mimi sina ushahidi,wote tupo sawa au wote tupo wrong,equally!

Shirika nani kakwambia mashirika tu ndio yana uwezo wa kufanya research?Research anafanya yeyote mwenye uelewa na kufuata academic procedures za research standard zilizopo kitaaluma!

Mtoto wa MAsters au undergrad degree anaweza fanya research hiyo vizuri kabisa na akapata degree yake na akatoa chapisho lake wananchi wote tukaona!

Sio lazima shirika lolote lile!

Wewe ushahidi wako umeutoa kwenye chapisho gani la aliefanya proper reasearch kusema Tanzania hakuna ukabila?
Hawa hapa BBC wanathibitisha kwamba Tanzania hakuna tribalism
Wewe weka japo ushahidi wa chombo kikubwa kama hiki kuthibitisha kwamba Tanzania kuna ukabila
 
Vituo vya redio vya makabila tofauti yanatusaidia sana kwa kueneza elimu na ujumbe kisawa sawa ili hata yule ajuza mashinani ataelewa ya kuwa kuna corona na madhara yake ni yapi nkdlka..Lakinini nyninyi tz kizungu shida kisomo shida hata redio zenyewe shida, kipato chenyu kama nchi kiko chini zaidi.
TZ kuna njaa lakini hamwezi tangaza kwa sababu watangazaji watatandikwa , utovu wa usala ni wa juu tz lakini hamwambiwi kwa maana atakaye sema atatandikwa. Ninini mpinzani anafanaya katika balozi wa ujerumani?????????
Hicho kizungu unachokidharau kimefanya maelfu ya wanafunzi kutoka tz kumiminika kenya kwa masmo ya juu kwa sababu tz hamna wa kuwafunza yaani kila mtu kazubaaa
Kama redio za makabila ni muhimu kupambana na Corona mbona imewashinda kuifhibiti inaendelea kuwamaliza?, mbona ukabila, rushwa na njaa vinaongezeka?.
Mbona mbategemea chakula toka Tanzania na chakula cha msaada toka nchi za nje?.

Lazima mjifunze toka tanzania kupambana na ukabila vinginevyo mtasambaratika kama inavyosambaratika Ethiopia, wacheni kuabudu wazungu kwa kujifunza lugha zao badala yake huo muda wa kujifunza Kiingereza utumieni kwa kuzalisha chakula na kupambana na ukabila, mnatia aibu hapa East Africa kwa kufa Kwa njaa kila mwaka
 
sasa nani mpumbavu wakati kila kitu mnachotumia ni made in kenya , hamuoni tumewafanya wake zetu??? Hao wazungu kabla ya kuekeza nchi yoyote huwa waangalia akili na kisomo cha chini fulani, mbona wasingewekeza tz ikiwa mko bora??? mna nchi kubwa, pwani kubwa, madini mengi, rotuba zaidi ya kenya lakini upumbavu umekithiri mno akilini mwenu, aisee endeni shule mkasome.
Jambo la pili tz ni wapumbavu zaidi, itakuwaje uwe na dhana kwamba msomali, mzungu,sudanese china hawezi kuwa mtanzania? kwani hujui kuna wazungu wakenya mchina mkenya mhindi mkenya etc ...sio lazima mtanzania awe mweusi... aisee kutosoma kuna madhara kibao, ndio maana hawa wawekezaji wanatuona keny avery smart.....Head quatres zote wameziweka kenya..sio UN, cocacola, zitaje zote....wakati nyinyi na nchi yenu kubwa mmeduwaa tu hapo sababu ya akili ndogo.
Taja bidhaa za Kanya zinazouzwa Tanzania, sisi tunawauzia bidhaa nyingi kuliko mnazotuuzia, mtu mjinga kama wewe ambaye hujatoka nje ya Kenya bado ndio una mawazo ya kijinga. Tanzania huwezi kuta bidhaa yoyote ya Kenya zaidi ya Colgate na maziwa.

Kuhusu wazungu, sisi tuliwafukuza mara tu baada ya kupata uhuru wetu, tukawanyang'anya ardhi tukawagawia wananchi, walikimbilia Kenya kwasababu walijua viongozi wa Kenya ni wapumbavu.

Leo hii ardhi yote ya Kenya ipo mikononi mwa viongozi wenu na wazungu, bado kuna watu wajinga wanafurahia nchi yao kuwa na wazungu wengi wakati waafrika wanaishi katika slums, hivi ninyi wakenya ujinga utawatoka lini?
 
