Lipi chimbuko la wafalme/ malkia na familia za kifalme/ malkia?

Lipi chimbuko la wafalme/ malkia na familia za kifalme/ malkia?

Hata Africa kwa kwa kiasi kikubwa cha jamii nyingi machifu waliinuka kwasababu ya uhodari wa vita, ni jamii chache ambazo ushirikina ungekupatia utawala. Hata hivyo kwa jamii zote watawala waliziweka karibu sana familia za kiganga/kichawi/kidini/waonaji kuimarisha tawala zao.
Wapi wewe we uliona wapi eti mtu anaacha alama ya unyayo kwenye jiwe ..? Ni washirikina hakuna mfano wakina mkwawa, sijui kabaka na wengine walikuwa wachawi.
 
Wapi wewe we uliona wapi eti mtu anaacha alama ya unyayo kwenye jiwe ..? Ni washirikina hakuna mfano wakina mkwawa, sijui kabaka na wengine walikuwa wachawi.
Shaka Zulu alikuwa jemedari hodari wa vita
 
Wewe niambie kwa nini familia ya fulani pekee ndio ilitokea kutoa malkia na wafalme ? Kwa nini familia nyengine ndani ya eneo au nchi zisizi onekane zina damu ya ufalme/umalkia ?

Soma tena maswali yangu kiutulivu
Ungelisoma somo la Historia vizuri, usingeliuliza hayo maswali. Ungelijua namna wanavyopatikana. Ungelijua kuwa kuna kitu kinaitwa dynasties. Mfano, The Ancient Egypt has been ruled by more than twenty dynasties. Na sababu za mabadiliko ya koo za kitawala (dynasties) zimeainishwa na Yoda hapo juu.
 
Mfano mdogo tu, House of Wessex ilitoka England, House of Tudors ilitoka Wales na House of Stuart ilitoka Scotland sasa zinakuaje sehemu moja au familia moja??
Ok mkuu Yoda!
Ngoja Nijaribu kukujibu...

Nilibahatika kuelimishwa katika Baadhi ya Museum (British Museum)kuhusu Hiyo History Ambayo hata mimi ilinichanganya kuhusu Royal History sasa nisikilize..

Tawala Zote za kifalme za Uingereza zinarudi nyuma mpaka Kwenye Anglo-Saxon Period hapo nazungumzia miaka ya 410 AD mpaka miaka ya 1060.. (Baada ya hapo kuna maswala ya Viking invasion nk)

Hapo ndo utakuta Kuna Koo tatu Kuu kutoka Makabila ya Kijerumani (Germanic tribes) nazungumzia Angles, Saxons, na Jutes.

Baada ya Roman Empire kuanguka Magharibi karne ya 5 miaka ya 400s ndo chanzo cha watu kuanza kuwa disorganised...

Sasa kuhusu Hizo koo/Kabila.. nakuchambulia hapa..

  1. Angles: Hawa wanaaminika kutoka sehemu za Angeln, ambapo sahz ni kusini mwa Denmark na kaskazini mwa Germany.
  2. Saxons: Hawa Saxons Wanatokea Kaskazini mwa Germany na Netherlands.
  3. Jutes: Original ya Jutes bado haiko clear but Wana assume kuwa huenda ni Jutland Peninsula, ambayo sasa hivi ni part ya Denmark and Germany.
Sasa ilikuwaje mpaka tukafika hapa kwa Hizi familia na Hizi koo za Leo Nifatilie

hawa walianza kuMigrate kwenda Uingereza Miaka hiyo ya Karne ya 5 baada ya Roma kujiondoa Kutawala Maeneo hayo..

Koo hizi zote zilikuwa na Viongozi wake na zinatawala kwa sehemu zake..

lets make Story short..

Ufalme wa Kwanza wa Uingereza ikiwa kama Unified Kingdom...

Ulianza kwa mfalme Æthelstan ambaye alikuwa mfalme wa Wessex mwaka 924..

Huyu ndo anahesabika Mfalme mwenye Nguvu kuliko Wote maana alifanikiwa Kuumganisha Viongozi wote kutoka makabila mbalimbalia na akaform unified Kingdom ya makabila na familia zote.. (Alitoka kwemye Familia ya Wessex)..

