Lini yanga watalipa goli 5-0 waliofungwa na simba 1977 miaka 45 nyuma?

Lini yanga watalipa goli 5-0 waliofungwa na simba 1977 miaka 45 nyuma?

Kabla na baada
9fb2589e55c2489185e38acb740acaf4.jpg
3b5b5e40c8124a0e9fb702ca0b408311.jpg
 
Mara Baada Ya Kukosa Vyote Msimu Huu Wanaanza Kutuletea Habari Za Miaka Ya Sabini, ila Yanga Msimu Huu Tumewafanyia Ukatili Sana [emoji1787][emoji1787]
 
Haishangazi mna sifa flan hivi ileeee aliyowapa Rage .
 
ngoja nikukumbushe mtani mechi ya goli 5 nadhani ilikuwa 2012 au 2013 kulikuwa na mgogoro mkubwa Jangwani klabuni wa Yanga Asili na Yanga kampuni na siku moja kabla ya mechi Mzee Akilimali aliongea mbele ya TV mimi nikishuhudia akavua kofia akaweka juu ya meza akasema kwa hasira tutaona nani mbabe kesho derby!

msijisifu hamkuifunga Yanga kwa kuizidi ufundi bali maelekezo! fikisha kumbukizi hii Msimbazi wengi wenu hamuijui!!
Usilete za kuletwa. Huyo akilimali ndiyo alicheza? Uongo mtupu!
 
Mikia siku zote najua hmnazo. Lakini nyie mlivyo na mioyo mibovu hata mgongwe 100 mtatafutia namna ya kujiliwaza
Acha kujifaragua lipa deni jombaaa!
Dawa ya deni ni kulipa tu!
 
Kumbe wewe ni mjinga kiasi hiki au ndio umetafuta kichaka cha kujipozea machungu? Yanga leo imepata kagoli kamoja tu, vipi kamewatoa mashindanoni ama lah? Na Simba wameambulia na kombe la mapinduzi pekee msimu huu.
Mjinga wewe. Muaka 4 iliyopita mlikuwa wapi? Shimoni? Si mlikuwa mnacheza mnatoka kapa bila kombe la PL?
 
Mjinga wewe. Muaka 4 iliyopita mlikuwa wapi? Shimoni? Si mlikuwa mnacheza mnatoka kapa bila kombe la PL?
Wakati simba ikichukua kombe ilitoka kukaa miaka mitano pasipo kombe
 
Simba wakicheza bila beki ndo yanga watapata goli
5
Au tucheze tisa.
Tofauti na hapo utopolo watapata tabu sana
Simba hawaiwezi tena Yanga hadi wacheze pungufu😆
Usilete za kuletwa. Huyo akilimali ndiyo alicheza? Uongo mtupu!
waulize wazee! ila leo mtalala na viatu na mtamuota Feisaaaaaaaaalll
 
Acha kujifaragua lipa deni jombaaa!
Dawa ya deni ni kulipa tu!
Umechemka mkuu. Unalazimisha furaha kwa kujilazimisha kukumbuka yaliyopita. Pambaneni kulipa kisasi kwa kugongwa mara nyingi
 
Kila siku watani wa jadi wanapokutana wasiwasi wangu mkubwa huwa ni Yanga kulilipa hilo deni na kusema kweli mechi ya leo hapo Kirumba nilikuwa sina raha kwani kikosi cha mnyama kilikuwa dhaifu sana katika miongo mingi kwenye mechi dhidi ya watani wao nikakujua tu leo ni kulipa hilo deni na wao kuweka rekodi yao.
Nilitegemea si chini ya goli 6 kufungwa.

Lakini wapi! Lini mtalilipa hilo deni?
wewe mbuzi lilegoli alilolifunga fei toto jana limetosha kulipa magoli yote simba iliyowai kumfunga yanga.
kwanza director wa mama kwenye ile movie yake ya royal tour amesema lile goli inabidi liwekwe kwenye ile movie ili kuvutia zaidi watalii
 
Back
Top Bottom