Lipi chimbuko la wafalme/ malkia na familia za kifalme/ malkia?

Lipi chimbuko la wafalme/ malkia na familia za kifalme/ malkia?

Sasa kwa nini familia fulani tu iwe na hiyo special class ya kutoa leaders katika nchi au eneo zima ? Hili lilianzaje na hiyo familia ilipatikanaje ?
Its Loyal Family clan system Heritage..

Ngoja nijaribu kukujibu..

Zamani Koo zilikuwa zinahama hama sana Kutokana na kutafuta Sehemu yenye Rutuba kwa ajili ya Kilimo au Kutokana na Kutafuta malisho ya Mfugo yao..

Kumbuka Familia Ilipokuwa inaongezeka kulipatikana Ukoo...Ukoo ulipoongezeka Kulikuwa na Haja ya kupata Kiongozi katika Ukoo huo na hapo ndo alipokuja Kupatikana kiongozi wa ukoo lets say kiongozi Wa ukoo wa Mushi..

Lakini ukoo unakuwa Mkubwa na koo zinaongezeka ndani ya ukoo na kupatikana koo kadhaa Ambazo kila koo zina kiongozi wake koo ya Mushi ,Koo ya Mramba,Koo ya Kimario ,Koo ya Mangi, Koo ya Mshana n.k..

Hizo zote zikiwa pamoja huitwa jamii ...
Sasa kila jamii huona ni bora Viongozi wote wa kila koo kukaa na kuchagua kiongozi mmoja ambaye kwa pamoja ataongoza Jamii hizo na hapo ndo zikaja Asili Za Majina kama Utemi,Mangi, Sultani n.k

Hawa viongozi hutokana na umahili wa Koo zao kwa mfano Ukoo wenye Watu Hodari majasiri Wa Vita baina jamii zingine na wenye uwezo wa Kuorganise wengine kufanya mambo na yakafanikiwa ndo ulipewa Heshima ya Loyal family japo zilipokezana yaani Waliamini Damu au Ukoo huo ndyo unaowwza tu na waligawana kabisa kuna koo za kivuvi, Koo ambazo Ni washauri tu kuna koo zenye uwezo wa Kulima tu n.k..

sasa kama kadhalika Jamii zikiwa Nyingi upande mmoja vita huwa mara kwa mara kutaka nani awe kiongozi sasa kundi lenye nguvu kuliko jamii yote ndo hutoa kiongozi na kama litaendelea kuwa na nguvu lwa muda mrefu bila kutokea jingine ndo huweka imaya Ngumu na Hapo ndo Huwa ni kiongozi wa Jamii zote na mtu huyo huitwa Mfalme..

Umenielewa sijui kama unaswali nakukaribisha..

CC: So special
 
Kwanza inategemea unaongelea nchi gani, sio nchi zote zimekuwa na ufalme mmoja wa muendelezo.

Mfano China imekuwa na wafalme kutoka familia nyingi mbalimbali, Uingereza imekuwa na milolongo ya familia mfano House of Plantagenet, House of Tudors, House of Stuart, House of Lancaster n.k
Zote hizo mkuu zimetoka Sehemu moja Blood of the loyal Family fuatilia
 
Its Loyal Family clan system Heritage..

Ngoja nijaribu kukujibu..

Zamani Koo zilikuwa zinahama hama sana Kutokana na kutafuta Sehemu yenye Rutuba kwa ajili ya Kilimo au Kutokana na Kutafuta malisho ya Mfugo yao..

Kumbuka Familia Ilipokuwa inaongezeka kulipatikana Ukoo...Ukoo ulipoongezeka Kulikuwa na Haja ya kupata Kiongozi katika Ukoo huo na hapo ndo alipokuja Kupatikana kiongozi wa ukoo lets say kiongozi Wa ukoo wa Mushi..

Lakini ukoo unakuwa Mkubwa na koo zinaongezeka ndani ya ukoo na kupatikana koo kadhaa Ambazo kila koo zina kiongozi wake koo ya Mushi ,Koo ya Mramba,Koo ya Kimario ,Koo ya Mangi, Koo ya Mshana n.k..