Elewa mzee....BBC imehoji wapumbavu kadhaa randomly barabarani..kila kima anasema hakuna ukabila as if wamefanya professional research wakaja na conclusions

Kumbe ni wapumbavu kama mimi na wewe waliokua wanapita barabarani kwenda kununua vocha
Wewe weka ushahidi wowote ule kuthibirisha kwamba kuna tribalism. Ujinga ni pale kuona kile kinachofanywa na watu wengine ni kitu cha kipumbavu wakati huna kitu ambacho ni bora zaidi ya hicho unachokiita ni upumbavu. ukishindwa kuweka ushahidi wako, basi utadhihirisha jinsi ulivyo na akili za Kenge
 
Wewe weka ushahidi wowote ule kuthibirisha kwamba kuna tribalism. Ujinga ni pale kuona kile kinachofanywa na watu wengine ni kitu cha kipumbavu wakati huna kitu ambacho ni bora zaidi ya hicho unachokiita ni upumbavu. ukishindwa kuweka ushahidi wako, basi utadhihirisha jinsi ulivyo na akili za Kenge
Je huyu kiongozi mzima anaye bagua kabila fulani??Ni wivu ama nini
 
sasa nani mpumbavu wakati kila kitu mnachotumia ni made in kenya , hamuoni tumewafanya wake zetu??? Hao wazungu kabla ya kuekeza nchi yoyote huwa waangalia akili na kisomo cha chini fulani, mbona wasingewekeza tz ikiwa mko bora??? mna nchi kubwa, pwani kubwa, madini mengi, rotuba zaidi ya kenya lakini upumbavu umekithiri mno akilini mwenu, aisee endeni shule mkasome.
Jambo la pili tz ni wapumbavu zaidi, itakuwaje uwe na dhana kwamba msomali, mzungu,sudanese china hawezi kuwa mtanzania? kwani hujui kuna wazungu wakenya mchina mkenya mhindi mkenya etc ...sio lazima mtanzania awe mweusi... aisee kutosoma kuna madhara kibao, ndio maana hawa wawekezaji wanatuona keny avery smart.....Head quatres zote wameziweka kenya..sio UN, cocacola, zitaje zote....wakati nyinyi na nchi yenu kubwa mmeduwaa tu hapo sababu ya akili ndogo.
pindi utakapozinduka usingizini, utatamani ufe kuliko kuuona upuuzi ulioandika!!
 
Taja bidhaa za Kanya zinazouzwa Tanzania, sisi tunawauzia bidhaa nyingi kuliko mnazotuuzia, mtu mjinga kama wewe ambaye hujatoka nje ya Kenya bado ndio una mawazo ya kijinga. Tanzania huwezi kuta bidhaa yoyote ya Kenya zaidi ya Colgate na maziwa.

Kuhusu wazungu, sisi tuliwafukuza mara tu baada ya kupata uhuru wetu, tukawanyang'anya ardhi tukawagawia wananchi, walikimbilia Kenya kwasababu walijua viongozi wa Kenya ni wapumbavu.

Leo hii ardhi yote ya Kenya ipo mikononi mwa viongozi wenu na wazungu, bado kuna watu wajinga wanafurahia nchi yao kuwa na wazungu wengi wakati waafrika wanaishi katika slums, hivi ninyi wakenya ujinga utawatoka lini?
kenya shamba la bibi na wapumbavu wanaotukuza wageni na kupuuza watu wao!!
 
Ni Mtanzania mwana CCM tu pekee yake duniani atakapoambiwa atoe ushahidi wa sentensi yake aliyotoa mwanzoni kwa kumwambia alieuliza toe yeye ushahidi badala ya yeye!

This is a classical thing you have done here!

Ushahidi wangu labda nitoe wangu mwenyewe,mimi ni Mtanzania,ila ni mkabila...haya sasa wewe unaesema Tanzania nzima haina ukabila wakati mimi mmoja ninao,hesabu yangu hukua nayo?

Akili ya kenge ni akili,sijui uliipima ni IQ ngapi compared na akili ipi uliyoipima?Au is the matter of your personal opinion kutoka kwenye bichwa lako kama box?
Siku zingine upunguze kuzungumza mambo kiushabiki, nadhani umeshajijua kwamba umekwama
 
Back
Top Bottom