Lini Watanzania tutaamka na kusema IMETOSHA?

Wabongo huwa nashangaa tupoje maneno buku vitendo sifuri, wenzetu kenya nawaappreciate sana.
Tutaishia kulalama nyuma ya keyboard...
 
Umeandika ujinga tupu
 
Mliletewa JPM mkaharahara hapa.

Tulieni kama "Ametosha"
Hata yeye hakufikia matarajio halisi. Alipwaya pakubwa kwenye demokrasia na uchumi wa sekta binafsi. Aliwapania kupitiliza sekta binafsi. Alisaidia nidhamu kazini japo ya woga. Ndiyo maana alipoondoka dharau na kiburi maofisini imerudi kuwa mbaya mara mbili ya wkt wa Kikwete. Aliibua miradi mikubwa iliyokuwa imekwama kama Bwawa la umeme na SGR.
 
Mzee wetu wa miaka 80 katuambia tuna njaa hatutakula Katiba.
 
Huoni ujinga ujinga wa watz
  • Kwamba haijawahi kutokea Watanzania wamesema sasa basi?
  • Kwamba Watanzania wanadekeza misaada?
  • Kwamba haijawahigi kutokea katika historia ya Watanzania waliosema 'hatutaki misaada' 'hatupendi rushwa' 'tunataka democracy'
Yaani unataka kutuaminisha , hajawahi kutokea mtu aliyechukizwa na Rushwa, ama hata ukandamizqji wa haki?
Ujinga gani huo wa watz. Toa maelezo kidogo
 
One man show...
Angekuwa wa maana angeingia madarakani na kuanza kuweka mifumo imara ya uongozi wa nchi. Naye alikuwa wa hovyo tu.
Ww unajizima akili tyu.
Kwa hiyo mbadala ni nani haswa Fuso?

Mifumo imara ipi, mbona hamueleweki na nn hasa mnachokitaka?

Ukiondoa jazba na biases zako ama za kukariri, unaeza ona unachokisema hakina mantiki yeyote ile. Ijs
 
Ungenifahamu humu ungejua maana yangu

Sasa si Rais mwanamke wengi walifurahia humu aliposhika uongozi huu

Nami nawasapoti kwa sanaaa

Nami nafurahia Mwanamke wenzangu anaweza sanaaaa
Sii mbaya ukanitafunia ulikuwa na maana gani kama nilikosea🙏
Enewei
hata mie nilifurahi sana, Mamaangu alinihadithia alifika Beijing na akanielezea umuhimu wa kuwasapoti wanawake pamoja na thamani za wanawake kwenye Siasa na Jamii, hivyo basi sina baya nayye
 
Nyerere alikosea kugawa uongozi kwa kila mtu ni kosa, sio kila watu wana vision ya maendeleo. Unampa mtu asiyejua biashara hata ya kuuza mchicha wizara ya biashara unafikiri nini? Eti bi Kijazi waziri wa viwanda na biashara unategemea nini?
 
Nyerere alikosea kugawa uongozi kwa kila mtu ni kosa, sio kila watu wana vision ya maendeleo. Unampa mtu asiyejua biashara hata ya kuuza mchicha wizara ya biashara unafikiri nini? Eti bi Kijazi waziri wa viwanda na biashara unategemea nini?
Nyerere keshakosea na kuishia. Je sisi kwanini tunaendelea na makosa hayo hayo?
 
Nyerere alikosea kugawa uongozi kwa kila mtu ni kosa, sio kila watu wana vision ya maendeleo. Unampa mtu asiyejua biashara hata ya kuuza mchicha wizara ya biashara unafikiri nini? Eti bi Kijazi waziri wa viwanda na biashara unategemea nini?
Where is your substance?

Nyerere has been dead for so long, unataka kumbebesha maovu yanayotokea leo hii 2025? How?

Eniwei, kwa ndongabyako ulitaka amgawie nani uongozi
🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…