Hizo zote zikiwa pamoja huitwa jamii ...
Sasa kila jamii huona ni bora Viongozi wote wa kila koo kukaa na kuchagua kiongozi mmoja ambaye kwa pamoja ataongoza Jamii hizo na hapo ndo zikaja Asili Za Majina kama Utemi,Mangi, Sultani n.k

Hawa viongozi hutokana na umahili wa Koo zao kwa mfano Ukoo wenye Watu Hodari majasiri Wa Vita baina jamii zingine na wenye uwezo wa Kuorganise wengine kufanya mambo na yakafanikiwa ndo ulipewa Heshima ya Loyal family japo zilipokezana yaani Waliamini Damu au Ukoo huo ndyo unaowwza tu na waligawana kabisa kuna koo za kivuvi, Koo ambazo Ni washauri tu kuna koo zenye uwezo wa Kulima tu n.k..

sasa kama kadhalika Jamii zikiwa Nyingi upande mmoja vita huwa mara kwa mara kutaka nani awe kiongozi sasa kundi lenye nguvu kuliko jamii yote ndo hutoa kiongozi na kama litaendelea kuwa na nguvu lwa muda mrefu bila kutokea jingine ndo huweka imaya Ngumu na Hapo ndo Huwa ni kiongozi wa Jamii zote na mtu huyo huitwa Mfalme..

Umenielewa sijui kama unaswali nakukaribisha..

CC: So special
Kidogo umenifungua asante sana.

Nafikiri elimu utazidi kuitoa hapa
 
Maswali haya hapa.

Lipi lilikuwa chimbuko la ufalme,umalkia, utemi, usultan n.k?

Sababu gani zilipelekea huu mfumo kutokea?

Ilitokea vipi familia moja tu ndani ya nchi au eneo kuwa na mamlaka hayo na sio familia nyingine?

Hizi familia zina vitu gani special ambavyo familia nyingine zote ndani ya nchi au eneo hazina ila ni wao tu?

Utaongeza na wewe maswali yako
Kwa wazungu huko ni sababu za kimapigano..
Za kwetu huku africa ni sababu za kiushirikina magwiji wa ushilikina walikuwa wanaitwa watemi na ndio wakawa watawala maana ulonzi africa ni jadi..
 
So, wachawi wakongwe ndio walihusika kwenye chaguzi ya familia ipi iwe ya kifalme katika eneo fulani ?
Kwanza haikuwa inachaguliwa familia, alikuwa mtu ndio anatawazwa kuwa mfalme, na pili kulikuwa na mchanganyiko wa mambo mengi tu sio suala la mabaraza ya maLords au wazee pekee.

Pili umeshaambiwa Historia zinatofautina sana kutokana na mahali na vipindi. Ufalme wa enzi za Israel walikuwa wanamuhusisha Yahwe, enzi Roman empire walikuwa wanahusisha miungu yao, enzi za Ukristo ukiwa na nguvu Ulaya walikuwa wakihusisha kanisa, kulikokuwa na uislamu kadhalika, huko Asia ya mbali nako walikuwa na mambo yao. Historia zinatofautina sana kwa hiyo hakuna jibu moja kwa tawala zote kama unavyotaka wewe.
 
Its Loyal Family clan system Heritage..

Ngoja nijaribu kukujibu..

Zamani Koo zilikuwa zinahama hama sana Kutokana na kutafuta Sehemu yenye Rutuba kwa ajili ya Kilimo au Kutokana na Kutafuta malisho ya Mfugo yao..

Kumbuka Familia Ilipokuwa inaongezeka kulipatikana Ukoo...Ukoo ulipoongezeka Kulikuwa na Haja ya kupata Kiongozi katika Ukoo huo na hapo ndo alipokuja Kupatikana kiongozi wa ukoo lets say kiongozi Wa ukoo wa Mushi..

Lakini ukoo unakuwa Mkubwa na koo zinaongezeka ndani ya ukoo na kupatikana koo kadhaa Ambazo kila koo zina kiongozi wake koo ya Mushi ,Koo ya Mramba,Koo ya Kimario ,Koo ya Mangi, Koo ya Mshana n.k..