Na baada ya kufa kaka yake Edmund ndo alitawala..waliendelea kutawala mpaka waliposhindwa na Norman (Norman Conquest 1060)..ambaye ndo alianzisha House of Normand..
Na baadae Utawala ukaenda kwa Plantagenets

ni Historia ndefu sana ila nitakuelekeza kuhusu Hizo Family and home kwa kifupi..



  • House of Wessex (England): Hii inaweza kuwa moja ya Original na chimbuko lake Lipo mpaka Anglo-Saxon period, nafikiri unamfahamu Alfred the Great na wengine nimeshawaelezea...
  • House of Tudor (England and Wales): Hii House ilianzishwa na Henry VII (ambaye Alikuwa mtoto wa Edmund Tudor na mama yake alikuwa Margaret Beaufort (House of Beaufort) kwahiyo baba yake alimuo mama yake Ndipo.house ya Beaufort ilipokufa na kuungana na House of Tudor........Na yeye alimuoa Elizabeth the york ili.kuunganisha ukoo fulani..."Kiufupi ili kuua Familia fulani ya Ukoo Fulani Lazma muunganishe Damu kwahyo one royal Family ilikuwa inaoa Royal famili moja na zote zinakuwa House moja"
  • House of Stuart (England and Scotland): James VI of Scotland became James I of England in 1603, leading to the Stuart dynasty. The English Civil War and Glorious Revolution significantly influenced this house.
  • House of Hanover (Great Britain): The Act of Settlement in 1701 brought the House of Hanover to the British throne with George I. Notable monarchs include George III and Victoria.
  • House of Windsor (United Kingdom): In 1917, due to anti-German sentiment during World War I, the British royal family changed its name to the House of Windsor. Queen Elizabeth II is a member of this house.
Kuna historia kubwa sana na ningependa kuijibu kwa Njia ya maswali kama utaweza maana Kwa maelezo ni mengi sana yaani sana..

Hii ni kama zamani familia ya Mfalme fulan ili kuunganisha ufalme unaenda kuoa kwa falme fulan ili kuunganisha ufalme..

Karibu
 
Ok mkuu Yoda!
Ngoja Nijaribu kukujibu...

Nilibahatika kuelimishwa katika Baadhi ya Museum (British Museum)kuhusu Hiyo History Ambayo hata mimi ilinichanganya kuhusu Royal History sasa nisikilize..

Tawala Zote za kifalme za Uingereza zinarudi nyuma mpaka Kwenye Anglo-Saxon Period hapo nazungumzia miaka ya 410 AD mpaka miaka ya 1060.. (Baada ya hapo kuna maswala ya Viking invasion nk)

Hapo ndo utakuta Kuna Koo tatu Kuu kutoka Makabila ya Kijerumani (Germanic tribes) nazungumzia Angles, Saxons, na Jutes.

Baada ya Roman Empire kuanguka Magharibi karne ya 5 miaka ya 400s ndo chanzo cha watu kuanza kuwa disorganised...

Sasa kuhusu Hizo koo/Kabila.. nakuchambulia hapa..

  1. Angles: Hawa wanaaminika kutoka sehemu za Angeln, ambapo sahz ni kusini mwa Denmark na kaskazini mwa Germany.
  2. Saxons: Hawa Saxons Wanatokea Kaskazini mwa Germany na Netherlands.
  3. Jutes: Original ya Jutes bado haiko clear but Wana assume kuwa huenda ni Jutland Peninsula, ambayo sasa hivi ni part ya Denmark and Germany.
Sasa ilikuwaje mpaka tukafika hapa kwa Hizi familia na Hizi koo za Leo Nifatilie

hawa walianza kuMigrate kwenda Uingereza Miaka hiyo ya Karne ya 5 baada ya Roma kujiondoa Kutawala Maeneo hayo..

Koo hizi zote zilikuwa na Viongozi wake na zinatawala kwa sehemu zake..

lets make Story short..

Ufalme wa Kwanza wa Uingereza ikiwa kama Unified Kingdom...

Ulianza kwa mfalme Æthelstan ambaye alikuwa mfalme wa Wessex mwaka 924..

Huyu ndo anahesabika Mfalme mwenye Nguvu kuliko Wote maana alifanikiwa Kuumganisha Viongozi wote kutoka makabila mbalimbalia na akaform unified Kingdom ya makabila na familia zote.. (Alitoka kwemye Familia ya Wessex)..

