unamusema Trump nn kiaina?
Robert Heriel Mtibeli 🎤Vp ukiulizwa kuhusu rushwa na uzandiki kwenye uchaguzi wa juzi pale ufipani a.k.a unyumbuni?!!
OKTrump ni Genius sio rahisi watu wengi wa kawaida kumpata
Umeandika ujinga tupuUkiniuliza kama Tanzania ina kiongozi, nitajibu kuwa ina rais lakini si kiongozi. Ukiuliza kama Tanzania ina sera, nitakujibu kuwa ipo sera ya uchawa. Ukiuliza, kiuchumi Tanzania inaongozwa na nini, nitakujibu kuwa sera yake ni ya shamba la bibi ambapo wezi huja na kugema watakavyo. Ukiuliza kama Tanzania ni salama, nitakushauri ufanye utafiti na kuassess utakeji na kuporomoka kwa majengo. Ukiuiza kama Tanzania ina future, nitakujibu kuwa hata past haina. Kama mwanafalsafa, nawaza tu.
Ukiuliza kama serikali inakusanya kodi na kuzitumia vizuri, nitakujibu kuwa inawakamua maskini na kuwapa matajiri wakwepa kodi na wapiga dili wanaoshirikiana na wanasiasa mafisi. Ukiniuliza kama Tanzania ni kisiwa cha amani, nitakujibu kuwa ni kisiwa cha vurugu kinachongoja kulipuka. Kwa wananchi wanavyoteseka huku watawala wakitanua, Tanzania inaweza kuzidiwa na hata Somalia. Je ni lini watanzania wataamka na kusema katu kuwa inatosha?
Ungoje CCM wahafidhina bakusikie. Utaomba msaada👉💥Anafaaa sanaaa Mama Rais wetu.
Hata yeye hakufikia matarajio halisi. Alipwaya pakubwa kwenye demokrasia na uchumi wa sekta binafsi. Aliwapania kupitiliza sekta binafsi. Alisaidia nidhamu kazini japo ya woga. Ndiyo maana alipoondoka dharau na kiburi maofisini imerudi kuwa mbaya mara mbili ya wkt wa Kikwete. Aliibua miradi mikubwa iliyokuwa imekwama kama Bwawa la umeme na SGR.Mliletewa JPM mkaharahara hapa.
Tulieni kama "Ametosha"
Huoni ujinga ujinga wa watzkwa kigezo gani mama besigye?
Unaogopa kusema kwa ujinga wako, unatusemea na wengine. Eti Tumezidi.
🤭👉💥
One man show...Mtanikumbuka kwa mazuri
Ungoje CCM wahafidhina bakusikie. Utaomba msaada👉💥
Huoni ujinga ujinga wa watz
Ww unajizima akili tyu.One man show...
Angekuwa wa maana angeingia madarakani na kuanza kuweka mifumo imara ya uongozi wa nchi. Naye alikuwa wa hovyo tu.
Sii mbaya ukanitafunia ulikuwa na maana gani kama nilikosea🙏Ungenifahamu humu ungejua maana yangu
Sasa si Rais mwanamke wengi walifurahia humu aliposhika uongozi huu
Nami nawasapoti kwa sanaaa
Nami nafurahia Mwanamke wenzangu anaweza sanaaaa
Nyerere alikosea kugawa uongozi kwa kila mtu ni kosa, sio kila watu wana vision ya maendeleo. Unampa mtu asiyejua biashara hata ya kuuza mchicha wizara ya biashara unafikiri nini? Eti bi Kijazi waziri wa viwanda na biashara unategemea nini?Ukiniuliza kama Tanzania ina kiongozi, nitajibu kuwa ina rais lakini si kiongozi. Ukiuliza kama Tanzania ina sera, nitakujibu kuwa ipo sera ya uchawa. Ukiuliza, kiuchumi Tanzania inaongozwa na nini, nitakujibu kuwa sera yake ni ya shamba la bibi ambapo wezi huja na kugema watakavyo.
Ukiuliza kama Tanzania ni salama, nitakushauri ufanye utafiti na kuassess utekaji na kuporomoka kwa majengo. Ukiuiza kama Tanzania ina future, nitakujibu kuwa hata past haina. Kama mwanafalsafa, nawaza tu.
Ukiuliza kama serikali inakusanya kodi na kuzitumia vizuri, nitakujibu kuwa inawakamua maskini na kuwapa matajiri wakwepa kodi na wapiga dili wanaoshirikiana na wanasiasa mafisi. Ukiniuliza kama Tanzania ni kisiwa cha amani, nitakujibu kuwa ni kisiwa cha vurugu kinachongoja kulipuka.
Kwa wananchi wanavyoteseka huku watawala wakitanua, Tanzania inaweza kuzidiwa na hata Somalia. Je ni lini watanzania wataamka na kusema katu kuwa inatosha?
Nyerere keshakosea na kuishia. Je sisi kwanini tunaendelea na makosa hayo hayo?Nyerere alikosea kugawa uongozi kwa kila mtu ni kosa, sio kila watu wana vision ya maendeleo. Unampa mtu asiyejua biashara hata ya kuuza mchicha wizara ya biashara unafikiri nini? Eti bi Kijazi waziri wa viwanda na biashara unategemea nini?
Where is your substance?Nyerere alikosea kugawa uongozi kwa kila mtu ni kosa, sio kila watu wana vision ya maendeleo. Unampa mtu asiyejua biashara hata ya kuuza mchicha wizara ya biashara unafikiri nini? Eti bi Kijazi waziri wa viwanda na biashara unategemea nini?