Hizo zote zikiwa pamoja huitwa jamii ...
Sasa kila jamii huona ni bora Viongozi wote wa kila koo kukaa na kuchagua kiongozi mmoja ambaye kwa pamoja ataongoza Jamii hizo na hapo ndo zikaja Asili Za Majina kama Utemi,Mangi, Sultani n.k

Hawa viongozi hutokana na umahili wa Koo zao kwa mfano Ukoo wenye Watu Hodari majasiri Wa Vita baina jamii zingine na wenye uwezo wa Kuorganise wengine kufanya mambo na yakafanikiwa ndo ulipewa Heshima ya Loyal family japo zilipokezana yaani Waliamini Damu au Ukoo huo ndyo unaowwza tu na waligawana kabisa kuna koo za kivuvi, Koo ambazo Ni washauri tu kuna koo zenye uwezo wa Kulima tu n.k..

sasa kama kadhalika Jamii zikiwa Nyingi upande mmoja vita huwa mara kwa mara kutaka nani awe kiongozi sasa kundi lenye nguvu kuliko jamii yote ndo hutoa kiongozi na kama litaendelea kuwa na nguvu lwa muda mrefu bila kutokea jingine ndo huweka imaya Ngumu na Hapo ndo Huwa ni kiongozi wa Jamii zote na mtu huyo huitwa Mfalme..

Umenielewa sijui kama unaswali nakukaribisha..

CC: So special
Umejibu kisahihi kabisa
 
Kwa wazungu huko ni sababu za kimapigano..
Za kwetu huku africa ni sababu za kiushirikina magwiji wa ushilikina walikuwa wanaitwa watemi na ndio wakawa watawala maana ulonzi africa ni jadi..
Ni kweli machifu na watemi walikuwa wachawi wakubwa na wanga
 
Kwa wazungu huko ni sababu za kimapigano..
Za kwetu huku africa ni sababu za kiushirikina magwiji wa ushilikina walikuwa wanaitwa watemi na ndio wakawa watawala maana ulonzi africa ni jadi..
Aiseeh
 
Kwa wazungu huko ni sababu za kimapigano..
Za kwetu huku africa ni sababu za kiushirikina magwiji wa ushilikina walikuwa wanaitwa watemi na ndio wakawa watawala maana ulonzi africa ni jadi..
Hata Africa kwa kwa kiasi kikubwa cha jamii nyingi machifu waliinuka kwasababu ya uhodari wa vita, ni jamii chache ambazo ushirikina ungekupatia utawala. Hata hivyo kwa jamii zote watawala waliziweka karibu sana familia za kiganga/kichawi/kidini/waonaji kuimarisha tawala zao.
 
Maswali haya hapa.

Lipi lilikuwa chimbuko la ufalme,umalkia, utemi, usultan n.k?

Sababu gani zilipelekea huu mfumo kutokea?

Ilitokea vipi familia moja tu ndani ya nchi au eneo kuwa na mamlaka hayo na sio familia nyingine?

Hizi familia zina vitu gani special ambavyo familia nyingine zote ndani ya nchi au eneo hazina ila ni wao tu?

Utaongeza na wewe maswali yako
Sababu kubwa ni vita kumbuka zamani nguvu/madaraka yalikuwa hayatafutwi kwa kura bali mapigano makali

Sasa family ya mtu anaongoza vita hiyo akishinda vita labda kati ya nchi au kumpindua aliyepo madarakani basi yeye anakuwa mfalme kutokana na nature ya madaraka yalivyopatikana anaona na yeye akifa bora arithi mtoto au ndugu yake so inaenda hivyo vizazi na vizazi na hapo haitaji elimu kuwa mfalme inahitaji damu yako iwe na undugu na mfalme

Watu wa kwanza kabisa kuukataa mfumo huu walikuwa ni waroma na wagiriki ndo walianzishe mifumo ya kiuchaguzi....lakini nayo ilikuwa katika mifumo ya oligarchy yaani family zenye nguvu tu ndo zinagombea za kajamba nani nyie kuchagua tu.... na hadi leo democracy mwisho wake ni oligarchy rule of few....
 
Wafalme, machifu na watemi ni wababe na waporaji walioamua kuishi kwa migongo ya wengine. Anatokea mnyanganyi kwenye jamii, anakusanya wenzake na kuanza kuonea wengine. Akitaka alishwe na kuvishwa bure, ukikataa kipigo. Baadaye anaanzisha stori kuwa mizimu/miungu ndiyo imemchagua yeye na vizazi vyake wawe watawala wenu, anaanzisha na dini na kuweka makasisi/wachawi/waganga wa kuendeleza hiyo stori.
 
Back
Top Bottom