Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Hii ni historia Public sana, unahitaji kusoma.Maswali haya hapa.
Lipi lilikuwa chimbuko la ufalme,umalkia, utemi, usultan n.k?
Sababu gani zilipelekea huu mfumo kutokea?
Ilitokea vipi familia moja tu ndani ya nchi au eneo kuwa na mamlaka hayo na sio familia nyingine?
Hizi familia zina vitu gani special ambavyo familia nyingine zote ndani ya nchi au eneo hazina ila ni wao tu?
Utaongeza na wewe maswali yako
Absolute monarchy/ufalme mkamilifu siku zote husimamishwa kwa nguvu za kijeshi, makubaliano na Lords pamoja na dini.Maswali haya hapa.
Lipi lilikuwa chimbuko la ufalme,umalkia, utemi, usultan n.k?
Sababu gani zilipelekea huu mfumo kutokea?
Ilitokea vipi familia moja tu ndani ya nchi au eneo kuwa na mamlaka hayo na sio familia nyingine?
Hizi familia zina vitu gani special ambavyo familia nyingine zote ndani ya nchi au eneo hazina ila ni wao tu?
Utaongeza na wewe maswali yako
Inaonekana Mkulu hakusoma somo la Historia.Hii ni historia Public sana, unahitaji kusoma.
Ila kwa kifupi falme zimetokana na mapigano ya makabila/jamii/familia kujilinda na kushambulia kutanua himaya enzi hizo ambazo nchi/tawala/himaya zilikuwa zinajiunda.
Sasa swali langu linahusu kwa nini ilitokea familia fulani tu ndio wana damu ya kifalme/malkia na sio wengine katika eneo au nchi ?Hii ni historia Public sana, unahitaji kusoma.
Ila kwa kifupi falme zimetokana na mapigano ya makabila/jamii/familia kujilinda na kushambulia kutanua himaya enzi hizo ambazo nchi/tawala/himaya zilikuwa zinajiunda.
Wewe niambie kwa nini familia ya fulani pekee ndio ilitokea kutoa malkia na wafalme ? Kwa nini familia nyengine ndani ya eneo au nchi zisizi onekane zina damu ya ufalme/umalkia ?Inaonekana Mkulu hakusoma somo la Historia.
Sasa kwa nini familia fulani tu iwe na hiyo special class ya kutoa leaders katika nchi au eneo zima ? Hili lilianzaje na hiyo familia ilipatikanaje ?ask yourself these qn... LEADERS ARE BORN OR CREATED??
Akikujbu nitag Mkuu!Wewe niambie kwa nini familia ya fulani pekee ndio ilitokea kutoa malkia na wafalme ? Kwa nini familia nyengine ndani ya eneo au nchi zisizo onekane zina damu ya ufalme/umalkia ?
Soma tena maswali yangu kiutulivu
Nasubiri mwenyewe acha tuoneAkikujbu nitag Mkuu!
Kwanza inategemea unaongelea nchi gani, sio nchi zote zimekuwa na ufalme mmoja wa muendelezo.Sasa swali langu linahusu kwa nini ilitokea familia fulani tu ndio wana damu ya kifalme/malkia na sio wengi katika eneo au nchi ?
Pia rudia tena kusoma kiutulivu maswali yangu
SahihiUngekua specific labda kwanini nchi fulani na fulani na fulani maana historia zimetofautiana.
Chagua ufalme/umalkia wa nchi,eneo lolote ambalo utaweza kunipigisha nikakuelewa nipo kujifunzaKwanza inategemea unaongelea nchi gani, sio nchi zote zimekuwa na ufalme mmoja wa muendelezo.
Mfano China imekuwa na wafalme kutoka familia nyingi mbalimbali, Uingereza imekuwa na milolongo ya familia mfano House of Plantagenet, House of Tudors, House of Stuart, House of Lancaster n.k
Chagua nchi ambayo utaweza kuielezea ufalme/umalkia wake kwa kufuata hayo maswali niliyo ulizaUngekua specific labda kwanini nchi fulani na fulani na fulani maana historia zimetofautiana.
Sasa hilo jeshi litakuwa limeundwa na nani ?Wafalme, Machief wa Mwanzoni, walipata Uongozi kwa sababu ya Uwezo wao, Nguvu, Maarifa na Ujasiri wa Kupigana Vitani, wakajikuta Wanaaminika na Wananchi wao, Wananchi wakajikuta Salama kwa uwepo wa Mtu mmoja ambaye alokua na sifa Twaja hapo juu...!
Ikitokea Vita, Wananchi wanajua tutachinda kwa sababu ya Flani, kwa sababu ya Uwezo wa huyo Mtu, anajikuta anasikilizwa na kila mtu, ama yeye mwenyewe, ama Askari wenzake ama Raia wanaanza kusema mtu huyo ndo awe Mfalme wetu etc..!
Anakua Mfalme na kuwaongoza wenzake, ikitokea Vita, yupo Mstari wa mbele, kwa sababu anazo Sifa tajwa hapo juu!
Umri ukienda, Mfalme anatafuta mtu wa kushika Ufalme baada yake, anaangalia Watoto wake, kama hana Watoto anaangalia Ndugu zake ama Watoto wa Ndugu zake....!
Kizazi mpaka kizazi kinarithi Ufalme.....! Ila sio kwa sifa ile ya mwanzo, hawa Watoto wanarithi Ufalme kwa haki ya kuwa Mtoto wa Kwanza ama Mtoto Mkubwa wa Mfalme, sio kwa sifa ambazo zilifanya Mzee wao alipokua Mfalme wa kwanza.
Ukisoma hata Biblia mfano kisa cha Mfalme Daudi utaona!
Kama huko ni mbali anagalia tu hata namna ya Uongozi wa CCM unavyopatikani.
Utaona Namna mtu kama Nyerere alivyopata kuwa Kiongozi, hafu uangalie mtu kama Mh. Samia alivyopata kuwa Kiongozi...!
So, wachawi wakongwe ndio walihusika kwenye chaguzi ya familia ipi iwe ya kifalme katika eneo fulani ?Moja wachawi. Maarufu eneo husika walioogopewa walipewa ukubwa na jamii husika na kusikilizwa wafalme wengi na machifu walitokana na uzao wa wachawi wakubwa wabobezi kwenye matambiko nk
Pili Kuna koo mfano mtu anaoa wake 30 ana watoto 300 yule Mzee anakuwa ndie mkuu wa ukoo au Kabila baadaye kadiri wanavyoendelea kuzaana kizazi na kizazi mtoto mkubwa anapokea uongozi nk
Hujawahi kutizama hata Movie!?Sasa hilo jeshi litakuwa limeundwa na nani ?