sikongefdc JF-Expert Member Joined Oct 18, 2017 Posts 1,612 Reaction score 2,156 May 31, 2022 #41 Michezo minne wachawi wamepoteza mbili wamesare mbili, sasa mnataka mpaka tuwaue ndio mue na adabu?
kassim kimoby JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 588 Reaction score 463 May 31, 2022 #42 Wakikutana
K kambale mnene JF-Expert Member Joined Mar 15, 2022 Posts 271 Reaction score 197 May 31, 2022 #43 BURUTA said: Yanawahusu sana tena kila mechi yenu na Simba kulipa.madeni, mnajikausha tu. Leo ilikuwa chance yenu kubwa kwani mnyama alikuwa dhaifu mno lakini mmehangaika sana hilo goli kulilinda- na pia Mayele wenu akawafunge Numumgo, sio sisi nhana. Click to expand... Mnajifariji makolo
BURUTA said: Yanawahusu sana tena kila mechi yenu na Simba kulipa.madeni, mnajikausha tu. Leo ilikuwa chance yenu kubwa kwani mnyama alikuwa dhaifu mno lakini mmehangaika sana hilo goli kulilinda- na pia Mayele wenu akawafunge Numumgo, sio sisi nhana. Click to expand... Mnajifariji makolo