Na baada ya kufa kaka yake Edmund ndo alitawala..waliendelea kutawala mpaka waliposhindwa na Norman (Norman Conquest 1060)..ambaye ndo alianzisha House of Normand..
Na baadae Utawala ukaenda kwa Plantagenets

ni Historia ndefu sana ila nitakuelekeza kuhusu Hizo Family and home kwa kifupi..



  • House of Wessex (England): Hii inaweza kuwa moja ya Original na chimbuko lake Lipo mpaka Anglo-Saxon period, nafikiri unamfahamu Alfred the Great na wengine nimeshawaelezea...
  • House of Tudor (England and Wales): Hii House ilianzishwa na Henry VII (ambaye Alikuwa mtoto wa Edmund Tudor na mama yake alikuwa Margaret Beaufort (House of Beaufort) kwahiyo baba yake alimuo mama yake Ndipo.house ya Beaufort ilipokufa na kuungana na House of Tudor........Na yeye alimuoa Elizabeth the york ili.kuunganisha ukoo fulani..."Kiufupi ili kuua Familia fulani ya Ukoo Fulani Lazma muunganishe Damu kwahyo one royal Family ilikuwa inaoa Royal famili moja na zote zinakuwa House moja"
  • House of Stuart (England and Scotland): James VI of Scotland became James I of England in 1603, leading to the Stuart dynasty. The English Civil War and Glorious Revolution significantly influenced this house.
  • House of Hanover (Great Britain): The Act of Settlement in 1701 brought the House of Hanover to the British throne with George I. Notable monarchs include George III and Victoria.
  • House of Windsor (United Kingdom): In 1917, due to anti-German sentiment during World War I, the British royal family changed its name to the House of Windsor. Queen Elizabeth II is a member of this house.
Kuna historia kubwa sana na ningependa kuijibu kwa Njia ya maswali kama utaweza maana Kwa maelezo ni mengi sana yaani sana..

Hii ni kama zamani familia ya Mfalme fulan ili kuunganisha ufalme unaenda kuoa kwa falme fulan ili kuunganisha ufalme..

Karibu
Kama kulikuwa hadi na conquests kama hizo Norman conquests kutoka Ufaransa kuchukua tawala za England inamaana haikuwa familia moja tu, House of Normand hawana mahusaino yoyote makubwa na House of Wessex.
 
Kama kulikuwa hadi na conquests kama hizo Norman conquests kutoka Ufaransa kuchukua tawala za England inamaana haikuwa familia moja tu, House of Normand hawana mahusaino yoyote makubwa na House of Wessex.
Kama umesoma Vizuri Niliandika pia kuhusu The Invasion of Viking House of Normands ni Moja ya House ambayo Hazina Original kwenye Anglo-Saxons Period( ambazo ndo Asili hasa ya Houses Nyingi..)

Ila house of Normands Ni Descendants wa house Ambayo imetoka kwa Viking invasion through "Viking chieftain Rollo"

ambaye alipewa Dola ya Normandy na mfalme wa Ufaransa katika karne ya 10. William the Conqueror, ambaye alikuwa mtoto wa Rollo, akawa Duke of Normandy na baadaye akaivamia England .
kikubwa wanayemlaumu ni Frankish King Charles the Simple. Ndo aliyesaini Mkataba unaitwa "Treaty of Saint-Clair-sur-Epte" kama wa mangungo wa Msovero tu 😅😅

kwahyo aliwagrant the territory ambayo ndo ilikuja kuitwa Normandy in exchange for ending his Viking raids and defending the region against further Viking incursions.


Hii mbona nimeelezea clear kwamba viking kwanza walianza ufaransa wakatawala baadae wakaenda England hapo..

So House of Normand sio Wazawa ni wavamizi na Ndo maana kuna Kama kiubaguzi Fulani hivi kwao..

Umesema Hakuna mahusiona kati yao una uhakika?


Unamfahamu William the Conqueror au simply "Willim I ,ambaye alikuwa mfalme pia na alitoka House of Normandy, Hakupewa Ufalme Mpaka pale alipoMuoa Matilda of Flanders. Matilda alikuwa descendant wa royal family ya saxons Mtoto wa Alfred the Great (Mfalme huyu) kutoka House of Wessex Na ndo kilichompa Link ya kuwa Mfalme kwa kuchanganya damu pamoja na Saxon Royal Family
 
Back
Top Bottom