Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Mchezaji bora wa dunia wa soka,Lionel Messi ametangaza kurejea kwenye timu ya taifa ya Argentina. Messi ameandika kuwa timu ya taifa ya nchi yake ina matatizo mengi yanayopaswa kurekebishwa uwanjani.
Messi aka Andunje amewashukuru wananchi wote wa Argentina na wote waliomtaka arudi timu ya taifa. Messi amesisitiza kuwa anaipenda nchi yake. Atakuwa chini ya kocha mpya wa timu ya Taifa,Bauza. Here he is again!
Messi aka Andunje amewashukuru wananchi wote wa Argentina na wote waliomtaka arudi timu ya taifa. Messi amesisitiza kuwa anaipenda nchi yake. Atakuwa chini ya kocha mpya wa timu ya Taifa,Bauza. Here he is again!